Helpyourself
Member
- Sep 30, 2017
- 30
- 59
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .
Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF
=======
kichwa chako kimejaa funza wala hata haushangaziLisu muongo anaenda kuhojiwa tume ya maadili Mleta maada na Lisu wako acheni uongo kama ule mliodanganya ohh Lisu atafanya mdahalo mkubwa na Raisi wa Ghana kumbe uongo mtupu
Mleta mada na Lisu MNA pepo LA uongo
mbuzi wewe, inavyoelekea wewe umeishia la saba au haujaenda shule kabisa, ina mana kwa akili zako hizo za funza haujui faida ya kujua lugha za kimataifa mfano mdogo tu, lugha ya Kiingereza?Hapa ukoloni hauwezi kuisha kamwe.
kama mtu anasifia mtu kujua Lugha ya Mkoloni na kuponda Lugha ya Taifa lake.
Halafu mnataka kuongoza nchi..aisee!! Labda mtafute nchi ya kuiongoza huko ulaya
Na asipokutana nao tumfanyaje? Nashauri anyimwe kura kazidi uongoAkikutana nao tukufanyeje?
endelea kukalisha mapumbu hapo kwa shemu ukijua kua anaenda kuhojiwa na tumeTume ya maadili itakayomuhoji ndiio munaita mabalozi?
Acheni fix hata haya Hamna?
Haha..(sorry kwa kukukwaza na infriority yangu ni typing error tu.)Siku nyingine andika inferiority hivyo. Kwani Kiingereza unafundishwa nyumbani kwenu? Wengine tumejifunzia shuleni. Kwa hiyo kuongea Kiingereza ni dalili ya jinsi ulivyoelimika.
Kabudi wadhifa wake ni uprofesa tu. Hana lolote tatizo tumeichezea katiba yetu vibaya sana. Kwa akili yako ndogo unadhani Kabudi bado ni waziri? Halafu sio kila anayekosoa serikali ni mpinzani. Kama utakuwa mtu mzima kama mimi utajua jukumu la serikali ni nini na jukumu la CCM ni nini. Rudi darasaniNdio maana nasema upinzani hamna akili.
Hivi unatambua wadhifa|nafasi ya kabudi katika nchi hii??
Njoo kwa wakuitwa Tundulissu ana nafasi au wadhifa gani katika hii nchi hii kumfanya afanye kikoa na Mabalozi kama sio kuomba huruma ya mabeberu.
mbuzi wewe, inavyoelekea wewe umeishia la saba au haujaenda shule kabisa, ina mana kwa akili zako hizo za funza haujui faida ya kujua lugha za kimataifa mfano mdogo tu, lugha ya kiingereza ?
Akutane nao kufanya nini?Ni wazi lengo hapa ni kumkwamisha asikutane na mabalozi.
Itakuwa safi sana!
Walifanya kosa gani mpaka wagombezwe?Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amemtaka mgombea urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, kuripoti kituo cha Polisi Moshi Kilimanjaro, kutokana na kitendo anachodaiwa kufanya cha kukaripia, kuwagombeza na kugombana na viongozi wa polisi.
Tundu Lissu ni mgombea kama jiwe alivyompokea Mu7 na Ndaishimiye wakati wa kampeni hizi.Kabudi ni Waziri wa mambo ya nje!
Tume na polisi wapo kutekeleza majukumu yao.
1.Tume ipo kuhakikisha uchaguzi ni wa haki na salama.
Usalama unaanzia kipindi usajili ya vyama na wagombea wake, kipindi cha kampeni hadi kipindi cha uchaguzi.
Endapo itatokea mgombea yeyote atatokea kukwamisha kile ambacho Tume ya Uchaguzi imenuwia lazima huyo mgombea awe responsible/Liable.
2.Polisi wapo kuhakikisha amani na usalama unadumishwa katika nchi hii.
so,Mtu yeyote wa chama chechote atapoonekana anaenda kuivunja amani ya nchi kwa njia ya uchochezi,matusi,ushawishi na mengine yanayoendana na hayo lazima awe responsible pia hata kama wanasema siasa inahitaji kifua/uvumilivu wa hali ya juu.
N.B Kuijua|kusoma sheria kamwe kusikufanye ujione upo juu ya sheria.
Umepanick bro...estresadoHivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.