Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutinga Chato keshokutwa

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutinga Chato keshokutwa

Huyu kibaraka sasa naona hana sera kabisa! Anahangaika kama maharage yakiwa kwenye sufulia ya kipikwa lakini tarehe 28/10/2020 yataiva tu. Anafikiri urais ataupata kupitia Kanda ya Ziwa asahau kabisa anapoteza muda wake tu huyu kibaraka wa mabeberu!!
Afadhali beberu kuliko kaburu jpm
 
Niyeye.. Mbeba maono, Chato inakuhitaji Lissu, kwa maendeleo ya watu.
Chato hawahitaji uwanja wa ndege. Ni vile wamekuwa mateka wa MUHUTU katika nchi yao, wakisema wanapotezwa.

Oktoba 28 tunakupa kura zetu Lissu ili tuwe huru.
 
Tanzania hii hakuna mtu jasiri kama TAL tuliobaki ni mbwa koko ukitishwa kidogo mkia ndani pumbavuuuuu
This man deserves more than votes! Mama Luna Keene tetesi mbaya yoyote kuhusu huyu Tundu aje hapa
 
Hizi kelele za chura tukana kiswahili watu wakuelewe kama kweli una pumbu mbili matako ww
Onywanoko be, njooni Sasa Kama nyie wanaume na msijelaumu police hawakuwapa ulinzi, shenzi type, nahiyo ford ranger yenu lazima tuiuze screpa
 
Back
Top Bottom