Tundu Lissu: Makonda ni mhalifu mkubwa sana hapa Tanzania

Tundu Lissu: Makonda ni mhalifu mkubwa sana hapa Tanzania

Lema na Lisu wake zao wamewaachia wazungu wakifaidi utamu, alafu wamekuja huku kutupigia kelele za kijinga kabisa. Wasaliti wakubwa nyie
Unao ushahidi wa kutosha au umeandika tantalira za kiccm CCM.
 
Kwa hiyo kumbe wachaga wote ndo wapinzani wa Makonda? Waache ukabila mtu afanye aonavyo!
Ninaelewa kuwa kuna wapumbavu wengi sana wamesajiliwa na Bashite ili kuja hapa kuchafua hali hewa na hata haya majina wamejipa kwa lengo maalum> NI wa kupiga kwa namna zote! maajent wa Malyamungu
 
Mahakama ya nani???Wakati mlijitoa hata kwenye mahakama za Afrika ili mfanye upumbavu wenu.Tunawashangaa sana ninyi chama cha mambuzi.
Ujinga wa CCM ukafikiri kizazi hiki ni cha enzi ya Nyerere wakasuka mipango yao mibovu kuanzia Mahakama,Bunge,Vijijini,Serikali za Mitaa,Tume ya uchaguzi,Uchaguzi 2020,kifo cha Magufuri,mawasiliano na kila aina ya takataka .
 
IMG_20211218_014906.jpg
 
Wewe una matatizo mahala. Siyo bure unalinganisha mikutano ya chadema bayo watu wanaenda wenyewe na ile ya c ambayo watu hupewa posho, usafiri, lhanga na wasanii juu? Hah
Mipasho ya kwenye kanga haitokusaidia kitu kijana.

Ninachoweza kukwambia ni kwamba ile operation uchwara ya "255", iliyoanzishwa na Chadema kamwe haitoendelea tena ili kukwepa aibu ya kumezwa na kimbunga cha mikutano ya Makonda. Unaweza kujitoa akili kwa kukataa kinafiki hapa JF lkn akilini na moyoni unakubaliana na kile nilichoandika hapa.
 
Mipasho ya kwenye kanga haitokusaidia kitu kijana.

Ninachoweza kukwambia ni kwamba ile operation uchwara ya "255", iliyoanzishwa na Chadema kamwe haitoendelea tena ili kukwepa aibu ya kumezwa na kimbunga cha mikutano ya Makonda. Unaweza kujitoa akili kwa kukataa kinafiki hapa JF lkn akilini na moyoni unakubaliana na kile nilichoandika hapa.
wewe mimi naishi Tanzania tena naenda sana vijijini.sishindi kwenye IT rooms kama uvccm tunajua stori ya ukweli
unajua GWAJIMA anachokifanya huko kawe? anagawa khanga na matracksuti ya nn sasa?
 
Mipasho ya kwenye kanga haitokusaidia kitu kijana.

Ninachoweza kukwambia ni kwamba ile operation uchwara ya "255", iliyoanzishwa na Chadema kamwe haitoendelea tena ili kukwepa aibu ya kumezwa na kimbunga cha mikutano ya Makonda. Unaweza kujitoa akili kwa kukataa kinafiki hapa JF lkn akilini na moyoni unakubaliana na kile nilichoandika hapa.
badilsha katiba pawe na tume huru ya uchaguzi, TISS wakae mbali na polisi twende kazi
juzi tu mmekimbia na sanduku la kura huko njombe unaweweseka hapa
2020 kura zilipigwa siku mbili kabla na kuingizwa kwa mabegi bado unajidanganya tu
 
Back
Top Bottom