Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Tulisema hizo hoja za Tundu haziwezi kujibiwa na mtu mmoja au wawili labda Mkutano mkuu wa chama chetu nao utaishia blabla na isitoshe watanzania wameshafunguliwa ufahamu, ukweli uko wazi mzanzibari anauza rasilimali za Tanganyika kwa waarabu wenzake na kuwaumiza watanganyika hata Kinana na Kikwete wanajua.chawa wengi walijaribu Kujitutumua kumjibu ikashindikana sasa amekuja Makamu mwenyewe Cmd. Mh Kinana dhidi ya Makamu Mwenyekiti Mh Tundu Lissu
Nini ambacho Mh Kinana andhani walisahau ambacho amerudi kufafanua?
Juzi alikuwa na kikao itakuwa wamempa nondo za kuja nazo.Tulisema hizo hoja za Tundu haziwezi kujibiwa na mtu mmoja au wawili labda Mutano mkuu wa chama chetu nao utaishia blabla na isitoshe watanzania wameshafunguliwa ufahamu, ukweli uko wazi mzanzibari anauza rasilimali za Tanganyika kwa waarabu wenzake na kuwaumiza watanganyika hata Kinana na Kikwete wanajua.
Mimi ile siku nimemuona mama snakwenda Oman kumsalimia mjomba wake basi nikajuwa tumekwisha.Tulisema hizo hoja za Tundu haziwezi kujibiwa na mtu mmoja au wawili labda Mutano mkuu wa chama chetu na utaishia blabla na isitoshe watanzania wameshafunguliwa ufahamu, ukweli uko wazi mzanzibari anauza rasilimali za Tanganyika kwa waarabu wenzake na kuwaumiza watanganyika hata Kinana na Kikwete wanajua.
Uzuri wa Lissu anakudhalikisha kwa Hoja zenye Mantiki na ukweli mpaka unadhani kakutukana.Kinana ameshapitwa na wakati, wameiba vya kutosha angejipumzikia zake tu anatafuta aibu za uzee.
Yule Tundu Lisu kama kama hakuweza kumstahi Magufuli huyu Kinana anatafuta kudhalilishwa tu.
🤣Juzi alikuwa na kikao itakuwa wamempa nondo za kuja nazo.
Hahaha.....Mkuu ndio unataka ndugu wasisalimiane? Hizo sio siasa .Mimi ile siku nimemuona mama snakwenda Oman kumsalimia mjomba wake basi nikajuwa tumekwisha.
Kikwete aliposema bora Slaa aende ikulu kuliko Lissu kwenda bungeni alijuaUzuri wa Lissu anakudhalikisha kwa Hoja zenye Mantiki na ukweli mpaka unadhani kakutukana.
Tundu sio Binadamu wa kawaida alisema Mbunge Lusinde wa CCM jimbo la Mvumi.Kikwete aliposema bora Slaa aende ikulu kuliko Lissu kwenda bungeni alijua
🤣Tundu sio Binadamu wa kawaida alisema Mbunge Lusinde wa CCM jimbo la Mvumi.
Maskini ameamua ajikongoje mwenyewe na uzee wote ajipumuzikie tuKinana hata yeye mwenyewe hajui anaongea nini!
Now the struggle is RealHe survived to tell the tale.
Kabisa Mkuu ngoja LISSU awahibu mzee ataingia chini ya mezaKinana ameshapitwa na wakati, wameiba vya kutosha angejipumzikia zake tu anatafuta aibu za uzee.
Yule Tundu Lisu kama kama hakuweza kumstahi Magufuli huyu Kinana anatafuta kudhalilishwa tu.
Nimesikitika kuona Luka ana 'silaha' moja tu.Kweli operesheni ilikua kali hadi chawa matata Lucas Mwashambwa akaliwa kichwa
Hivi yuko wapi huyu mwamba?Kweli operesheni ilikua kali hadi chawa matata Lucas Mwashambwa akaliwa kichwa