Pre GE2025 Tundu Lissu ni kiboko, wameshapitisha sheria sasa wanarudi kufafanua nini? Amemwibua Comrade Kinana!

Pre GE2025 Tundu Lissu ni kiboko, wameshapitisha sheria sasa wanarudi kufafanua nini? Amemwibua Comrade Kinana!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wiki mbili za Tundu Lissu kufanya maandamano Takribani Mikoa 6 mfululizo zimeacha Madhara makubwa.
Madhara hayo ni kufungua Wananchi kuhusu maswala mbali mbali ikiwemo Uchaguzi, Katiba Mpyaz Uhuruz na Utawala bora, siasa na maendeleo.

chawa wengi walijaribu Kujitutumua kumjibu ikashindikana sasa amekuja Makamu mwenyewe Cmd. Mh Kinana dhidi ya Makamu Mwenyekiti Mh Tundu Lissu

Nini ambacho Mh Kinana andhani walisahau ambacho amerudi kufafanua?
Nilijua tu Kwa nondo za Lissu huko Lumumba hakutakalika! Hata hivyo ccm bahata yao ni mbaya wameshachelewa! Wananchi tumeshafahamu kila kitu! Na Mh jemedari wetu Lissu tunaomba ututajie na viongozi wa dini waliopewa tenda ya kifisadi ya kuagiza sukari.
 
Serikali Na Chama Dollar Wametikiswa Vibaya Mno
Kuanzia Jumatatu Serikali Yote Itaanza Kujibu Hoja Ingawa Ukweli Wa Lissu Umenyooka Kama Rula
 
Genius wa siasa za Tizee, Kinana, one-one discussion/debate
Kinana na Lissu, Lissu anadhalilika
 
Wiki mbili za Tundu Lissu kufanya maandamano Takribani Mikoa 6 mfululizo zimeacha Madhara makubwa.

Madhara hayo ni kufungua Wananchi kuhusu masuala mbali mbali ikiwemo Uchaguzi, Katiba Mpyaz Uhuruz na Utawala bora, siasa na maendeleo.

chawa wengi walijaribu Kujitutumua kumjibu ikashindikana sasa amekuja Makamu mwenyewe Cmd. Mh. Kinana dhidi ya Makamu Mwenyekiti Mh. Tundu Lissu!

Nini ambacho Mh. Kinana anadhani walisahau ambacho amerudi kufafanua?
Makamu Mwenyekiti CCM Kinana amekuja front kumjibu Makamu Mwenyekiti CHADEMA Mh. Lisu. Hakika hii imekaa vizuri.

Sasa Mwenyekiti wa CHADEMA akiongea itabidi ajibiwe na Mwenyekiti wa CCM....

Mambo ni bampa to bampa....kwako

johnthebaptist
 
Makamu Mwenyekiti CCM Kinana amekuja front kumjibu Makamu Mwenyekiti CHADEMA Mh. Lisu. Hakika hii imekaa vizuri.

Sasa Mwenyekiti wa CHADEMA akiongea itabidi ajibiwe na Mwenyekiti wa CCM....

Mambo ni bampa to bampa....kwako

johnthebaptist
Mbowe atajibiwa na mzee Wassira 🐼
 
Kinana anaishi Masaki mtaa ulipo ubalozi wa South Africa.

Kama una akili timamu utaelewa kwa nini Kinana anaonekana wazi amezeeka, mashavu yameshuka lakini hataki kustaafu wakati ana pesa kibao tu.
Lissu kilema, nani anataka Rais wa hivyo? Na wanasema ukilema waga unapanda mpaka kichwani
 
Wiki mbili za Tundu Lissu kufanya maandamano Takribani Mikoa 6 mfululizo zimeacha Madhara makubwa.

Madhara hayo ni kufungua Wananchi kuhusu masuala mbali mbali ikiwemo Uchaguzi, Katiba Mpyaz Uhuruz na Utawala bora, siasa na maendeleo.

chawa wengi walijaribu Kujitutumua kumjibu ikashindikana sasa amekuja Makamu mwenyewe Cmd. Mh. Kinana dhidi ya Makamu Mwenyekiti Mh. Tundu Lissu!

Nini ambacho Mh. Kinana anadhani walisahau ambacho amerudi kufafanua?
kwamba puppet anatisha 🐒
 
Back
Top Bottom