Pre GE2025 Tundu Lissu ni kiboko, wameshapitisha sheria sasa wanarudi kufafanua nini? Amemwibua Comrade Kinana!

Pre GE2025 Tundu Lissu ni kiboko, wameshapitisha sheria sasa wanarudi kufafanua nini? Amemwibua Comrade Kinana!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kinana ameshapitwa na wakati, wameiba vya kutosha angejipumzikia zake tu anatafuta aibu za uzee.

Yule Tundu Lisu kama kama hakuweza kumstahi Magufuli huyu Kinana anatafuta kudhalilishwa tu.
kwa nondo zile unamdhalilisha au unajidhalilisha 🐒

The Muzee kapiga slow but sure. Left Right and center 🐒
 
Wiki mbili za Tundu Lissu kufanya maandamano Takribani Mikoa 6 mfululizo zimeacha Madhara makubwa.

Madhara hayo ni kufungua Wananchi kuhusu masuala mbali mbali ikiwemo Uchaguzi, Katiba Mpyaz Uhuruz na Utawala bora, siasa na maendeleo.

chawa wengi walijaribu Kujitutumua kumjibu ikashindikana sasa amekuja Makamu mwenyewe Cmd. Mh. Kinana dhidi ya Makamu Mwenyekiti Mh. Tundu Lissu!

Nini ambacho Mh. Kinana anadhani walisahau ambacho amerudi kufafanua?
Badala ya kumshukuru mtoa hoja na kushughulikia hoja wapo tu kupambana. Haya mambo yalikuwepo sana enzi ya JK yakasababisha kampeni za ccm zikawa ngumu sana. Yaani hawa jamaa hanawaga lessons learnt?
 
Nilijua tu Kwa nondo za Lissu huko Lumumba hakutakalika! Hata hivyo ccm bahata yao ni mbaya wameshachelewa! Wananchi tumeshafahamu kila kitu! Na Mh jemedari wetu Lissu tunaomba ututajie na viongozi wa dini waliopewa tenda ya kifisadi ya kuagiza sukari.
Hilo Lissu atawasamre nchi itayumba
 
05 May 2024
Dodoma, Tanzania

Kinana: CCM Tumekubali Katiba Tunachobishana ni Lini. Wanataka Rais Asiwe na Kauli Kwenye Tume

View: https://m.youtube.com/watch?v=fPJEB-eVAxw
Leo Mei 5,2024, Makamu Mwenyekiti wa CCM anazungumza na waandishi wa habari na wanaCCM katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma. Anategemewa kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo kujibu shutuma mbalimbali zilizoibuliwa na upinzani ambazo CCM wameziita ni za kibaguzi dhidi ya Muungano.
 
Huyu jamaa ni shida..... Ameshindikana. Kila mtu amejaribu lakini kashinwa. Fatma kanyamaza kabisa baada ya kujibiwa na Lissu. Kimefanyika kikao kujadili hoja zake wakaamua kumtuma Kinana. Naye amepuyanga tu. Lissu hawezekaniki.

Lini tena atahutubia? Sasa sitaki kosa msikia.
 
05 May 2024
Dodoma, Tanzania

Kinana: CCM Tumekubali Katiba Tunachobishana ni Lini. Wanataka Rais Asiwe na Kauli Kwenye Tume

View: https://m.youtube.com/watch?v=fPJEB-eVAxw
Leo Mei 5,2024, Makamu Mwenyekiti wa CCM anazungumza na waandishi wa habari na wanaCCM katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma. Anategemewa kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo kujibu shutuma mbalimbali zilizoibuliwa na upinzani ambazo CCM wameziita ni za kibaguzi dhidi ya Muungano.

Kauli za Kinyonge sana sio tena ile ccm ya kibabe.
 
Hoja za Lissu zinahitaji utulivu sana kuzijibu. Hata hivyo Kinana amejitahidi ingawa kuna maeneo jibu pekee la hoja za Lissu ni Serikali 1 na Katiba Mpya. Otherwise hakuna anayeweza kuzijibu hata telete Malaika
 
Back
Top Bottom