Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

Hadi sasa Katiwa ulemavu na hakuna alichofanya ni sawa na kumuachia Mungu tu,sasa akiibiwa kura ndio atafanya nini na watanzania hawa wa Mange kimambi?
 
Halafu hao wananchi wafanye nini?! Wamtafute aliyeshinda au aliyetangaza mshindi?!
Judge Kaijage atakuwa kama Lubuva.
 
Kule Bungeni CCM hukosa umakini kwa kuwa wabunge wake wengi huwa siyo chaguo la wapiga kura nafsi zinawasuta sana kwa vitendo vya kuiba kura ambavyo huwafanya kujutia madhambi yao mda mwingi badala ya kujenga hoja kuwaletea maendeleo jamii zao
 
Huyu mdau mbona mbinafsi sana, badala aseme "ataingia na wanachi barabarani" yeye anasema "atawaingiza wananchi barabarani". Au hajasema yeye atakuwa wapi muda ambao wanachi atawaingiza barabarani ?
 
Hadi sasa Katiwa ulemavu na hakuna alichofanya ni sawa na kumuachia Mungu tu,sasa akiibiwa kura ndio atafanya nini na watanzania hawa wa Mange kimambi?
Kufanyiwa ubaya awali hukupa mbinu za kukabili ubaya unaokuja mbele, atafanya nini subiria wamuibie kura utaona atakachokifanya
 
Kwanini usiwashauri tume ya uchaguzi wasicheze na kura? Tatozo Ni wizi wa kura, Kama hakuna wizi wa kura automatically hakuna maandamano
 
So mkuu unataka akiibiwa kira aende akalale zake home?
Mkiambiwa umatanga wenu umesababishwa na elimu duni mnasema mmetukanwa.
Kuwa na elimu duni hamkumfazi mtu awe mbumbumbu wa mantiki.
Suala la kuibiwa kura halipo na kama litakuwepo litasababishwa na wao wenyewe kujiibia kura ili kujustify walichokipanga kufanya.
 
Huyu mdau mbona mbinafsi sana, badala aseme "ataingia na wanachi barabarani" yeye anasema "atawaingiza wananchi barabarani". Au hajasema yeye atakuwa wapi muda ambao wanachi atawaingiza barabarani ?

..na wanaopanga kumuibia kura na kumdhulumu wao siyo wabinafsi?

..tujielekeze ku-deal na watu waliounajisi mfumo wetu wa uchaguzi kiasi kwamba vyama vya upinzani havina imani nao.
 
..na wanaopanga kumuibia kura na kumdhulumu wao siyo wabinafsi?

..tujielekeze ku-deal na watu waliounajisi mfumo wetu wa uchaguzi kiasi kwamba vyama vya upinzani havina imani nao.
Unao ushahidi kuonyesha kuna watu wanapanga kumuibia kura ?
 
Kauli za mfa maji. Yeye ajiandae kuipatia ruzuku ya kutosha CDM. Nani aandamane kuhatarisha uhai wake kisa ulaji wa kikundi cha watu flani.
Nakufeel nikikuona kwenye baadhi ya threads, japo hatujuani. Ila haya mambo ya siasa, my dear one's unaniangusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Nilipoona jana wanabadili Tunu yetu ya taifa, utambulisho wetu wa Taifa yaani wanageuza maneno ya Wimbo wa Taifa kwa kuweka maneno ya chama chao, nikajua hapa hawa hawana nia njema na watanzania. Wana ushari. Na wanachokitafuta watakipata.

Hakuna mtanzania anaweza kukubali chama kumpitisha mgombea ambaye aliitakia mabaya Tanzania awe huyo huyo kuwaongoza kelekea barabarani. Lissu ni mwanaharakati si mtu wa kusimamia mfumo wa uongozi wa nchi. Hili nililisema muda mrefu sana. Hapa watu wataanza kunielewa.

Na kwa kosa la jana nadhani wanatafuta sababu ya kujitoa uchaguzi kukwepa aibu kushindwa vibaya sana hapo October, 2020.
 
Kufanyiwa ubaya awali hukupa mbinu za kukabili ubaya unaokuja mbele, atafanya nini subiria wamuibie kura utaona atakachokifanya
Kwa hivyo tu mkuu hata Tanzania tunaweza kumchimba mkwara US.

Hebu niambie tu ni lipi la kufikiria ambalo Lissu anaweza kufanya? Kushtaki kwa wazungu au kuingiza wananchi barabarani?

Mtu ambaye pale alipo hata usalama wa maisha yake tu kamuachia Mungu,sasa hapo ana lipi la kufanya endapo ccm wakiiba kura?

Tuacheni huu ulevi wa siasa,hata kwa Lowasa kuna watu waliamini kuwa ccm wasingeweza kuiba kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…