Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Hivi ukitoa tenda kampuni yako inachukua ikafanya kazi Kwa kiwango ni wizi? Wapumbavu nchi hii mtaisha lini?exactly this is what Lisu meant, not otherwise. Aliiba lakini siyo kama samia na genge lake. Kuna tenda nyingi zilifanywa na Mayanga construction Company ambayo ilikuwa kampuni yake, ALIIBA lakini siyo kama hii ya samia Mamndenyi
Wewe ni mpuuzi kuliko chiba.Wewe ni mjinga, Lissu anafanya comparison ya ubaya wa Mama yenu
Hapana risasi alipigwa na MboweRubbish, Lisu siyo kuwa anamuunga mkono magufuli, NO, A BIG NO! Ila anasema hakuiba na kama aliiba siyo kiwango cha kuuza bandari zetu. lakini he was instrumental katika kumpiga Risasi Lisu!
Alitukosea sana Mashabiki wa JPM kutoa maneno ya kuudhi wakati wa msiba.Naona umeamua kusalimu amri.
[emoji23][emoji23][emoji23]BUSH BIN LADEN ni Yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa tunaimba naye wimbo mmoja.
Crimea
Procedure ya Sasa unaijua we punga?Bladifaken bastard boy! there was no tendering as per government procurement law. No proper process of procurement was followed!
bastard boyProcedure ya Sasa unaijua we punga?
Walikuwa wanasema kama mna mchungu nendeni kazikwe naye[emoji23][emoji23][emoji23]
Duh amewatukanaje?Mwehu tu huyo hana jipya.
Akitoka hapo aende na kwa nyerere.
Wote hao ameshawatukana.
Tujifunze kuchanganua na kutumia akili zetu,Ama kweli hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu katika siasa
Nyumbu wote sasa ni wakati wa uelekeo wa Chato!Jirekebishe, kila mmoja anakwambia wewe fala
"Najua mtanikumbuka kwa mazuri" unabii umeshakamilika. Nimeogopa.. Kweli JPM hakuwa mtu wa kawaida.Lissu ameanza kumkumbuka Magufuli kwa mazuri; ha ha ha[emoji1787]
Sawa ajuza,tumekusoma.Mwehu tu huyo hana jipya.
Akitoka hapo aende na kwa nyerere.
Wote hao ameshawatukana.