Sabaya anapaswa kukamatwa na kuswekwa rumande kama alivyowasweka watu wengine.Ifike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!
Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?
Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.
Ni kweli, Lissu kwa mara zote amekuwa upande wa HAKI - he is made to be that way, na nafikiri hii ndiyo inayomponza wachache wasiotaKa haki Humchukia na hata kutaka kumdhuru.Hapo Tundu Lisu ameongea kama wakili mbobezi!
Hapana. Kaongea Kama mwanasheria. Ni ngumu Sana kumwelewa lisu Kama haupo vizuri.Hapo lazima kuna ugomvi na mwenyekiti wake.
Umeona eeh!Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni
Unazungumzia ndani ipi?ni aibu Sabaya kuwa ndani halafu Bashite anadunda mtaani, tufukue yote
Enzi za JK ilikuwa kiboko mtu anang'olewa kucha bila ganzi?Hivi waliomteka Ulimboka vipi? Kesi iliishia wapi? Vipi ile issue ya mabomu kwenye mkutano wa Chadema kuua na kujeruhi?
Vipi Alphonce Mawazo? Vipi Kubenea kumwagiwa tindikali? Vipi mwandishi Kubanda kutekwa na kutobolewa jicho! Kama issue ni kurudisha imani sidhani inapaswa kuanzia kwa Sabaya!
sawa na wengine nao wamfuate, hakua kiongoz pekee aliokuwa anafanya hayoSabaya ni jambazi aliyeluwa na mamlaka. Alitumia madaraka yake kujinufaisha yeye na kuwadhulumu pamoja na kuwaumiza watu wengine. Malalamiko juu ya vitendo vyake ni mengi sana. Msianze kumwonea huruma.
Acha apambane na mkono wa sheria.
To be honest tuanze na mama mwenyewe mana ndo alikuwa overall command Kando ya JiweHivi waliomteka Ulimboka vipi? Kesi iliishia wapi? Vipi ile issue ya mabomu kwenye mkutano wa Chadema kuua na kujeruhi?
Vipi Alphonce Mawazo? Vipi Kubenea kumwagiwa tindikali? Vipi mwandishi Kubanda kutekwa na kutobolewa jicho! Kama issue ni kurudisha imani sidhani inapaswa kuanzia kwa Sabaya!
Mnyeti anakula kiyoyozi bungeni tuni aibu Sabaya kuwa ndani halafu Bashite anadunda mtaani, tufukue yote
Jikague unaweza kuwa na matatizo ya akili usiridhike tu hilo neno "binafsi"JAPO SOTE TUTAKUFA LAKINI KIFO CHA DIKTETA MAGUFULI KIUKWELI MIMI BINIAFSI NILIFURAI SANA.
Ni kazi bure kumtetea muovu sabaya,acheni sheria ifate mkondoKama ni vitendo vya ukiukwaji wa sheria na haki za binadamu kwa utawala uliopita wa Mh. Sana mwendazake ulifanywa na viongozi wengi vijana, vijana wengi walioteuliwa walijiona miungu watu wakitaka kuabudiwa na kufanya vurugu za kila aina, hata Sabaya alikuwa na Ma "role model" wake aliokuwa akiwaiga kudhulumu, kupora na kuonea watu.
Sasa maoni yangu asigeuzwe yeye kama mbuzi wa kafara kama utawala huu wa mama umeamua kujikita kufuta watu machozi basi ikubali kufanya uchunguzi kwa viongozi wote wanaotajwatajwa na raia kukiuka haki za binadamu ktk utawala uliopita.
Naamini kuna viongozi wengi walikuwa na mabaya zaidi ya haya tunayomuandama nayo Sabaya, Mamlaka husika kama ni Takukuru au Ofisi ya DPP, au Polisi anzisheni uchunguzi dhidi ya viongozi wengine.
Ni kazi bure kumtetea muovu sabaya,acheni sheria ifate mkondoKama ni vitendo vya ukiukwaji wa sheria na haki za binadamu kwa utawala uliopita wa Mh. Sana mwendazake ulifanywa na viongozi wengi vijana, vijana wengi walioteuliwa walijiona miungu watu wakitaka kuabudiwa na kufanya vurugu za kila aina, hata Sabaya alikuwa na Ma "role model" wake aliokuwa akiwaiga kudhulumu, kupora na kuonea watu.
Sasa maoni yangu asigeuzwe yeye kama mbuzi wa kafara kama utawala huu wa mama umeamua kujikita kufuta watu machozi basi ikubali kufanya uchunguzi kwa viongozi wote wanaotajwatajwa na raia kukiuka haki za binadamu ktk utawala uliopita.
Naamini kuna viongozi wengi walikuwa na mabaya zaidi ya haya tunayomuandama nayo Sabaya, Mamlaka husika kama ni Takukuru au Ofisi ya DPP, au Polisi anzisheni uchunguzi dhidi ya viongozi wengine.