MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Hivi waliomteka Ulimboka vipi? Kesi iliishia wapi? Vipi ile issue ya mabomu kwenye mkutano wa Chadema kuua na kujeruhi?
Vipi Alphonce Mawazo? Vipi Kubenea kumwagiwa tindikali? Vipi mwandishi Kubanda kutekwa na kutobolewa jicho! Kama issue ni kurudisha imani sidhani inapaswa kuanzia kwa Sabaya!
Vipi Alphonce Mawazo? Vipi Kubenea kumwagiwa tindikali? Vipi mwandishi Kubanda kutekwa na kutobolewa jicho! Kama issue ni kurudisha imani sidhani inapaswa kuanzia kwa Sabaya!