Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo umeijua lugha ya Lissu.Lissu anachokitaka Sabaya atolewe hadharani apandishwe Kortini kila mtu aone.
Unajua Sabaya alikuwa anatakeleza Matakwa ya Jiwe, sasa usishangae Jamaa wakamalizana nae Kimya Kimya katika Muendelezo wa Kulinda Legacy ya Meko
Vipi kuhusu Mdee, Dk. Slaa? ulitegemea watafanya hayo wanayofanya? Wameshawahi kupigwa na kuvunjwa viungo vyao vya mwili, wako wapi leo? Usimtumainie sana mwanadamu mzeeHaiitaji kumfahamu mtu personally kujua tabia zake hasa hawa public figures ambao sehemu kubwa ya vitu wanavyofanya kila siku vinawekwa hadharani,hivi tunapofanya uchaguzi wa viongozi huwa tunawapima kwa kuwajua personally?....
Hakuna kitu kama hicho vijana tubadirikine tutumie nguvu na akili zetu kujipromote.Naweza kuwa raisi, lakini hapa namzungumzia mtu ambaye tayari alishakuwa mgombea uraisi na uwezekano wa kuupata upo karibu kwakuwa anaungwa mkono na watu wengi
TAL ni mtetezi wa haki za binadamu wa siku nyingi bila kujali nani anayehusika. Nina imani hata Mwendazake angeonewa kinyume na sheria bado TAL angesimama upande wa haki.Hapo Tundu Lisu ameongea kama wakili mbobezi!
Sabaya hata akichomwa moto nitafurahi sn, yule ni jangiliIfike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!.
Hakuna haki kwa Sabaya hata kidogoTAL ni mtetezi wa haki za binadamu wa siku nyingi bila kujali nani anayehusika. Nina imani hata Mwendazake angeonewa kinyume na sheria bado TAL angesimama upande wa haki.
Ana haki ya kufikishwa mahakamani na kujitetea na kisha kuhukumiwa kwa ushahidi utakaothibitishwa na mahakama.Hakuna haki kwa Sabaya hata kidogo
Lile jangili unapeleka mahakamani kufanya nini?Ana haki ya kufikishwa mahakamani na kujitetea na kisha kuhukumiwa kwa ushahidi utakaothibitishwa na mahakama.
Ndiyo kazi ya msingi ya mahakama kushughulika na majangiri, majambazi na majizi ya aina mbalimbali. Ila linakuwa jizi baada tu ya kuthibitishwa na mahakama. Kabla ya hapo ni mtuhumiwa tu na hana kosa.Lile jangili unapeleka mahakamani kufanya nini?
Sawa mkuuNdiyo kazi ya msingi ya mahakama kushughulika na majangiri, majambazi na majizi ya aina mbalimbali. Ila linakuwa jizi baada tu ya kuthibitishwa na mahakama. Kabla ya hapo ni mtuhumiwa tu na hana kosa.
Tukiruhusu haya kwa watesi wetu, itakuwa ni taswira yetu kwamba hata sisi tukipewa nafasi pamoja na hulka zetu za ukosoaji tutakuwa kama waoIfike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!
Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?
Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.
Lissu aungwe mkono.Ole sabaya apigwe risasi hadharani liwe fundisho kwa wengine
Una CHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVU, ila ninakubaliana na wewe Lissuu ni mnafiki na hata acha kuwa mnafiki kama wewe ulivyombainisha kwenye maoni yako.Ifike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!
Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?
Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.