Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anayekula rambirambi hatufai

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anayekula rambirambi hatufai

Uongo Uongo Uongo, yani mgombea urais unathubutu kuidanganya kadamnasi. Hufaia kuiongoza Tanzania. Umeona wapi popote pale duniani ambapo maafa yanatokea halafu serikali inakimbilia kujenga nyumba za watu binafsi kabla ya kujenga miundombinu ya eneo husika liliathirika?
Uzuri wewe kwa lisu ni kama mkia wa dagaa tu endelea kushauri
 
Watoke hadharani kwenda wapi sasa?

Subiri oktoba uone utoto wa Lisu ulipo
Huwezi kunielewa ninachosema. Mimi siongelei ushabiki naongelea ukweli.
Tunajua kuwa hata akishinda hatatangazwa ila kwa idadi ya kura za wananchi kuikataa serikali, naanimi watawala watajiuliza ni wapi wanakosea kama wanazo akili timamu.

Kuna watu wapo wanacheza na maisha ya watu alafu wanaona kawaida tu. Amini nakuambia hata kama kura haziamui, ila ni kipimo tosha cha serikali kujua vile inakubalika na wananchi wake
 
Siku Lissu atakapojua tofauti yake na Bi. Kijo Bisimba muda utakuwa umeishapita na rais atakuwa naapishwa!

Kuna tofauti kubwa kati ya uanaharakati na siasa, zile kiki alizopata bungeni akimuhenyesha Anne Makinda anadhani zinatamba kwenye jukwaa la kuomba kura! Huku ni kuonyesha Ilani na mikakati ya kuwainua wananchi na sio nani alijisaidia kibarazani wakati mavi yenyewe yameishakauka na hayanuki tena!
Kuvalisha kofia wavuta ganja kama Linex ni ilani?
 
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu amewaambia wana-Kagera wazi kuwa RAIS anayekula Rambirambi hafai kuwa Rais.

Mhe. Lissu alikuwa akiwakumbusha Wana Kagera alichowafanyia Rais Magufuli baada ya janga la tetemeko la Ardhi alipobadili matumizi ya Fedha za Rambirambi kusipeleka kujenga reli na mabarabara akisema ati," SERIKALI YAKE YA CCM HAIKULETA TETEMEKO LA ARDHI".



https://www.jamiiforums.com/data/at...a_Kagera.__Wananchi_wa_Kagera__480_X_480_.mp4

Hii tabia ya uropokaji wa Rais Magufuli kwa Sasa una mgharimu vibaya Sana!
Ndio sera za chadema?
 
Ni sawa but nakwambia sidhan kama ccm wenyewe walijipanga kusikia haya wanayosikia sasa
Kama yapi?

Wewe umesikia kipi kipya kutoka kwa Lisu ambacho hujawahi kusikia?
 
Kama yapi?

Wewe umesikia kipi kipya kutoka kwa Lisu ambacho hujawahi kusikia?
Magufuli hana Cheti kama mtoto wake wa kurithi Albert bashite.

Kumbe ndo maana alikuwa anamkingia kifua[emoji16][emoji16]
 
Uongo Uongo Uongo, yani mgombea urais unathubutu kuidanganya kadamnasi. Hufaia kuiongoza Tanzania. Umeona wapi popote pale duniani ambapo maafa yanatokea halafu serikali inakimbilia kujenga nyumba za watu binafsi kabla ya kujenga miundombinu ya eneo husika liliathirika?
Serikali hujenga iyo miundombinu kutumia fungu gani la pesa? Ulishawai kuhoji fungu la pesa za mahafa awamu ya 5 zimetumika wapi?
 
Uongo Uongo Uongo, yani mgombea urais unathubutu kuidanganya kadamnasi. Hufaia kuiongoza Tanzania. Umeona wapi popote pale duniani ambapo maafa yanatokea halafu serikali inakimbilia kujenga nyumba za watu binafsi kabla ya kujenga miundombinu ya eneo husika liliathirika?
Amesema kubadili matumizi ya pesa ya Rambirambi sio serikali kuwajengea nyumba
 
Lissu kwanini anaropokaropoka hovyo,anatakiwa ajuwe kuwa JPM bado ni Rais anapaswa kuchunga kaulizake.
Lisu ni mwanasheria anajua anachokifanya. Magufuli ni Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha mapinduzi (CCM), Ndo maana sahv anavaa nguo za Chama
 
Wacha kutufanya majuha wewe! Mie nichangie pesa zangu kusaidia waliopatwa maafa ya tetemeko halafu atoke dikteta azielekeze kwingine!? 😳😳😳😳


Zilichangwa pesa za maafa ambazo kazi zake ni kuhakikisha kuwa mindombinu inakuwa imara na thabiti kwa ajili ya kuwalinda na kuimarisha eneo husika lilioathirika.
 
Watanzania tulichangia michango mbali mbali ili kuwasaidia wenzetu (wahanga wa tetemeko) na sio kujenga miundombinu. Kurekebisha na kujenga miundombinu ni jukumu la serikali.

Magufuli alikula michango ya wahanga wa tetemeko hilo linajulikana, no discussion on that.
Uongo na Upotoshaji
 
Back
Top Bottom