kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Jibu point ya kula pesaAisee!
Bado sana, Lisu ni mtoto mdogo sana mbele ya CCM na Magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu point ya kula pesaAisee!
Bado sana, Lisu ni mtoto mdogo sana mbele ya CCM na Magufuli
Uzuri wewe kwa lisu ni kama mkia wa dagaa tu endelea kushauriUongo Uongo Uongo, yani mgombea urais unathubutu kuidanganya kadamnasi. Hufaia kuiongoza Tanzania. Umeona wapi popote pale duniani ambapo maafa yanatokea halafu serikali inakimbilia kujenga nyumba za watu binafsi kabla ya kujenga miundombinu ya eneo husika liliathirika?
Huwezi kunielewa ninachosema. Mimi siongelei ushabiki naongelea ukweli.Watoke hadharani kwenda wapi sasa?
Subiri oktoba uone utoto wa Lisu ulipo
Kwaiyo ni mtakatifu asirekebishwe,Lissu kwanini anaropokaropoka hovyo,anatakiwa ajuwe kuwa JPM bado ni Rais anapaswa kuchunga kaulizake.
Haki , Uhuru, maendeleo ya watuKwahiyo anataka rais anaekula rambaramba au..??
Kuvalisha kofia wavuta ganja kama Linex ni ilani?Siku Lissu atakapojua tofauti yake na Bi. Kijo Bisimba muda utakuwa umeishapita na rais atakuwa naapishwa!
Kuna tofauti kubwa kati ya uanaharakati na siasa, zile kiki alizopata bungeni akimuhenyesha Anne Makinda anadhani zinatamba kwenye jukwaa la kuomba kura! Huku ni kuonyesha Ilani na mikakati ya kuwainua wananchi na sio nani alijisaidia kibarazani wakati mavi yenyewe yameishakauka na hayanuki tena!
Aisee!
Bado sana, Lisu ni mtoto mdogo sana mbele ya CCM na Magufuli
Leo kapiga campaign wapi?Acha kubeza leta facts, kiongozi anazungumza ukweli ulio thabiti wewe unasema anaropoka ni aibu kubwa sana kwako. Jitafakari
Ndio sera za chadema?Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu amewaambia wana-Kagera wazi kuwa RAIS anayekula Rambirambi hafai kuwa Rais.
Mhe. Lissu alikuwa akiwakumbusha Wana Kagera alichowafanyia Rais Magufuli baada ya janga la tetemeko la Ardhi alipobadili matumizi ya Fedha za Rambirambi kusipeleka kujenga reli na mabarabara akisema ati," SERIKALI YAKE YA CCM HAIKULETA TETEMEKO LA ARDHI".
https://www.jamiiforums.com/data/at...a_Kagera.__Wananchi_wa_Kagera__480_X_480_.mp4
Hii tabia ya uropokaji wa Rais Magufuli kwa Sasa una mgharimu vibaya Sana!
Kama yapi?Ni sawa but nakwambia sidhan kama ccm wenyewe walijipanga kusikia haya wanayosikia sasa
Kwa Sasa Magu ni Rais wa mkopo!Lissu kwanini anaropokaropoka hovyo,anatakiwa ajuwe kuwa JPM bado ni Rais anapaswa kuchunga kaulizake.
Magufuli hana Cheti kama mtoto wake wa kurithi Albert bashite.Kama yapi?
Wewe umesikia kipi kipya kutoka kwa Lisu ambacho hujawahi kusikia?
Yes.. ndio Sera za Chama kubwa CHADEMA!Ndio sera za chadema?
Sasa hivi mmefilisika hoja mmebaki kusema 'subirini October'!Watoke hadharani kwenda wapi sasa?
Subiri oktoba uone utoto wa Lisu ulipo
Serikali hujenga iyo miundombinu kutumia fungu gani la pesa? Ulishawai kuhoji fungu la pesa za mahafa awamu ya 5 zimetumika wapi?Uongo Uongo Uongo, yani mgombea urais unathubutu kuidanganya kadamnasi. Hufaia kuiongoza Tanzania. Umeona wapi popote pale duniani ambapo maafa yanatokea halafu serikali inakimbilia kujenga nyumba za watu binafsi kabla ya kujenga miundombinu ya eneo husika liliathirika?
Amesema kubadili matumizi ya pesa ya Rambirambi sio serikali kuwajengea nyumbaUongo Uongo Uongo, yani mgombea urais unathubutu kuidanganya kadamnasi. Hufaia kuiongoza Tanzania. Umeona wapi popote pale duniani ambapo maafa yanatokea halafu serikali inakimbilia kujenga nyumba za watu binafsi kabla ya kujenga miundombinu ya eneo husika liliathirika?
Lisu ni mwanasheria anajua anachokifanya. Magufuli ni Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha mapinduzi (CCM), Ndo maana sahv anavaa nguo za ChamaLissu kwanini anaropokaropoka hovyo,anatakiwa ajuwe kuwa JPM bado ni Rais anapaswa kuchunga kaulizake.
Kama yapi?
Wewe umesikia kipi kipya kutoka kwa Lisu ambacho hujawahi kusikia?
Zilichangwa pesa za maafa ambazo kazi zake ni kuhakikisha kuwa mindombinu inakuwa imara na thabiti kwa ajili ya kuwalinda na kuimarisha eneo husika lilioathirika.
Uongo na UpotoshajiWatanzania tulichangia michango mbali mbali ili kuwasaidia wenzetu (wahanga wa tetemeko) na sio kujenga miundombinu. Kurekebisha na kujenga miundombinu ni jukumu la serikali.
Magufuli alikula michango ya wahanga wa tetemeko hilo linajulikana, no discussion on that.