Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli alitoa rushwa Kibiti Mil. 5 na akanunua jogoo laki moja wakati kashapitishwa kugombea Urais. Nitamuwekea pingamizi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli alitoa rushwa Kibiti Mil. 5 na akanunua jogoo laki moja wakati kashapitishwa kugombea Urais. Nitamuwekea pingamizi

Apo kwenye kurudisha uhusiano na nchi kimataifa ..,lijamaa ni dalali linataka kutimiza ahadi yake kwa mabasha zake mabeberu sina imani nae kabisa uyu mshamba alituaminisha kuwa Tanzania itashtakiwa Miga sijui tutakufa njaa iwapo tukiwagusa ACACIA kumbe lilikuwa lishavuta mpunga mnene then anakuja kutishia wanaume nyau chizi uyu..only vichaa vya Ufipa ndio atawatia shemere ila kwa watanzania walio wengi nasema tena walio wengi hawana hata mpango nae uyu mshamba mnyoa viduku.
Weka ushahidi halafu kajifunze kuandika
 
Raisi ana vyeo viwili Cha Uraisi na ugombea

Majukumu ya Uraisi yanabaki pale pale aweza toa donation popote kwa yeyote...
Sheria za uchaguzi mkuu azichagui cheo chako cha sasa. Haiangalii kama wewe ni Rais, Mwenyekiti wa chama au Mbunge. Ukishapitishwa tu kuwa mgombea sheria zinakataza kutoa rushwa.

Kuku anauzwa elf 20. Imekuwaje yeye atoe laki moja kwa kuku aliyepewa bure? Kwa wakili aliyebobea kama Lisu anaweza kumgalagaza Magu asubuhi tu. Labda NEC ipepese macho.
 
Sio rushwa, ni sawa na baba mwenye nyumba kutoa msaada kwa mpangaji wake.
 
Kwa roho nzuri gani aliyonayo mpaka atoe laki moja, zaidi ya kampeni?
Kwani kampeni zimeshaanza? Nyinyi kwenye vichwa vyenu ni zero brain! chochote anachosema Msaliti Lissu mnaingia kichwa kichwa tu.
 
Kwani kampeni zimeshaanza? Nyinyi kwenye vichwa vyenu ni zero brain! chochote anachosema Msaliti Lissu mnaingia kichwa kichwa tu.
Wamekariri hawajui jamaa ni mropokaji wa karne ila ukiwa zwazwa la ufipa ndio ivo kujiongeza ni mwiko.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
LOPOLOPO anaforce king ili atandikwe aanze kulia lia kwa mabeberu si mnaona mnaona wamenichapa tena.hizo strategy za chama chake maana ndio waliomvunja mguu.

huku chama dume wanamsoma tu kidiplomasia atakuja kuotewa atabaki anajamba tu. Jiwe anamwangalia tu anasema NHIIII😁
 
Lissu jaribu kuwa presidential material. Usiwe msemaji wa kila kitu. Mengine wape wapambe waseme. Nitume hata Mimi niseme
 
Angechukua form ya kugombea urais kwanza, ndio aanze kuweka mapingamizi.

Sasa atamuwekeaje pingamizi naye hajawa mgombea au raia yeyote huweka mapingamizi?!
 
Naanza kuelewa kwa nini walimnyeshea mvua ya risasi.

Na hii miaka 5 wasingefungia mikutano ya hadhara kijani hali ingekuwa tete mnoo.

Unforgetable
Inaingia akilini Sasa, miaka mitano ingekuwa mingi Sana kwa watawala pasipo kufungia mikutano ya siasa
 
Back
Top Bottom