Tundu Lissu: Rais wetu ni Rais wa Kifalme, hawajibiki kisheria mahali popote, anawajibika kwa Mungu wake tu

Tundu Lissu: Rais wetu ni Rais wa Kifalme, hawajibiki kisheria mahali popote, anawajibika kwa Mungu wake tu

Lissu bana!

Kila nchi na utaratibu wake -- kuna nchi nyingine viongozi wao ni wafalme kabisa na wakifa watoto wao wanasimikwa kuwa wafalme. Na mambo ya nchi zao yanaenda.

Na sisi utaratibu wetu ni kwamba Rais wetu awe na mamlaka yale -- waasisi wa Tanzania waliowaza na kuisuka hiyo katiba iliyompa Rais hayo madaraka hawakuwa wajinga. Nachukia sana kuona watu ambao hawajaifanyia Tanzania kitu chochote cha maana zaidi ya ulalamishi na kutafuna kodi zetu kupitia ulalamishi tu na kuquestion wisdom ya waasisi wetu waliotukuka. Who is Lissu katika nchi ya mamilioni ya watanzania wanaoona ni sahihi Rais kuwa na madaraka aliyo nayo?

Awkward!
Kati yako na Lissu nani angalau kaifanyia Tanzania kitu.
 
Ndugai kaangukaje?

Lililoanguka ni bunge, maana Ndugai atakaa pembeni akiendelea kula maisha, sasa vipi kuhusu bunge?
Bunge lilishaanguka tangu enzi za JPM. Sasahivi ni vile imefanya hata wale wenye uwezo mdogo wa kujua mambo wajue. Tangu enzi za awamu ya 5 hapakua na bunge.

Hivi Covid 19 wangekuwepo bungeni kama kuna bunge nchi hii!??

Huyo Ndugai amekili hadharani kwamba kuna Sheria zilipitishwa hata hajui kama alikua anasinzia au vipi kwa sababu haamini kama zilipitishwa na bunge lake.

Tutafute mkate wa watoto wetu tu, hii nchi tuwaachie CCM waendelee kutafuna kodi zetu.
 
Akiwa mbunge wa kawaida ana kosa nini?

Ukishangilia yaliymkuta Ndugai ni kwamba una shangilia kunajisiwa kwa bunge
Kutoka namba 2 kwa taifa hadi kuwa sawa na kibajaji kama huoni tatizo basi wewe ndio tatizo.
 
Kwanza ni kwambie kitu kimoja ndugai kafukuzwa uspika hajajiuzulu.
Mbili serikali na bunge lao ni MOJA ndo maana Sheria kibao wanazotunga viongozi wanazipeleka bungeni kwa ndugai kuzipitisha hata Kama zinaumiza watu.
Sasa basi kitendo Cha ndugai kumsema hadharani Samia wakati lao moja HUO NI USALITI ndo maana Samia anamshangaa ndugai maana lao moja.
Kwani ndugai anashindwa kuongea na Samia hayo Mambo mpaka atoke kumfokea Samia hadharani?
Vipi Samia yeye anajitoa vipi?

Uchawa hautakusaidia
 
Kwa hiyo Nyerere aliyesema Katiba inampa Rais nguvu kupitiliza alikosea?
Kama kila alichosema Nyerere mngekichukulia serious huyo huyo Lissu asingethubutu kumtolea Nyerere maneno ya kashfa. Au mmesahau? "Mwalimu alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu" - Tundu Lissu
 
Lissu bana!

Kila nchi na utaratibu wake -- kuna nchi nyingine viongozi wao ni wafalme kabisa na wakifa watoto wao wanasimikwa kuwa wafalme. Na mambo ya nchi zao yanaenda.

Na sisi utaratibu wetu ni kwamba Rais wetu awe na mamlaka yale -- waasisi wa Tanzania waliowaza na kuisuka hiyo katiba iliyompa Rais hayo madaraka hawakuwa wajinga. Nachukia sana kuona watu ambao hawajaifanyia Tanzania kitu chochote cha maana zaidi ya ulalamishi na kutafuna kodi zetu kupitia ulalamishi tu na kuquestion wisdom ya waasisi wetu waliotukuka. Who is Lissu katika nchi ya mamilioni ya watanzania wanaoona ni sahihi Rais kuwa na madaraka aliyo nayo?

Awkward!
Nonsense.
 
Mfano halisi wa watu waliojitoa mhanga, nawe unaweza kuonyesha mfano wako.
Kujitoa mhanga si michezo ya kombolela. View attachment 2071944
Pole zake lakini sidhani kama haya majeraha yanafit kwenye description ya waliojitoa mhanga kwa ajili ya nchi yetu. Kama anajihesabu hivyo ni kwa vita zake anazozijua mwenyewe.
 
Uhuru ni tangu 1962? Au ni Jamhuri...

Lissu ni mbabaishshaji na mpayukaji tu, wenye akili timamu wanampotezea tu
Kama akina nani, kwani wewe kwa akili yako unaweza ntajia kosa la mojakwamoja la Job
 
Una ka ugonjwa flan ka akili. Ila sio gono! Hivi nchi yetu ni ya mfumo wa kidemokrasia au hapana? Anzia hapo
Kwani katiba ya nchi yetu inasemaje? Soma katiba, na yote yaliyomo ndiyo mfumo wa nchi yetu ulivyo.
 
Kutoka namba 2 kwa taifa hadi kuwa sawa na kibajaji kama huoni tatizo basi wewe ndio tatizo.
Kwa hiyo kina lema, msigwa, mbowe, sugu nao wanateseka sana kukosa ubunge eti?
 
Kati yako na Lissu nani angalau kaifanyia Tanzania kitu.
Au kwa vile mi siyo maarufu?

Hata kama sijaifanyia chochote nchi yetu, bado hiyo haiondoi hoja yangu kwamba Lissu hawezi kuhesabika miongoni mwa watu walioifanya ya maana nchi yetu. Yapi?
 
Bunge lilishaanguka tangu enzi za JPM. Sasahivi ni vile imefanya hata wale wenye uwezo mdogo wa kujua mambo wajue. Tangu enzi za awamu ya 5 hapakua na bunge.

Hivi Covid 19 wangekuwepo bungeni kama kuna bunge nchi hii!??

Huyo Ndugai amekili hadharani kwamba kuna Sheria zilipitishwa hata hajui kama alikua anasinzia au vipi kwa sababu haamini kama zilipitishwa na bunge lake.

Tutafute mkate wa watoto wetu tu, hii nchi tuwaachie CCM waendelee kutafuna kodi zetu.
[emoji817][emoji3581]
 
Back
Top Bottom