Tundu Lissu: Sabaya siyo mkosaji wa kisiasa ni jambazi

Anawashwa huyu mzee. Hizi siasa huwa zinawatoa akili kabisa. Anachokifanya yeye ni kuwashambulia wenzie kama ambavyo ye alishambuliwa. Tofauti ye anashambulia kwa maneno wakati yeye alishambuliwa kwa silaha.
Sukuma Gang nyie ni wapumbavu sana,kumtetea jambazi sugu Sabaya lazima ujizime data kwanza.
 
Wewe ndio mjinga, ungewauliza hao wauliza maswali kwa nini hayo wanayouliza?
Yeye anajibu maswali mliyokuja nayo, hapangi maswali
Hawa watu hawana akili kabisa sijui kwanini. Utadhani TAL alienda kutoa hotuba Radioni kumbe aliitwa kwenye interview na Kuna maswali yanayoulizwa, asingeyajibu wangesema Ni jeuri!
 

Akina Sabaya waliobaki uraiani kama Paul Makonda washughulikiwe!
Mpuuzi shoga huyu. Sabaya kwake lazima atakua adui. Eti jambazi sasa mbona mahakama kawashinda wamemshikilia kutafuna njia mpya kumuangamiza.
 
Mpuuzi shoga huyu. Sabaya kwake lazima atakua adui. Eti jambazi sasa mbona mahakama kawashinda wamemshikilia kutafuna njia mpya kumuangamiza.
Bro Kama hii ndio njia sahihi ya kujibu hoja na kumtetea General Sabaya! Hata watawala ambao upo upande wao wanakushangaa!
 
Mpuuzi shoga huyu. Sabaya kwake lazima atakua adui. Eti jambazi sasa mbona mahakama kawashinda wamemshikilia kutafuna njia mpya kumuangamiza.
Wewe bwege ukitaka kumtetea mtu jaribu kupata facts zote ili uweze kujenga hoja zako kiweledi. Huyu bwana wako jambazi sugu Sabaya yupo lupango kwa kesi nyingine ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana siyo ile aliyofungwa miaka 30 kisha akashinda rufaa . Kwa taarifa yako hata hiyo aliyoshinda rufaa Dola imekata rufaa mahakama ya Rufaa kwa hiyo yuko rumande kihalali kabisa na bado zipo kesi nyingine Takukuru ziko kwenye hatu za mwisho za upelelezi ili zifikishwe Mahakamani. Wewe kama vipi tafuta bwana mwingine uolewe tu kumsubri huyo utazeekea kwa wazazi wako.
 
Sasa ushahidi si ulishapelekwa mahakamani hadi video za CCTV zipo.

Wewe una akili kweli?
Huyo jamaa ni punguani sana mimi huwa namuonea huruma mama yake kwa kumuweka tumboni miezi 9 bila kufanya abortion na kutuletea kiumbe cha hovyo...
 
"Lengai Ole Sabaya sio mkosaji wa kisiasa, Sabaya ni jambazi, na amehukumiwa kwa ujambazi.

Angeshtakiwa kwa yote ambayo aliyoyafanya na ambayo tunayafahamu angekaa gerezani maisha yake yote" TunduALissu,

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…