Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Sijaletewa malalamiko yoyote kuhusu chochote " As far as I'm concerned" sina chochote cha kufanya nje ya ratiba yangu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Sijaletewa malalamiko yoyote kuhusu chochote " As far as I'm concerned" sina chochote cha kufanya nje ya ratiba yangu

Sawa, lkn utafungiwa kufanya kampeni na hakuna kitu utafanya, utaikosesha chadema kura inazozihitaji ili iweze hata kupata ruzuku zetu na kukulipia wewe na familia yako.

Low IQ!
Nyie watu wa ajabu kweli mara hakuna atayempigia kura mara ataikosesha Chadema kura, sasa Chadema ikikosa kura si ndiyo furaha kwenu?
 
Kusomea sheria ni zaidi ya hapo, unaandika kama mtoto wa miaka 12, hili somo la sheria nina uhakika huwa hamlielewi, vinginevyo msingekuwa mnareason kama watoto, ...

Ndiyo mwanasheria, hebu tupe shule kidogo juu ya somo hilo. Na je ingekuwa ni wewe unasikia mitaani kuwa unatafutwa, na anayekutafuta anajua uliko na hajakupa taarifa rasmi, wewe ungefanyaje?
 
Yupo Arusha anaongea na waandishi muda huu na huo ndiyo ujumbe wake kwa tume. Malalamiko hayapelekwi Chadema wala Twitter bali anapelekewa yeye.
Sasa ameitisha press conference ya Nini?! Ndege mjanja hunasa kwenye Tundu bovu...
 
NEC na mama mkwe wake wamekalia misumari safari hii[emoji3]

Barua inatakiwa imfikie Lissu mwenyewe nyie mnapeleka Ofisi za Chadema,wakati huohuo mnajua yeye yupo kwenye kampeni,mna akili timamu kweli
 
Sawa, lkn utafungiwa kufanya kampeni na hakuna kitu utafanya, utaikosesha chadema kura inazozihitaji ili iweze hata kupata ruzuku zetu na kukulipia wewe na familia yako.

Low IQ!

Walifungiwa miaka mitano na wakaishi vizuri tu so kwa mwez mmoja sio tatizo wamfungie tu
 
Sawa, lkn utafungiwa kufanya kampeni na hakuna kitu utafanya, utaikosesha chadema kura inazozihitaji ili iweze hata kupata ruzuku zetu na kukulipia wewe na familia yako.

Low IQ!

Wewe wa High IQ umetusaidia nini mpaka sasa.....na kama akifungiwa si ndiyo furaha kwenu...acheni unafiki pambaneni na hali zenu..nyumba yenu inaungua moto huko.
 
Sawa, lkn utafungiwa kufanya kampeni na hakuna kitu utafanya, utaikosesha chadema kura inazozihitaji ili iweze hata kupata ruzuku zetu na kukulipia wewe na familia yako.

Low IQ!
Then you become Banana Republic, like Zimbabwe!! Cretin
 
Wewe wa High IQ umetusaidia nini mpaka sasa.....na kama akifungiwa si ndiyo furaha kwenu...acheni unafiki pambaneni na hali zenu..nyumba yenu inaungua moto huko.


Kwa maelezo yako unaonyesha kabisa hauipendi chadema kama unavyojidanganya na siajabu hata kura hautapiga, ...
 
Yupo Arusha anaongea na waandishi muda huu na huo ndiyo ujumbe wake kwa tume. Malalamiko hayapelekwi Chadema wala Twitter bali anapelekewa yeye.

Asante mkuu dikteta2020 kwa taarifa hiyo....je kuna chombo chochote kiko hewani tumfuatilie?
 
Kwa maelezo yako unaonyesha kabisa hauipendi chadema kama unavyojidanganya na siajabu hata kura hautapiga, ...

Haitakaa itokee ccm itoe mbinu na namna ya kushinda uchaguzi huu kwa CDM...
 
Sawa, lkn utafungiwa kufanya kampeni na hakuna kitu utafanya, utaikosesha chadema kura inazozihitaji ili iweze hata kupata ruzuku zetu na kukulipia wewe na familia yako.

Low IQ!
Embu jaribuni kufanya hilo kosa muone.
 
Yupo Arusha anaongea na waandishi muda huu na huo ndiyo ujumbe wake kwa tume. Malalamiko hayapelekwi Chadema wala Twitter bali anapelekewa yeye.
Hayo Ni majibu murua ya kisheria kabisa , sass hao wanaopokea maagizo kutoka juu bila kufuata sheria na katiba watachemka . Tume uchaguzi , msajili wanafanya Mambo kwa kupokea maagizo kutoka juu na sio weledi .
Screenshot_20200929-111301.png
 
Sawa, lkn utafungiwa kufanya kampeni na hakuna kitu utafanya, utaikosesha chadema kura inazozihitaji ili iweze hata kupata ruzuku zetu na kukulipia wewe na familia yako.

Low IQ!
Wa kumwita TL low IQ hayupo kwa sasa Tanzania hii, ogopa mtu anamtungisha mtu ana majeshi yote na other resources.
Think best bro kbl ya kutamka!!!
 
Back
Top Bottom