Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Sijaletewa malalamiko yoyote kuhusu chochote " As far as I'm concerned" sina chochote cha kufanya nje ya ratiba yangu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Sijaletewa malalamiko yoyote kuhusu chochote " As far as I'm concerned" sina chochote cha kufanya nje ya ratiba yangu

Sawa, lkn utafungiwa kufanya kampeni na hakuna kitu utafanya, utaikosesha chadema kura inazozihitaji ili iweze hata kupata ruzuku zetu na kukulipia wewe na familia yako.

Low IQ!
Na asipofungiwa ni high IQ, sawa?
 
Sawa, lkn utafungiwa kufanya kampeni na hakuna kitu utafanya, utaikosesha chadema kura inazozihitaji ili iweze hata kupata ruzuku zetu na kukulipia wewe na familia yako.

Low IQ!
Atafungiwa kwa kukiuka kanuni za ccm sio?
 
Ni
IMG_20200930_104100.jpeg
IMG_20200930_104355.jpeg
 
Sawa, lkn utafungiwa kufanya kampeni na hakuna kitu utafanya, utaikosesha chadema kura inazozihitaji ili iweze hata kupata ruzuku zetu na kukulipia wewe na familia yako.

Low IQ!
Kura yangu kwa Lissu,lije jua ije mvua!
 
Hawatafanya hivyo nje ya utaratibu...!!

Yaani mnaanza na kurudi kulekule...

Ooh, huyo hatarudi Tanzania....!.

Ooh, huyo akifika JKINA tu anaelekea Segerea...!

Ooh, huyo Mbowe hatakubali agombee....!!

Ooh, huyo hatapewa fomu za ugombea na tume....!!

Ooh, anawekewa pingamizi, amevunja maadili ya viongozi wa umma...

Ooh, huyo hapitishwi na NEC ana kesi Mahakamani.....!!

Ooh, huyo hana pesa za kampeni, hatafika popote....!!

Sasa mmerekodi santuri nyingine kwa "producer", Dr Wilson Mahera Mkurugenzi wa uchaguzi - NEC yenye wimbo wenye beat za hovyo usio na radha kusikiliza masikioni wa...

"... Anakiuka ama kuvunja kanuni katika kampeni zake...."

Haya, ngoja tuone mwisho wenu. Obviously, ni uleule tu....KULEGEA..!!
😁😁😁,hawa mataga kazi kweli kweli!
 
Sawa, lkn utafungiwa kufanya kampeni na hakuna kitu utafanya, utaikosesha chadema kura inazozihitaji ili iweze hata kupata ruzuku zetu na kukulipia wewe na familia yako.

Low IQ!
Low IQ ni yule anaiba rambirambi bila aibu licha ya cheo chake kikubwa nchini
 
Hapana!
Kutoka vyazo vya habari..inaonekana tume inawajia juu sababu wapo nje ya muda;
Ratiba inawabana ..kwanin wasiokoe muda kama tu kuna uwezekano wa kuwapata watu wa kuwahutubia hata muda ya asubuhi?
 
Sawa, lkn utafungiwa kufanya kampeni na hakuna kitu utafanya, utaikosesha chadema kura inazozihitaji ili iweze hata kupata ruzuku zetu na kukulipia wewe na familia yako.

Low IQ!
Kakudanganya Nani? Waambie wajaribu hizi siyo zama hizooo unazowaza waambie wajaribu kama n'nya haitagonga SañLG.
 
Yupo Arusha anaongea na waandishi muda huu na huo ndiyo ujumbe wake kwa tume. Malalamiko hayapelekwi CHADEMA wala Twitter bali anapelekewa yeye.

Tundu Lissu amesema kuwa yeye ndiye aliyesaini hati ya maadili ya tume na lolote linalomhusu yeye kuhusu maadili ya uchaguzi ni lazima apelekewe yeye kwa maandishi.

Lissu amesema kuwa anasikia tu huko mitandaoni kuwa vyama vya NRA na CCM vimepeleka malalamiko dhidi yake kwa tume ya uchaguzi kuwa anakiuka maadili ya uchaguzi ambayo aliyasaini.

Hivyo basi amesema mpaka leo asubuhi hajapelekewa malalamiko yoyote kimaandishi yakimhusu kutoka tume hivyo anaendelea na ratiba yake kama ilivyopangwa na tume.

=======
Mgombea urais kupitia tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema,

“Nikichaguliwa kuwa Rais nitaunda Serikali ya Chadema kwasababu ya Katiba inavyosema. Kama kutakuwa na uhitaji itabidi tubadilishe Katiba kwanza, na moja ya maazimio ya Chadema ikishinda Uchaguzi Mkuu ndani ya siku 100 tutaanzisha mchakato wa Katiba mpya.”Tundu Lissu

“Bob Amsterdam ni Mawakili wangu, wanashughulika na maswala yangu yote yakisheria ya ndani na nje ya Nchi. Kama Tume imeandikiwa barua basi Mawakili wangu wamekuwa wakitimiza wajibu wao, Kama nilivyosema uchaguzi mkuu hatutaki mchezo, na Chadema lazima tushinde uchaguzi huu.”TL

Piga spana Tundu hadi akili iwakae sawa. Mbuzi jike hawa ccm
 
Back
Top Bottom