ighaghe
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,286
- 3,203
Jasusi si mwepesi kama unavyomchukulia. Unaamini alienda ACT kuchukua nchi? Kuna kazi anafanya na mpaka sasa anaifanya vizuri tu.Membe Mzee wa tumtoe tusimtoeeee, hahaha hakika membe alikosa timing ya kuingia kwenye kinyang'anyiro