Valuhwanoswela
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 1,229
- 1,125
Huyo ni mmoja wa madomokaya wa buku 7 wanalishwa ya kusema na kusahau saa hiyohiyo.kweli wewe M@Magonjwa Mtambuka mara hii umesahau
polepole na genge lake la CCM wanapoteza bure kodi zetu kwa kulipa elfu saba mtu mwenye akili ya namna hii.Best loser anajipya gani? Huyu lissu ni mfa maji,hana atakachoambulia kwenye uchaguzi wa October, akijitahidi sana ni 5% ya kura zote
Samaki akikauka hakunjikiWee mzee mwenzangu wa enzi ya Wamba dia Wamba akiwa UDSM, badilisha mawazo.
Matusi na kashifa hazijengi mkuu, but siwezi kuwalaumu maana mgombea wenu break mdomoni kwake,chochote kikija kwake ni kuropoka tuKuna mbwa wenzio pale lumumba wanasema hataambulia chochote. Wewe umeboresha kidogo. Bashiru naye kasema watashinda viti vingi.
Mtaelewa tu mwaka huu.
Jifunze kwanza kuandika, kabla ya kujifunza kujenga hoja. Shwain.Matusi na kashifa hazijengi mkuu, but siwezi kuwalaumu maana mgombea wenu break mdomoni kwake,chochote kikija kwake ni kuropoka tu
Turudi kwenye hoja,lissu hafai kuwa rais na hata kuwa kwa vyovyote vile iwavyo,huyu mtu no mbinafsi na mlafi wa madaraka na ataigawa nchi yetu na huenda hata ikaingia kwenye machafuko sababu ya huyu lissu
Watanzania hawapendi promo,wanapendA rais mchapa kazi kama ilivyo kwa JPM,
Harafu itakuwa ni maajabu kwa chama ambacho hakina uhakika wa kupata japo five MPs kutegemea kutoa rais wa kuiongoza nchi
Kama mlimshindwa kwa risasi kwenye box la kura ndiyo mtamuweza?? Na kama mlijua hilo risasi zilikuwa za nn??Best loser anajipya gani? Huyu lissu ni mfa maji,hana atakachoambulia kwenye uchaguzi wa October, akijitahidi sana ni 5% ya kura zote
Bado yuko hewani?!Lissu anaongea na dunia nzima sio Tanzania tuView attachment 1528753
Yaonekana kuna connectivity problem from our side as mahojiano yanakatikakatika?!!Asavali. Media za huko hawana mambo za kukata kata speech za watu. Acha ateme cheche vizuri
soma jina .Anaitwa "MAGONJWA MTAMBUKA"wewe so uliropoka Lissu harudi tena Tanzania
Mbona mnamuogoba,Best loser anajipya gani? Huyu lissu ni mfa maji,hana atakachoambulia kwenye uchaguzi wa October, akijitahidi sana ni 5% ya kura zote
Haya wewe subiri,mimi wala silipwi hiyo pesa unayoisema,mimi ni mzalendo na akili zangu si za kuambiwa kama za wale wenye mgombea mtaalamu wa kuropoka. Mimi najua kupima mambo,lissu hawezi kuwa rais na wala hatakuwa rais hadi anaenda kaburinipolepole na genge lake la CCM wanapoteza bure kodi zetu kwa kulipa elfu saba mtu mwenye akili ya namna hii.
N.G.U.R.U.W.E wa Lumumba mnatapatapa sana, mitano ya Nduli makufuli inatosha. Utawala wa mkono wa chuma sasa basi.Haya wewe subiri,mimi wala silipwi hiyo pesa unayoisema,mimi ni mzalendo na akili zangu si za kuambiwa kama za wale wenye mgombea mtaalamu wa kuropoka. Mimi najua kupima mambo,lissu hawezi kuwa rais na wala hatakuwa rais hadi anaenda kaburini
Kumpa lissu hii nchi ni Mara kumi akapewa hashimu Rungwe kuliko huyu bwana
Yaonekana kuna connectivity problem from our side as mahojiano yanakatikakatika?!!
Kaka KTN ipo DSTV kwa hiyo Watanzania nchi nzima tunafuatilia habari zao.Nyie bakini na TBC na AZAM yenuWakenya watampigia kura. Duh.
Kama wanyarwanda wlivyompigia kura mzilankndeWakenya watampigia kura. Duh.