Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chadema wakishika nchi, mawaziri watatoka Kenya.
Sio usaliti wanatamani sana sema ni faini vitisho na kufungiwaYani kweli media za ndani zimeamua kusaliti upinzani kweli kabisa kweli haya bwana siku hazigandi.
Hujajibu swali bwashee!Mataga kwani unateseka?
Swali fikiri je corona bado ipo?Lisu katumwa na mabeberu huyu jamaa ataleta madhara makubwa Sana kiuchumi kwa Taifa letu hakika nawaambieni.
Hao wataliii wanaokuja wanatokea nchi zenye korona kwa 120 %,CHADEMA punguzeni papara na haraka zisizo na msingi wakati mnaandaa mikakati yenu mnawapa CCM hoja za kuwaonesha wananchi ninyi hamuitakii mema Tanzania na mnajali maslahi yenu tu na ya nchi jirani.
Unapokwenda kwenye vyombo vya habari vya nje ukasema watu wengi wanakufa kwa COVID-19 nchini kwako unasababisha kudorora kwa uchumi wa nchi yako kupitia sekta ya ANGA na UTALII.
Tumeona ile video jirani wanalialia watalii wote wa EAC sasa wanaenda Tanzania. Jamaa kwa kauli kama zile kwa lugha ile ya watalii (kiingereza)amerudisha juhudi za nchi yake nyuma kwa hatua 100.
Lissu ametumika na adui bila kujijua, ametekeleza na kupenyeza agenda ya adui kuidhuru nchi yake ambayo anaomba kuwa kiongozi mkuu wa hiyo nchi.
Leo Lissu 'katoa boko', mlitakiwa mumuandae mtangazi wa KTN kwamba mnaomba msimuulize maswali Lissu kuhusu hiki na hiki.
Ni mawazo tu ya mtu mwenye njaa mtaani, kama vipi yapuuzieni muendelee na mtindo wenu huu wa kufanya vitu kwa kujibu mapigo bila kujipanga.
Ndugu Humprey Polepole tumieni vizuri hili boko alilotoa Lissu. Usaliti kwa nchi yako hautakiwi kwa gharama yoyote ile.
Nimesema hapa Lissu hafai kuwa raisi hata kwa mwezi mmoja tu na papara zake na mihemko.
TAFSIRI KWA WAZEE WETU: 'Kutoa boko' ni kufanya kitendo ambacho kina igharimu vibaya timu yako.
Wakwenu hata kufanyiwa mahojiano hataki kwa sababu hajui ngeliHawana muda wa kuhangaika na best loser,huyuu lisu hana jipya,acha akawahutubie wakenya màana ndo wapiga kura wake
AiseeeWakwenu hata kufanyiwa mahojiano hataki kwa sababu hajui ngeli
Wewe umemuona akivaa barakoa kwenye mkutano wowote.Swali fikiri je corona bado ipo?
Ipo ndio maana mnasongama na kukusanyika hovyo bila kuvaa barakoa na kuachiana nafasi kwenye mikutanoSwali fikiri je corona bado ipo?
Mwambie Lisu akazane kuongea ngeli ndipo kura zinapoongezeka.Wakwenu hata kufanyiwa mahojiano hataki kwa sababu hajui ngeli
Na kura atapigiwa na duniaLissu anaongea na dunia nzima sio Tanzania tuView attachment 1528753
Kuna watu mna mawazo ya kizamani! Hivi shule mlienda kujifunza ujinga?Hoja za Lissu ni kuhakikisha Wapiga dili wanakwamisha Mipango yetu ambayo mpaka saizi wamekwama.
Mfano Mtu unajikweza kwa Wakenya waliorubuni ndege za EAC ambazo ni za Watz na wana EAC si lazima unatambulika kwamba upapeti wako ni wa namna vipi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna mtu anasema amenunua ndege kwa keshi na haoni mtanzania mwingine anaweza kufanya hivyo,Sasa sijui kesho corona ikimchukua ndo utakuwa mwisho wa nchi hii? Kwa kweli kuwa uyaoneBest loser anajipya gani? Huyu lissu ni mfa maji,hana atakachoambulia kwenye uchaguzi wa October, akijitahidi sana ni 5% ya kura zote
Sasa kama kashindwa kufanyia Tz nan asafir kutoa taarifa? Wacha atumike kwa mabeberu watampigia kura huko hukoYani kweli media za ndani zimeamua kusaliti upinzani kweli kabisa kweli haya bwana siku hazigandi.
Tusubiri logic ya wapiga kura Oktoba 28, 2020.Hao wataliii wanaokuja wanatokea nchi zenye korona kwa 120 %,
Logical thinking, nchi yenye corona free inashangilia kupokea wataliii kutoka nchi yenye corona???
Kwamba taa za barabarani nazo siku hizi ni maendeleo? Kukosa exposure kweli ni mzigo,kumbe ndo maana walitaka kuweka taa hapa mbeziNa kura atapigiwa na dunia
Usikute ajira tu hunaSasa kama kashindwa kufanyia Tz nan asafir kutoa taarifa? Wacha atumike kwa mabeberu watampigia kura huko huko
Umeambiwa corona haipo ila jihadhari na corona inauwa kwa muda mfupiKuna mtu anasema amenunua ndege kwa keshi na haoni mtanzania mwingine anaweza kufanya hivyo,Sasa sijui kesho corona ikimchukua ndo utakuwa mwisho wa nchi hii? Kwa kweli kuwa uyaone