Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Taifa ni nini kwani?Mwenye uwezo wa kuhutubia taifa ni Mh. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, huyo Lisu semeni anaongea na online tv na sio kuhutubia taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taifa ni nini kwani?Mwenye uwezo wa kuhutubia taifa ni Mh. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, huyo Lisu semeni anaongea na online tv na sio kuhutubia taifa
Si ulisema hautafuatilia, hapa umefuata nini?kibaraka hua ana bweka bweka tu,
kabisa hua hana athari zozote kisiasa, kijamii au kiuchumi ispokua kuwafurahisha wenye midoma na makelele wenzake.![]()
kibaraka hua ana bweka bweka tu,
kabisa hua hana athari zozote kisiasa, kijamii au kiuchumi ispokua kuwafurahisha wenye midoma na makelele wenzake.![]()
Una washwa ni nini?Tulia rais aongee .Wewe msubiri mama yakoMwenye uwezo wa kuhutubia taifa ni Mh. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, huyo Lisu semeni anaongea na online tv na sio kuhutubia taifa

Ulisema hautafuatilia Lissu anasema nini Leo, nini kimekuleta hapa!?kwa ukurupukaji na papara za huyu kiongozi,
sure,Hata Rais wako alishasema Tundu Lissu ni SIMBA, kuonesha kuwa ana mchango kwenye siasa za nchi hii
Unabishana na mwenyekiti wako?

acha upotoshaji na uongo mbele ya wadau gentleman,Ulisema hautafuatilia Lissu anasema nini Leo, nini kimekuleta hapa!?

Waliosema Lissu akipiga Ngoma CCM wanademka, alikuwa sahihi kumbe.sure,
alisema huyo kibaraka ni simba koko![]()
ni muanzilishi wa makelele na mdomo, vita ya maneno, uhasama, uadui na uvaaji bullet proof vest miongoni mwa wana chadema yenyewe na sio upotoshaji wako gentlemanWaliosema Lissu akipinga Ngoma CCM wanademka, alikuwa sahihi kumbe.
Lissu ndiye muanzisha mwendo Kwa siasa za Tanzania.

Lissu ndiye mtanzania pekee aliyekataa kunyamazishwa na Magufuli.ni muanzilishi wa makelele na mdomo, vita ya maneno, uhasama, uadui na uvaaji bullet proof vest miongoni mwa wana chadema yenyewe na sio upotoshaji wako gentleman![]()

Babu akiongea kipaza chote kinajaa mate ukikamua kunajaa kikombe
ofcoz ni mtanzania mnafiki wa kwanza kuvaa bullet proof vest kwa kisingizio cha hatari za usalama wake ndani ya chadema HQ, lakini akisingizia taasisi za nje ya chadema,Lissu ndiye mtanzania pekee aliyekataa kunyamazishwa na Magufuli.

Kibaka? Na Sisi tukimuita Mwenyekiti wako kibaka itakua poa?HUYO KIBAKA BADO HAJAFIKIA KUTWA ANAHUTUBIA TAIFA SEMENI ANAONGEA NA WAANDISHI WA HABARI ,KUHUTUBIA TAIFA NI ISSUE NYNGINE LABDA AJARIBU MWAKA 2050
Huyu ndio kapendekeza Mzee mwenye kujitambua afukuzwe CCM, ila CCM buana, unamuacha mwenye akili unampa huyu Uenyekiti

