Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Hii ndiyo waingereza huiita "Panic attack" 😀😃😆apewe maji ya kunywa jamani ana kiu huyo![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndiyo waingereza huiita "Panic attack" 😀😃😆apewe maji ya kunywa jamani ana kiu huyo![]()
kwa hiyo hapo amepanic right?Hii ndiyo waingereza huiita "Panic attack" 😀😃😆

Wewe ndiyo umepanik😆😃😀kwa hiyo hapo amepanic right?
HUYO KIBAKA BADO HAJAFIKIA KUTWA ANAHUTUBIA TAIFA SEMENI ANAONGEA NA WAANDISHI WA HABARI ,KUHUTUBIA TAIFA NI ISSUE NYNGINE LABDA AJARIBU MWAKA 2050
unapaniki vipi kwaajili tu ya upotoshaji wa kibaraka mvaa bullet proof asie na athari kisiasa gentleman?Wewe ndiyo umepanik😆😃😀
Wahehe wanasema unaropokwa😀😃😆

Wewe huwezi kujua athari zake kwa kuwa siye uliyekusudiwa. Kina Wassira ndiyo wanajua athari ya anachokisema Lissu.unapaniki vipi kwaajili tu ya upotoshaji wa kibaraka mvaa bullet proof asie na athari kisiasa gentleman?![]()
anazungumzia atapataje wabunge wa viti maalumu hukuWewe huwezi kujua athari zake kwa kuwa siye uliyekusudiwa. Kina Wassira ndiyo wanajua athari ya anachokisema Lissu.

Una haraka sana mpiga chabo... Wenye gemu lao wanajua nini wanafanya😆anazungumzia atapataje wabunge wa viti maalumu huku![]()
viti vingine haiwezekani dah, hesabu imegoma![]()
apewe maji ya kunywa basi jamani mpaka aombe?Una haraka sana mpiga chabo... Wenye gemu lao wanajua nini wanafanya😆

kwa ukurupukaji na papara za huyu kiongozi,
bilashaka yoyote wagombea udiwani na ubunge wa chama hicho watenguliwa tu tena zaidi hata ya uchaguzi wa serikali za mitaa, kwasababu wanachochewa kugombea uongozi ni watu midomo na makelele tu badala ya kuzingatia sifa na vigezo vya kisheria na kikatiba vilivyopo.
Rais ataendelea kuwateu makamishna wa tume huru ya uchaguzi kwa mujibu wa sheria.
na watumishi wa uma wa ngazi yoyote huko wilayani na mikoani na kwenye kata wataendelea kusimamia uchaguzi bila mbambamba ya chama chocho cha siasa,
uchaguzi huru, haki na wa wazi nchini, ngazia ya udiwani, ubunge na urais utafanyika kwa salama na amani mapema oct.2025. hakuna haji kubaika na makelele ya vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.
hakuna tatizo hata moja kwenye uchaguzi wa Tanazania,
watakao leta fujo watadhibitiwa vilivyo bila kuchelewa.
ni muhimu sana kila mtanazia kufahamu na kuzingatia hili![]()
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu siku ya leo Jumatano Februari 12, 2025. anazungumza na wanahabari Makao Makuu ya chama hicho mkoani Dar es Salaam
Endelea kufuatilia uzi huu hapa Jamiiforums kupata updates kuhusu hotuba hii
Tundu Lissu anasema rafu zilizotokea kwenye chaguzi za 2019, 2020, na 2024 zinatoa picha za mwelekeo wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
"Katika miaka hii 67 ya kufanya uchaguzi, mifumo yetu ya uchaguzi imepitia mabadiliko mengi sana, sheria zetu za uchaguzi zimefanyiwa marekebisho zimetungwa upya, katiba zetu zimebadilishwa , kwa kiasi kikubwa katika hii miaka 67 tumejifunza mengi, leo tunapozungumza tunategemea nini hasa?
Ninazungumzia uchaguzi wa mitaa na vijiji wa mwaka 2019, Uchaguzi Mkuu wa Marais, madiwani na wabunge wa mwaka 2020 na uchaguzi wa mitaa na vijiji uliofanyika Novemba 2024. Chaguzi hizi tatu zinatupa sababu ya kujiuliza uchaguzi mkuu wa mwaka huu utakuaje?"
- Lissu pia amesema kwamba Uchaguzi wa Tanzania unadhibitiwa na Rais na kwamba Rais ana mamlaka makubwa sana juu ya Uchaguzi
"Jambo la kwanza kabisa ni kwamba mfumo wetu wa uchaguzi ni mfumo unaodhibitiwa na Rais wa nchi yetu, ni mfumo unaodhibitiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa upande wa Zanzibar ni mfumo unaodhibitiwa na Rais wa Zanzibar.
Rais wa Jamhuri ya Muungano ndiye anayeteua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Mkurugenzi wa uchaguzi na wajumbe wote wa tume ya uchaguzi, anawateua bila kulazimika kushauriana na mtu yeyote yule, na wote hawa anaowateua wanafanya kazi kwa mapenzi ya Rais, anaweza kuwaondoa wajumbe wa tume kwasababu yoyote ile"

hakuna paragraph, nukta wala koma kwenye sheria au katiba ya Tanzania itabadilishwa kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania oct.2025.Kweli hakuna tatizo kwenye chaguzi za "Tanazania", ila kuna tatizo kubwa sana kwenye chaguzi za Tanzania.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu siku ya leo Jumatano Februari 12, 2025. anazungumza na wanahabari Makao Makuu ya chama hicho mkoani Dar es Salaam
Endelea kufuatilia uzi huu hapa Jamiiforums kupata updates kuhusu hotuba hii
Tundu Lissu anasema rafu zilizotokea kwenye chaguzi za 2019, 2020, na 2024 zinatoa picha za mwelekeo wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
"Katika miaka hii 67 ya kufanya uchaguzi, mifumo yetu ya uchaguzi imepitia mabadiliko mengi sana, sheria zetu za uchaguzi zimefanyiwa marekebisho zimetungwa upya, katiba zetu zimebadilishwa , kwa kiasi kikubwa katika hii miaka 67 tumejifunza mengi, leo tunapozungumza tunategemea nini hasa?
Ninazungumzia uchaguzi wa mitaa na vijiji wa mwaka 2019, Uchaguzi Mkuu wa Marais, madiwani na wabunge wa mwaka 2020 na uchaguzi wa mitaa na vijiji uliofanyika Novemba 2024. Chaguzi hizi tatu zinatupa sababu ya kujiuliza uchaguzi mkuu wa mwaka huu utakuaje?"
- Lissu pia amesema kwamba Uchaguzi wa Tanzania unadhibitiwa na Rais na kwamba Rais ana mamlaka makubwa sana juu ya Uchaguzi
"Jambo la kwanza kabisa ni kwamba mfumo wetu wa uchaguzi ni mfumo unaodhibitiwa na Rais wa nchi yetu, ni mfumo unaodhibitiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa upande wa Zanzibar ni mfumo unaodhibitiwa na Rais wa Zanzibar.
Rais wa Jamhuri ya Muungano ndiye anayeteua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Mkurugenzi wa uchaguzi na wajumbe wote wa tume ya uchaguzi, anawateua bila kulazimika kushauriana na mtu yeyote yule, na wote hawa anaowateua wanafanya kazi kwa mapenzi ya Rais, anaweza kuwaondoa wajumbe wa tume kwasababu yoyote ile"
"Wapiga kura waliopiga kura halali za wabunge kwa mujibu wa taarifa ya tume ya uchaguzi walikuwa takribani milioni 11. 8 lakini ukienda kwenye matokeo ya uchaguzi ya kila jimbo katika nchi yetu, ambayo tume iliyachapisha tarehe 5 Januari 2021 ukajumlisha matokeo ya kura halali katika majimbo yote ya nchi hii unagundua kwamba wapigakura halali waliopiga kura za wabunge katika uchaguzi mkuu uliopita ni takribani milioni 8.8
- Lissu pia aligusia uwepo wa kura feki kwenye Uchaguzi wa mwaka 2020
Kuna kura zaidi ya milioni 2.1 ambazo hazijulikani zilitokea wapi, na asilimia 92 ya kura hizo zilipelekwa kwa wabunge wa CCM, sisi CHADEMA tumegawiwa hizo kura haramu 148000 lakini kura zaidi ya milioni 2 zilipelekwa kwa CCM, kura haramu kabisa.
Sasa haya yanawezekana kwasababu tume haiwajibiki kueleza mtu yeyote idadi halisi ya wapigakura iliyowaandikisha, tume haiwajibiki kufungua server zake huko wanapohifadhi takwimu za wapiga kura kwa mtu yeyote.
Na kwasababu haiwajibiki kufungua server zake kuonesha hizo takwimu, Tume imekuwa pamoja na serikali na CCM wanatumia mianya hiyo kuingiza mamilioni ya kura feki katika kila uchaguzi, sasa kura feki ni jambo la kawaida"

kama Taifa tunaomba hela USAID CHADEMA ikiomba hela toka kwa watanzania wenzake tatizo liko wapi?anaomba hela tena![]()
Hata guta lina engine😂
Hahaha umemuumbuaSi ulisema hautafuatilia, hapa umefuata nini?
Ndio hapo sasakama Taifa tunaomba hela USAID CHADEMA ikiomba hela toka kwa watanzania wenzake tatizo liko wapi?
brother mshana…mambo vp? Nifungulie bac dm yako nijeprivate tujadili jambo…Waiting for the lion to roar .. Angurumapo simba💪🏿💪🏿💪🏿📌🔨View attachment 3234481