Pre GE2025 Tundu Lissu: Tuungane na ACT ili iweje? Tukishirikiana na vyama vingine kwenye Uchaguzi, tunaenda kuliwa vichwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kwa ukurupukaji na papara za huyu kiongozi,

bilashaka yoyote wagombea udiwani na ubunge wa chama hicho watenguliwa tu tena zaidi hata ya uchaguzi wa serikali za mitaa, kwasababu wanachochewa kugombea uongozi ni watu midomo na makelele tu badala ya kuzingatia sifa na vigezo vya kisheria na kikatiba vilivyopo.

Rais ataendelea kuwateu makamishna wa tume huru ya uchaguzi kwa mujibu wa sheria.
na watumishi wa uma wa ngazi yoyote huko wilayani na mikoani na kwenye kata wataendelea kusimamia uchaguzi bila mbambamba ya chama chocho cha siasa,

uchaguzi huru, haki na wa wazi nchini, ngazia ya udiwani, ubunge na urais utafanyika kwa salama na amani mapema oct.2025. hakuna haji kubaika na makelele ya vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.

hakuna tatizo hata moja kwenye uchaguzi wa Tanazania,
watakao leta fujo watadhibitiwa vilivyo bila kuchelewa.

ni muhimu sana kila mtanazia kufahamu na kuzingatia hili
 
Hata Rais wako alishasema Tundu Lissu ni SIMBA, kuonesha kuwa ana mchango kwenye siasa za nchi hii

Unabishana na mwenyekiti wako?
sure,
alisema huyo kibaraka ni simba koko
 
Ulisema hautafuatilia Lissu anasema nini Leo, nini kimekuleta hapa!?
acha upotoshaji na uongo mbele ya wadau gentleman,

mtaalamu na mbobevu mwenye maono like me siwezi kumpuuza hata Hashim Rungwe Spunda fore reference and record wakati wa kutoa uchambuzi
 
Waliosema Lissu akipinga Ngoma CCM wanademka, alikuwa sahihi kumbe.

Lissu ndiye muanzisha mwendo Kwa siasa za Tanzania.
ni muanzilishi wa makelele na mdomo, vita ya maneno, uhasama, uadui na uvaaji bullet proof vest miongoni mwa wana chadema yenyewe na sio upotoshaji wako gentleman
 
Lissu ndiye mtanzania pekee aliyekataa kunyamazishwa na Magufuli.
ofcoz ni mtanzania mnafiki wa kwanza kuvaa bullet proof vest kwa kisingizio cha hatari za usalama wake ndani ya chadema HQ, lakini akisingizia taasisi za nje ya chadema,

huo mwingine ni upotoshaji gentleman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…