JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Aidha, Lissu amezungumza kuhusu nafasi ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA baada ya kuulizwa kuwa licha ya yeye kuwa na mpango wa kuwania pia inadaiwa Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe naye ana mpango wa kuwania Urais.