Tundu Lissu: Upinzani tumechanganya sana Watu, tunahitaji kiongozi ambaye akisema neno anaaminika

Tundu Lissu: Upinzani tumechanganya sana Watu, tunahitaji kiongozi ambaye akisema neno anaaminika

Ila ana utoto ni kama akipewa kipaza sauti anakuwa na wenge mpaka anajiingiza kwenye kundi la wasema hovyo.

Ajaribu kuongea na kufikiri Kama kiongozi basi.

Lissu ananitia wasiwasi sana
Mungu amemjalia akili nyingi sana ila ameshindwa kabisa kuongea bila kuropoka .SAD
 
Back
Top Bottom