JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Chadema ina wasemaji wanne ;Mzee Mbowe,Lema,Mrema na Mdude .Hapa Lissu ametenda haki kabisa.Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akihojiwa na Kituo cha NTV cha Kenya amesema “Upinzani unahitaji kuwa na Uongozi wenye maono makubwa na yasiyokuwa na mawenge tofauti na ilivyokuwa hapo Katikati.”
Aidha, Lissu amezungumza kuhusu nafasi ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA baada ya kuulizwa kuwa licha ya yeye kuwa na mpango wa kuwania pia inadaiwa Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe naye ana mpango wa kuwania Urais.
Nikishasema siku nyingi sana ,chadema haingozwi kwa mikakati bali upepo ,huwezi toboa kamwe kama chama unaendesha kwa kutegemea hali ya hewa😎😎😎Kosa lilianza hapa:-
1. Kumkaribisha Lowasa na kumpa nafasi ya kugombea urais, ili hali Dr. Slaa alikuwa kishaandaliwa.
Ikaonekana chama hakiheshimu hustle za wanachama wake bali hela.
2. Viongozi kushiriki maridhiano bila ya kuruhusiwa na vikao vya chama toka ngazi ya chini ya chama .
Ikaonekana kuwa kumbe chama ni cha viongozi tu.
3. Kutoa matamko yasiyosimamiwa. Mfano huko nyuma chadema ilosema haitashiriki uchaguzi bila kuwa na tume huru. Mara ghalfa chama kikabadili gia angani.
chadema wanatamaa sana kila mtu anataka kuwa rais wanasalitiana mnoMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akihojiwa na Kituo cha NTV cha Kenya amesema “Upinzani unahitaji kuwa na Uongozi wenye maono makubwa na yasiyokuwa na mawenge tofauti na ilivyokuwa hapo Katikati.”
Aidha, Lissu amezungumza kuhusu nafasi ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA baada ya kuulizwa kuwa licha ya yeye kuwa na mpango wa kuwania pia inadaiwa Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe naye ana mpango wa kuwania Urais.
sasa mpaka mdude anasemea chama yaani ukichaa wake waote ule wanamwamini kukisemea chamaChadema ina wasemaji wanne ;Mzee Mbowe,Lema,Mrema na Mdude .Hapa Lissu ametenda haki kabisa.
Ukweli usemweKweli kabisa, washapoteza credibility yao kabisa. Tangu kwa Lowassa.
Kuna issues ambazo ni technical, zinahitaji higher level thinking to resolve. sasa kwenye grassroots level unatafuta nini? Kuna mambo ya kuwashirikisha na mambo mengine yanahitaji higher mental faculties to resolve ambapo chini kabisa hawawezi kuwa na maamuzi!Kosa lilianza hapa:-
1. Kumkaribisha Lowasa na kumpa nafasi ya kugombea urais, ili hali Dr. Slaa alikuwa kishaandaliwa.
Ikaonekana chama hakiheshimu hustle za wanachama wake bali hela.
2. Viongozi kushiriki maridhiano bila ya kuruhusiwa na vikao vya chama toka ngazi ya chini ya chama .
Ikaonekana kuwa kumbe chama ni cha viongozi tu.
3. Kutoa matamko yasiyosimamiwa. Mfano huko nyuma chadema ilosema haitashiriki uchaguzi bila kuwa na tume huru. Mara ghalfa chama kikabadili gia angani.
Inadaiwa(hakuna uhakika).Anamsema Mbowe hapa
USSR
Hakika, now wanaonekana ni wachumia tumbo tu kama wachumia tumbo wengine.Ukweli usemwe
Na Lucas Mwashambwa anamsemea Samia!sasa mpaka mdude anasemea chama yaani ukichaa wake waote ule wanamwamini kukisemea chama
Utashangaa muda si mrefu wataanza kuporomosha matusi kwa vile tu wanaambiwa ukwelisasa mpaka mdude anasemea chama yaani ukichaa wake waote ule wanamwamini kukisemea chama
kwa bahati mbaya, amesema ukweli wote. mchaga ukimpa uongozi akuona pesa tu akili yote inamhama. walioelewa hapa ni wale wenye A mbili walau.Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akihojiwa na Kituo cha NTV cha Kenya amesema “Upinzani unahitaji kuwa na Uongozi wenye maono makubwa na yasiyokuwa na mawenge tofauti na ilivyokuwa hapo Katikati.”
Aidha, Lissu amezungumza kuhusu nafasi ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA baada ya kuulizwa kuwa licha ya yeye kuwa na mpango wa kuwania pia inadaiwa Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe naye ana mpango wa kuwania Urais.
Tuna mpinzani mmoja au watatu tu:Hakika, now wanaonekana ni wachumia tumbo tu kama wachumia tumbo wengine.