Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
Sijawahi amini kama jamaa alikuwa mchungaji kweli. Siamini na sintaamini. Bila shaka alikuwa akichunga kundi la tissKipilimba "Mchungaji" wa kondoo!
Huyo jamaa alivyokaa kaa kimwonekano, haishangazi kama aliyasimamia haya.
Taratibu yote yataeleweka, na inafaa wahusika wafikishwe mbele ya sheria.
Angalia neno 'soon' weweWewe utaishi milele?
Yaani serikali ijikamate?Serikali imeshindwa kuwakamata hao wahuni waliotaka kuvuruga nchi mpaka Lissu arudi nchini sio?!
[emoji16]Akikujibu usiache kutuletea mrejesho
Kaa ivo ivo kuuliza umewahi kusikia mlio wa baruti... ukiamini kila anaepost humu ni ββjust anybodyββ πUmewahi kusikia hata mlio wa baruti, achilia mbali kuparazwa na risasi mwilini kwako?
Sasa ofsa hiyo midosho huoni kama inasababishwa na mamlaka ya juu namna wanavyo badilika badilika misimamo wanamfanya naye abadili mitizamo?Lissu ni coward leader, poor politician, kuna wakati anatufuta suluhu na kusahau yaliyopita arudi nchini, kuna wakati anataka kesi ziendelee kuna wakati kama anataka kurudi tanzania, kuna wakati kama anatafuta sababu kuendelea kuishi belgium
Tumechoka clips za mtandaoni za huyu jamaa, watu kule vijijini ambao walimpigia kura za urais hawaoni wala kupata hizi clips si watu wote wanamiliki hii mitandao anatakiwa ajipambanue kama ana interest ya kuendeleza siasa Tanzania labda na matumaini ya kushika dola kwa chama chake.
Lakini ni kitu gani hasa kilimsukuma kuongea na mama samia belgium, ni kwa vipi alijenga matumaini ya kufanya maongezi na mtesi wake?? Lissu anakuwa hafahamiki anawaparaganya na wenzake, ilibidi mbowe atoke jela amfate mama Ikulu yote ni yeyee
Tueleze basi mkuu, who are you?Kaa ivo ivo kuuliza umewahi kusikia mlio wa baruti... ukiamini kila anaepost humu ni ββjust anybodyββ π
Huyo jamaa alikuwa nchi gani alipouliwa Na alikuwa pia Na uraia wa nchi gani?
Mpumbavu tu, sasa anatetea wahuni wa mkuranga na kibiti iweje? Anaunga matukio ya hovyo kujustify malalamiko yake yasiyo na maanaMtu alishambuliwa ili kuuwawa. Imewekwa wazi kuwa laiti angeuwawa washambuliaji wasingekaa wafahamike milele.
Anayetaka Kiki hapo nani? Wewe au yeye?
Alafu unaweza hisi tangia apigwe risasi akuwai kurudi Tanzania,kumbe alirudi na akatembea nchi nzima kufanya kampeni tena huku akuchimba mikwara.
U shetani wewe. Una roho mbaya hadi inanuka.Tundu Lissu kama ni muadilifu aseme fedha za stahiki zake ni shiklingi ngapi? Na je akilipwa atazipekekwa kwenye charity gani? Walitangazia ulimwengu wote wako watu walifanya charity kumeet gharama zake baada ya serikali kuzuia hizo stahiki zake. Analazimika jwa uungwana tu hizo stahiki zake anazo idai serikali kuzirudisha jwwnye charity.
Mbona hajamtaja baba yako? Mwacheni aseme. Watawala walikuwa na maana yao waliokataa uchunguzi. Aseme chochote awezacho.Lissu huwa anaongea anachoona kwake ni sahihi....
Na hakuna ulazima kiwe sahihi kwa wote pia
Ni member tu wa JF mkuu ... !Tueleze basi mkuu, who are you?
But be sure, whoever you're, that won't impress anybody, if your actions are lousy.
Hili na mimi ndio nilikua nataka kulisema haya yote anazuga tu pesa ya ukimbizi ya bure keshaiona tamu kuliko kurudi bongo. Asiwasingizie watu ubaya kikosi cha kujumuisha TISS, JWTZ na polisi kingemtaka kisingetumia risasi 36 na atoke mzima. Hao jamaa wa kazi risasi mbili tu angekua sasa hivi jina lake linatanguliwa na marehemu. waliompiga risasi hawajui anabahatisha ila watakua ni wahuni tu waliotaka kuivuruga nchi. Lisu anatafuta scapegoat ya kutorudi bongo mjanja sana huyu wakili msomiππππ[emoji23][emoji23][emoji23]
Anwar Al awlik alikua mmarekani,aliuliwa Iraq au Yemen sikumbuki,,lakini off the record hata ndani ya US ukionekana tishio wanakupiga chuma,,Huyo jamaa alikuwa nchi gani alipouliwa Na alikuwa pia Na uraia wa nchi gani?
Duuh hatariMh. Tundu Lissu awataja waliohusika kumshambulia.
Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana.
Kimeua watu wengi sana, Kilijumuisha watu wa Usalam wa taifa, Watu wa Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi. Kinaitwa kikosi kazi cha kupambana na Ugaidi na madawa ya kulevya.
Watu wote waliouawa Maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji zaidi ya watu 400. Wale waliokuwa wanatupwa mtoni maiti zinaokotwa kwenye beach, wote ni Wahanga wa Kikosi hicho.
Ndio waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda Mdude, Mo Dewji. Yote yalitekelezwa na hicho kikosi kazi hichi chiini ya Kipilimba ammbaye sasa ni Balozi.
TISS wa wapi??Ohooo! kusha kucha huku
Lakini mbona hao hao TISS ndo walimpa ulinzi kipindi cha uchaguzi
Au ndo yale mambo ya mchawi mpe mwana akulelee
Elewa anamsaidia rais afahamu ni watu wa aina gani anafanya nao kazi na si vinginevyo. Kumbuka hata wewe kuna wakati unakua informer kuwaambia polisi wahalifu ni kina nani kwakuwa polisi peke yao ingawaje ni taasisi kuna wakati inawalazimu kufanya kazi na informersHuyu bwana ni mlalamikaji wa kiwango cha PHD. Kama Rais kafunga safari mpaka Belgium na akataka waonane, ni lazima nia yake iwe ni njema.
Akumbuke kuwa rais ni taasisi yenye watu wengi nyuma wenye majukumu mbalimbali. Hivyo aondoe wasiwasi aliokuwa nao.
Kufariki kwa JPM kumaifanya taasisi ya urais iwe na mabadiliko makubwa. Aondoe shaka.
Mbona msiba ameuziwa nyumba tu analia machozi je angeng'olewa hata kucha tu angeliaje? Sembuse aliyepigwa risasiYaani huyu poyoyo anabwabwaja kama vile anapigwa risasi Kila siku.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app