Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Umewahi kusikia hata mlio wa baruti, achilia mbali kuparazwa na risasi mwilini kwako?
Kaa ivo ivo kuuliza umewahi kusikia mlio wa baruti... ukiamini kila anaepost humu ni β€˜β€™just anybody’’ πŸ˜‚
 
Sasa ofsa hiyo midosho huoni kama inasababishwa na mamlaka ya juu namna wanavyo badilika badilika misimamo wanamfanya naye abadili mitizamo?

Hujamskia kwenye clip akiliongelea hilo kuwa kwa jinsi mambo yanavyofanyika hamkadirii raisi kama ambavyo alivyokuwa anamtizamia?

Au hata samia anapochukua madaraka hukusikia kauli ya lisu alivyo hojiwa BBC alisema ana weka matumaini kwa huyu raisi, lakini baada ya kuona anachukulia poa mambo mazito ni sahihi kuondoa imani ya matumaini kwa mtu huyo
 
Angeishia alivyoshambuliwa

Kutetea kibiti na mkuranga nimemdharau sana
 
Mtu alishambuliwa ili kuuwawa. Imewekwa wazi kuwa laiti angeuwawa washambuliaji wasingekaa wafahamike milele.

Anayetaka Kiki hapo nani? Wewe au yeye?
Mpumbavu tu, sasa anatetea wahuni wa mkuranga na kibiti iweje? Anaunga matukio ya hovyo kujustify malalamiko yake yasiyo na maana
 
Alafu unaweza hisi tangia apigwe risasi akuwai kurudi Tanzania,kumbe alirudi na akatembea nchi nzima kufanya kampeni tena huku akuchimba mikwara.

Inawezekana wewe ni mmoja wapo wa hicho kikosi kazi, Kwani kama alirudi ndo asiwataje waliomshambulia sababu alirudi akafanya kampeni si alikuwa na ulinzi.
 
U shetani wewe. Una roho mbaya hadi inanuka.
 
Lissu huwa anaongea anachoona kwake ni sahihi....

Na hakuna ulazima kiwe sahihi kwa wote pia
Mbona hajamtaja baba yako? Mwacheni aseme. Watawala walikuwa na maana yao waliokataa uchunguzi. Aseme chochote awezacho.
 
Tueleze basi mkuu, who are you?

But be sure, whoever you're, that won't impress anybody, if your actions are lousy.
Ni member tu wa JF mkuu ... !
But tambua JF ina watu wa kila namna na kila unachotafuta Duniani kipo hapa JF...!

Binafsi nimekutana na watu kutoka sehemu mbali mbali Tanzania na nje ya Tanzania hapa hapa JF na baadhi tumekua ndugu na baadhi kwa kutumia skills,knowledge,education,trust nk tumefanya Na kufanikisha projects mbali mbali ... ni kubadili tu mtazamo wa namna unavowachukulia watu humu au popote unapokutana na new people itakusaidia sana na utakuja gundua baadae kumbe ata mtu ambae ungeweza kumtusi Au kumdharau ni daraja ambalo hukulifikiria...

Humu watu wanayo comment sometimes no contrary kabisa na reality walivo.... just some hints ... take it or drop it
 

Kwahiyo jeshi letu la polisi limeshindwa kukamata wahuni waliomshambulia mtu mchana kwenye makazi ya viongozi wa serikali. Mbona kama unataka kuwafanya watanzania wajinga sana. Hivi yule mfanya bishara wa mtwara aliyeuawa yule wahusika wamejulikanaje nayeye hayupo ili ahojiwe. Ni sahihi kiongozi wa nchi kusema upelelezi hauwezi kufanyika kwakuwa Lissu hayupo. Au hakuna cha kupeleleza wahusika ndiyo hao waliotajwa na walitumwa na kiongozi. Hii kesi kuna siku wahusika wote watafikishwa kizimbani maana jinai huwa haiishi, hata ipite miaka mingapi siku itafika tu.
 
Huyo jamaa alikuwa nchi gani alipouliwa Na alikuwa pia Na uraia wa nchi gani?
Anwar Al awlik alikua mmarekani,aliuliwa Iraq au Yemen sikumbuki,,lakini off the record hata ndani ya US ukionekana tishio wanakupiga chuma,,
hizi nchi zetu,hata mkuu was kituo TU anaweza ku order uwe termed iwapo utaonekana kutishia usalama,,
 
Duuh hatari
 
Elewa anamsaidia rais afahamu ni watu wa aina gani anafanya nao kazi na si vinginevyo. Kumbuka hata wewe kuna wakati unakua informer kuwaambia polisi wahalifu ni kina nani kwakuwa polisi peke yao ingawaje ni taasisi kuna wakati inawalazimu kufanya kazi na informers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…