Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

  • kwamba walitaka kumuua, kuna ubishi?
  • kwamba risasi ziliingia mwilini mwake, kuna ubishi?
  • kwamba walishindwa katika azma yao kutaka kumuua, kuna ubishi?
  • kwamba kikosi cha upelelezi kimeshindwa kazi, kuna ubishi?
  • kwamba, kama binadamu yeyote, Lissu amepitia kipindi kigumu, kuna ubishi?
  • kwamba hadi leo, waliofanya hilo jaribio wanaitwa wasiojulikana, kuna ubishi?
Swali ni je, inapofikia Tanpol imefikia ukomo wa uwezo wa kupeleleza, kwa sababu yyt ile, hawaombi msaada kwa vyombo vya kimataifa, k.m Interpol, ambavyo tunakua na mikataba fulani katika kusaidiana kufanikisha shughuli?! badala yake tunatamba kuwa ss hatujashindwa! umepita muda gani hadi ss tunasingizia wasojulkana!

kabla hatujamshutumu Tundu, fatilia dhamira, matamko na maazmio mblmbl yalofanywa juu yake, uvae ubinadamu wake, ingia ktk nafsi yake, yaone yanayomsibu, muone kama mwenye familia halafu ndo uyaseme yanayoujaza moyo wako.
tukubaliane, Lissu wa ss sio yule. walio na shutma dhidi yake, yapaswa ziwe na zimesheheni mantiki zaidi kuliko jazba
 
Ohooo! kusha kucha huku

Lakini mbona hao hao TISS ndo walimpa ulinzi kipindi cha uchaguzi

Au ndo yale mambo ya mchawi mpe mwana akulelee


Amepewa ulinzi na TISS ya Diwani sio kapilimba
 
Walimuita kistaarabu wakajua ni muungwana mwenye hashima zake ataitika akipata wasaa... Bahati mbaya kabla kuitika akaona maisha yako hatarini akakimbilia ubalozin akatiimua

..kabla ya uchaguzi mkuu Lissu alifika ofisini kwa rpc wa Dodoma, hakuhojiwa.

..kipindi cha kampeni IGP Sirro alimtaka Lissu aripoti Polisi kwa kukiuka ratiba ya kampeni, badala ya kumuelekeza ni wapi akahojiwe kutokana na jaribio la kuuwawa.

..baada ya uchaguzi mkuu Lissu alikamatwa na Polisi wakampeleka central lakini hawakumhoji kuhusu kushambuliwa kwake.
 
We jamaa bana, we mwenyewe ukipewa pesa za serikali za mradi unazila, sasa unazungumzia mafao ya mtu afanye nayo charity? Unafikiria kweli ama umekalia waya unaopeleka network kwenye ubongo?

Na wewe ukistaafu utafanya charity?
Ila binadamu wa siku hizi siasa imewafanya muwe na chuki sana
Watu wengine wana akili sifuri mpaka unashangaa waliwezaje ku login JF!
 
Huyu bwana ni mlalamikaji wa kiwango cha PHD. Kama Rais kafunga safari mpaka Belgium na akataka waonane, ni lazima nia yake iwe ni njema.

Akumbuke kuwa rais ni taasisi yenye watu wengi nyuma wenye majukumu mbalimbali. Hivyo aondoe wasiwasi aliokuwa nao.

Kufariki kwa JPM kumaifanya taasisi ya urais iwe na mabadiliko makubwa. Aondoe shaka.
Aondoe shakaa!? Sio rahisi kama mnavyodanganyana. Jaribu hata kwa sekunde kuvaa viatu vyake.
 
Moja katika tiba nzuri sana ni mtu kujieleza, mwacheni Lissu aendelee kujitibu kwa kueleza kila anachokijuwa.


Nnaamini Mama Samia Suluhu kafanya kazi nzuri sana ya kukutana na Lissu na kumtoa hofu aliyonayo.

Waliotajwa hawana chembe ya kujali wala kustuka wala ku "regret" kwani walifanya kazi chini ya kiapo cha kumtii Rais. Hapa wa kulaumiwa si mwengine bali ni "bwana yule".

Lissu ni mwanasheria, ukirudi nyumbani fungua kesi ili haki yako ipatikane kisheria, ikibidi wahukumiwe hata "posthumous".

Wengine wote wanahukumika na wanaweza kupandishwa mahakamani kujibu tuhuma, wataosepa ni wafu tu.

Makonda aka Bashite, hayumo kwenye hicho "kikosi kazi"?
 
Mh. Tundu Lissu awataja waliohusika kumshambulia.

Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana.

Kimeua watu wengi sana, Kilijumuisha watu wa Usalam wa taifa, Watu wa Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi. Kinaitwa kikosi kazi cha kupambana na Ugaidi na madawa ya kulevya.

Watu wote waliouawa Maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji zaidi ya watu 400. Wale waliokuwa wanatupwa mtoni maiti zinaokotwa kwenye beach, wote ni Wahanga wa Kikosi hicho.

Ndio waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda Mdude, Mo Dewji. Yote yalitekelezwa na hicho kikosi kazi hichi chiini ya Kipilimba ammbaye sasa ni Balozi.

Ujinga wa kitoto.
Mdomo mkubwa kuzidi akilj
 
Mh. Tundu Lissu awataja waliohusika kumshambulia.

Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana.

Kimeua watu wengi sana, Kilijumuisha watu wa Usalam wa taifa, Watu wa Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi. Kinaitwa kikosi kazi cha kupambana na Ugaidi na madawa ya kulevya.

Watu wote waliouawa Maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji zaidi ya watu 400. Wale waliokuwa wanatupwa mtoni maiti zinaokotwa kwenye beach, wote ni Wahanga wa Kikosi hicho.

Ndio waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda Mdude, Mo Dewji. Yote yalitekelezwa na hicho kikosi kazi hichi chiini ya Kipilimba ammbaye sasa ni Balozi.

Kwa maoni yangu, Tundu Lissu anahitaji ushauri nasaha. Binadamu ukipitia maswahibu na mapito kama aliyopitia, unaathirika ki fizikia, ki emosheni na kisaikolojia, (physical, emotional and psychological), hivyo anahitaji ushauri nasaha jinsi ya kutoka kwenye jinamizi hili na kuendelea na maisha.

Huku kutaja taja majina ya watu, na kutangazia ulimwengu kuwa vyombo vyetu tukuka vya ulinzi na usalama kuwa ndio walio husika, shambulio lake, bila ushahidi wowote, ni kuzidi kuibagaza tuu nchi yetu!.

Ametaja Kikosi kazi kinachojumuisha Polisi, JWTZ na TISS,, hawa ni askari wetu, trained, how could they do such a messy dirty job?. Kwa trained snipers, only one single shot would have finished the job!. Hili hata Mama Samia amewahi kuizungumzia, askari wetu trained wakimiss target by two shots, wanaandika maelezo kujieleza!.

Mimi kwa upande wangu naendelea kusisitiza Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Pia Lissu niliisha mshauri na namshauri tena, ajifunze kunyamaza.


Kitendo cha Rais Samia kukubali kukutana na Lissu ni uthibitisho tosha wa kauli na matendo she is healing this nation.

kwenye bandiko hilo nilisema
Kitendo cha rais Samia kukubali kukutana na Tundu Lissu, ni uthibitisho wa ile nia ya dhati ya kulioponya taifa kwa kufuata ile filosofia ya Rais Samia ni rais Watanzania wote, ni rais wa wana CCM, ni rais wa wapinzani ni rais wa Watanzania wote hata wasio na vyama, lengo la kila Mtanzania ni kuijenga Tanzania yetu, hivyo CCM na wapinzani, tunajenga nyumba moja, hatuna sababu yoyote ya kugombea fito.

Kwa vile ni mazungumzo ya faragha, Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu chini ya Mkurugenzi mpya, Zuhura Yunus (hongera), ikaeleza kuhusu mkutano huo wa Rais Samia na Tundu Lissu bila kueleza kilicho zungumzwa.

Rais wa JMT, ndiye raia number moja wa JMT na ndie Mkuu kuliko mtu mwingine yeyote kimamlaka na kimadaraka ndani ya JMT. Sasa inapotokea mtu yeyote umeomba kumuona rais na kuongea nae jambo lako lolote na rais akakukubalia kumuona na kuongea nae, ile tuu kuongea na rais ni heshima kubwa, ina maana umeaminiwa.

Hivyo Tundu Lissu kukubaliwa kukutana na rais Samia, ni Lissu ameaminiwa. "Ukiaminiwa, jiaminishe". Baada ya mazungumzo, of course, lazima kuna hoja na maombi aliwasilisha kwa rais Samia.

Kwa vile Lissu ni mtu mdogo compared to Samia, na amekutana na mtu mkubwa, rais wa JMT, baada ya kikao, ukiona mkubwa amenyamaza, na wewe mdogo nyamaza!.

Moja ya mapungufu makubwa ya upinzani wa Tanzania, ni kupayuka payuka sana, kuropoka ropoka na kupiga sana kelele kuhusu karibu kila kitu!.

Kuna mambo ya kupigia kelele na kelele zikasaidia, lakini kuna mambo ya kufanywa kimya kimya, sio kila kitu ni kupayuka, kuropoka na kupiga kelele.

Kama Lissu ameaminiwa na kuzungumzia na rais Samia in confidence, kitendo cha kusema alichozungumza ni breach of confidence. Mambo mengine ni kujifunza kunyamaza, ukiaminiwa jiaminishe.

Paskali
P
 
Mpumbavu tu, sasa anatetea wahuni wa mkuranga na kibiti iweje? Anaunga matukio ya hovyo kujustify malalamiko yake yasiyo na maana
Umewahi kusikia operation tokomeza? Au ulikuwa bado mdogo sana ukicheza kombolela kipindi hicho?
 
Hajaweka wazi nini haswa hoja yake. Ni kama mtu mwenye wasiwasi usiokwisha kwa vigezo vya mwanzoni mwa maongezi haya.

Inaweza kuwa ni muendelezo wa siasa za mitandaoni, hataki kutoka midomoni mwa watu kirahisi hivyo inambidi aongee hata kama anachokiongea ukikipima hakina undani sana.
Shida hapa ni uelewa wako kuwa chini. Lissu anazungumza mambo aliyoulizwa na Maria Sarungi kufuatia mahojiano mapya baina ya Rais Samia na BBC hivi karibuni, ambayo yaligusia kuhusu Tundu Lissu kurudi nchini na iwapo serikali inamhakikishia usalama wake
 
Kwa maoni yangu, Tundu Lissu anahitaji ushauri nasaha. Binadamu ukipitia maswahibu na mapito kama aliyopitia, unaathirika ki fizikia, ki emosheni na kisaikolojia, (physical, emotional and psychological), hivyo anahitaji ushauri nasaha jinsi ya kutoka kwenye jinamizi hili na kuendelea na maisha.

Huku kutaja taja majina ya watu, na kutangazia ulimwengu kuwa vyombo vyetu tukuka vya ulinzi na usalama kuwa ndio walio husika, shambulio lake, bila ushahidi wowote, ni kuzidi kuibagaza tuu nchi yetu!.

Ametaja Kikosi kazi kinachojumuisha Polisi, JWTZ na TISS,, hawa ni askari wetu, trained, how could they do such a messy dirty job?. Kwa trained snipers, only one single shot would have finished the job!. Hili hata Mama Samia amewahi kuizungumzia, askari wetu trained wakimiss target by two shots, wanaandika maelezo kujieleza!.

Mimi kwa upande wangu naendelea kusisitiza Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Pia Lissu niliisha mshauri na namshauri tena, ajifunze kunyamaza.


Kitendo cha Rais Samia kukubali kukutana na Lissu ni uthibitisho tosha wa kauli na matendo she is healing this nation.

kwenye bandiko hilo nilisema

P
Ushauri wako kwa Lissu umekaa 'kichawachawa'. Kwanza, ushahidi kwamba alishambuliwa na TISS hupaswi kuitumia kama hoja ya kupingana na anachokisema. Hii ni kwa sababu haitakuwa mara ya kwanza kwa watu wa vyombo vya dola kuhusisha na matendo hayo. Ulimboka ni miongoni mwa wahanga. Pili, katika tuhuma hizi Lissu hajaombwa ushahidi at this juncture. Halafu kwa sisi tunaoamini uwepo wa Mungu na uingiliaji wake katika matukio mbalimbali, hatuwezi kushangazwa na marisasi ya trained snipers kushindwa kuondoa uhai wa Lissu. Kama Mungu alikuwa hajaamua Lissu afe basi hata wangeletwa masnipers kutoka wapi siku hiyo angebaki na uhai wake.

Hili la mama ku heal this nation unaweza kuwa mjadala ambao hauzuii watu wengine kueleza feeling zao kwenye yale yanayowagusa moja kwa moja. Kitendo alichofanyiwa Lissu ni wachache wanaoweza kukichukulia poa, na nina mashaka kama wewe unaweza kuwa miongoni mwao!
 
Huyu bwana ni mlalamikaji wa kiwango cha PHD. Kama Rais kafunga safari mpaka Belgium na akataka waonane, ni lazima nia yake iwe ni njema.

Akumbuke kuwa rais ni taasisi yenye watu wengi nyuma wenye majukumu mbalimbali. Hivyo aondoe wasiwasi aliokuwa nao.

Kufariki kwa JPM kumaifanya taasisi ya urais iwe na mabadiliko makubwa. Aondoe shaka.
Naona kama Rais alikuwa anataka picha tu na Lissu, Dunia ione apate mikopo ya kutosha.
 
Kwa maoni yangu, Tundu Lissu anahitaji ushauri nasaha. Binadamu ukipitia maswahibu na mapito kama aliyopitia, unaathirika ki fizikia, ki emosheni na kisaikolojia, (physical, emotional and psychological), hivyo anahitaji ushauri nasaha jinsi ya kutoka kwenye jinamizi hili na kuendelea na maisha.

Huku kutaja taja majina ya watu, na kutangazia ulimwengu kuwa vyombo vyetu tukuka vya ulinzi na usalama kuwa ndio walio husika, shambulio lake, bila ushahidi wowote, ni kuzidi kuibagaza tuu nchi yetu!.

Ametaja Kikosi kazi kinachojumuisha Polisi, JWTZ na TISS,, hawa ni askari wetu, trained, how could they do such a messy dirty job?. Kwa trained snipers, only one single shot would have finished the job!. Hili hata Mama Samia amewahi kuizungumzia, askari wetu trained wakimiss target by two shots, wanaandika maelezo kujieleza!.

Mimi kwa upande wangu naendelea kusisitiza Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Pia Lissu niliisha mshauri na namshauri tena, ajifunze kunyamaza.


Kitendo cha Rais Samia kukubali kukutana na Lissu ni uthibitisho tosha wa kauli na matendo she is healing this nation.

kwenye bandiko hilo nilisema

P
Mkuu Paschal , unasema polisi wetu wako well trained hawakosei target hivi liletukio la Hamza pale ubalozini uliliona . wale askari walikua wangapi dhidi ya mtu mmoja .
Kisha jiulize iliwachukua muda gani na risasi ngapi kumlenga jamaa.?
 
Analiponya taifa kutoka kwa nani aliyelifanya liumwe?
Kwa maoni yangu, Tundu Lissu anahitaji ushauri nasaha. Binadamu ukipitia maswahibu na mapito kama aliyopitia, unaathirika ki fizikia, ki emosheni na kisaikolojia, (physical, emotional and psychological), hivyo anahitaji ushauri nasaha jinsi ya kutoka kwenye jinamizi hili na kuendelea na maisha.

Huku kutaja taja majina ya watu, na kutangazia ulimwengu kuwa vyombo vyetu tukuka vya ulinzi na usalama kuwa ndio walio husika, shambulio lake, bila ushahidi wowote, ni kuzidi kuibagaza tuu nchi yetu!.

Ametaja Kikosi kazi kinachojumuisha Polisi, JWTZ na TISS,, hawa ni askari wetu, trained, how could they do such a messy dirty job?. Kwa trained snipers, only one single shot would have finished the job!. Hili hata Mama Samia amewahi kuizungumzia, askari wetu trained wakimiss target by two shots, wanaandika maelezo kujieleza!.

Mimi kwa upande wangu naendelea kusisitiza Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Pia Lissu niliisha mshauri na namshauri tena, ajifunze kunyamaza.


Kitendo cha Rais Samia kukubali kukutana na Lissu ni uthibitisho tosha wa kauli na matendo she is healing this nation.

kwenye bandiko hilo nilisema

P
 
Lissu anatafuta legitimacy ya kuendelea kuishi ubelgiji na hakuna lingine hapo.

Kila siku story ya risasi, watu tulikwisha achana na huo ukurasa.

Kuna wengi walidhurika na wapo wanasonga na maisha yao bila hofu.

Hapa tatizo liko kwa kina Maria Sarungi na Fyatu karume wanao host hiyo the space na kumfanya mwenyekiti kila siku.

Mnatuchosha bhana!

Lissu na Lema ni kama nyuki daima sio wa kukumbatiwa.
Mungu akujalie angalau upate madhara yanayoweza kusabihiana japo kidogo tu na yake halafu tujetukukejeli. Ameen
 
Lisu anatukanaaaa alafu akimaliza anaenda kupanda Dreamliner ya Magufuli.

Shame upon him na mme wake amsterdam
Mungu wajalie wote wanaomkejeli akiwemo huyu wape angalau japo ya madhara kama waliomsababishia ili wajifurahiye kama wanafurahia matatizo yake. Amen
 
Back
Top Bottom