MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Nasisitiza alichokisema Tundu Lissu hapa ni Ukweli mtupu tena kwa 100% ila ukiwa Mnafiki, Zuzu na Mfia Chama Cha Mauaji kamwe huwezi Kukubaliana nae.Ni ukweli mtupu unathibitisha kwa sababu wewe ndie ulikuwa kwenye task force au kwa sababu kuna ushahidi ulioona una mamntiki
Orodha ya mliowatia ulemavu au kuwaua ni ndefu. mmezoea mkipiga wanakaa kimya mf. Dr Ulimboka. Sasa hii bouster ya Lissu na Mdude hamkuizoea kabisa. Ni kama wametiwa ndimuIla Tundu Lissu sijui lini atajifunza kuwa na busara za ku act kama kiongozi, yes tunajua serikali imempa ulemavu, but na yeye kama kiongozi anatakiwa kudhibiti hisia zake.
Uropokaji wake unafanya watu washindwe kumtofautisha na mzee Magufuli.
Sukuma gang kaziniHajaweka wazi nini haswa hoja yake. Ni kama mtu mwenye wasiwasi usiokwisha kwa vigezo vya mwanzoni mwa maongezi haya.
Inaweza kuwa ni muendelezo wa siasa za mitandaoni, hataki kutoka midomoni mwa watu kirahisi hivyo inambidi aongee hata kama anachokiongea ukikipima hakina undani sana.
Ninalijua hilo na pia ni Debe tupu sana.Huyo ni sukumagang
tunakubaliana sasa hii ndio ligasi ya Jiwe?Lisu mjinga mchungaji Kipilimba mlokole alikataa kumwaga damu ya Lisu Magufuli akampiga chini na kumpa ubalozi Namibia akamtoa usalama wa taifa baada ya kugoma Kuua Lisu...
nilitaka kusema makonda ila basi sisemiMwenye orodha ya kikosi kazi aweke humu
Swadakta! Hayawi hayawi sasa yamekuwa...asilolijua ni kama usiku na giza lakini hatimaye.Tena ungekuwa na Akili kweli nadhani ungepongeza hizi Kauli za Tundu Lissu kwani hapa anamsaidia hata Rais Samia kuwa Idara zake Nyeti zina Matatizo, awe nazo makini na ikiwezekana azifanyie Marekebisho makubwa na ya haraka ili zisiendelee Kumharibia na Kumchafua hata Yeye pia.Alichokisema Lissu hapa ni kweli 100%.
Asiyekubaliana na Kuamini tena kwa 100% hiki alichokisema hapa Tundu Lissu ni Mgonjwa wa Akili wa Kiwango cha Kimataifa.Orodha ya mliowatia ulemavu au kuwaua ni ndefu. mmezoea mkipiga wanakaa kimya mf. Dr Ulimboka. Sasa hii bouster ya Lissu na Mdude hamkuizoea kabisa. Ni kama wametiwa ndimu
Acha moto uwake. wauaji kutajwa unaumia?
wangehitaji kumuua wala wasingehitaji risasi zote zile.Huyu bwana alishambuliwa kwa nia ya kumwua.
Kwa hakika angeweza kuuwawa.
Kauli kuwa upelelezi hauwezi kukamilika bila yeye kuwapo hazina ukakasi?
Akikosekana nakunya Kiwalani hadi Stesheni.nilitaka kusema makonda ila basi sisemi
wangehitaji kumuua wala wasingehitaji risasi zote zile.
Kuchangiwa isiwe warrant ya kudhulumiwa.Tundu Lissu kama ni muadilifu aseme fedha za stahiki zake ni shilingi ngapi? Na je akilipwa atazipeleka kwenye charity gani? Walitangazia ulimwengu wote wako watu walifanya chariy kumeet gharama zake baada ya serikali kuzuia hizo stahiki zake. Analazimika kwa uungwana tu hizo stahiki zake anazo idai serikali kuzirudisha kwenye charity.
Ni kweli ulichokionHujaacha tu kuwa Mnafiki na kujifanya una Akili na unajua Kuchambua Masuala hapa JamiiForums kuliko Watu wengine wote...
Hakika Paschal na aache unafiki uliokithiri. Aje akujibu swali la msingi hilo,Hujaacha tu kuwa Mnafiki na kujifanya una Akili na unajua Kuchambua Masuala hapa JamiiForums kuliko Watu wengine wote...
Shehe Yahya Husen ni mmoja wa walioifunga nchi kuzimu na kuikabidhi Tza kwa shetani.Rejea matambiko ya bagamoyo,tanga,lindi na tabora.Hatuwezi endelea hadi tufute maagano na shetani.Ndiyo akina Marehemu Sheikh Yahya Hussein muuza kahawa barabarani
DuuuuuuAkikosekana nakunya Kiwalani hadi Stesheni.
Kuna wajinga/watoto hapa JF wanauoma kama Baba yao kumbe ni kibaraka tu anaetafuta fursa kwa kutetea maovu ya watawala.Ndugu achana na huyo Hypocrite na Sycophant Mwandamizi hapa JamiiForums nzima. Anajifanya ana Akili sana wakati kumbe ni Debe tupu tu. Watu tunamtizama, tunampuumza na hata Kumsanifu vile vile.
Kutekelezwa na vijana wa Kipilimba ndo kunamwondoa Makonda? Pale Clouds alikwenda na watoto wake?Watakuambia taarifa zao wanapewa na chanzo nyeti.