Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Pumbavu ni Tusi? Ukiambiwa huna Akili ndiyo Umetukanwa? Nimeshakudharau hapa Kitambo tu.
Kwani wewe mwanangu mpaka niumie ukinidharau
Pole sana ndugu sihitaji chochote toka kwako sio heshima au dharau yako... you're a nobody to me SIJALI KABISA yaan
 
Kwa namna ulivyoandika hapa inaonekana na wewe ni miongoni mwa watu waliohusika kumshambulia huyo Lissu.
Lakini ujue kuwa boss wenu yupo mavumbini mpaka muda huu, hivyo na wewe unatakiwa kujua kuwa ipo siku utaingia mavumbini iwe kwa kumtangulia huyo Lissu au hata baada yake.
Acheni kuua wenzenu Mwenyezi Mungu hajawakabidhi mamlaka ya kuua wengine
 
Huyo ni shetani wake mwenyewe na sukuma gang lake. Usituchanganye tafadhali. Pambaf.

Kwa hiyo Chief, ndiyo unataka kusema wakati mpango unasukwa, na mpaka 'Kikosi Kazi' kinaenda kutekeleza lile shambulio! Ulikuwa hujui chochote?
 
Alijitolea au aliteuliwa? Na je kiapo chake kilikua na maana gani?je alikua halipwii?
 
Unadhani kupigwa risasi ni sawa na kuingizwa mshedede maeneo yako ya makalio? Vaa viatu vya Lissu ndio utaelewa kwa nini anasema hayo. Na ukweli ndio huo
Hahaha kwahiyo wewe hapo una uzowefu na lipi kati ya hayo mawili?
 

Umeandika mengi labda sikiliza hii kwanza:

Your browser is not able to play this audio.


Usisahau kuwa Chadema ya Lissu, Mbowe, Heche, Msigwa nk imekuwa ikiomba kuonana na rais tangia mwendazake akiwapo.

Usichanganye maneno. Hakuna popote Chadema imekataa kuongea na ikulu au na maadui zake.



Haya Chadema inayafahamu na kuyaamini.

Inafahamika mmekuwa busy kuona Mama Samia hakutani na viongozi wa Chadema.



Inafahamika kuwa fitina kwenu ndiyo silaha ya muhimu.

Kwanini hampendi kabisa haki wala amani ya nchi hii?

Ulichoandika kwa hakika ni utopolo mtupu.
 
Sidhani uko sahihi! keep on his shoes then come here to tell us your nonsense
 
Tatizo la mindset za siasa za kitanzania ni hili hapa. Ukipishana nae mawazo basi una haki ya kutungiwa jina lolote tu ilimradi hawana vifua vya kuweza kupokea mawazo tofauti na yale waliyonayo vichwani.
Watu wengi wanakuita Sukuma gang kwq sababu ya hulka yako kama ya jiwe. Inaweza kuwa wewe siyo msukuma lakini ukapewa hilo jina kwa sababu ya mawazo yako finyu kama ya jiwe
 
Kama ni kweli Marehemu alihusika kwa kuwatumia kikosi kazi TISS na wakatimiza mauwaji hayo, basi Mungu atawalipa kwa walichokifanya.....though siko chadema na wala sina mpango wa kuwa chadema.....Nampenda mama na sio ccm....
Watanzania hamjui mambo mengi sans

Tiss ni idara ya ofisi ya raise chini ya katibu mkuu kiongozi

Kijazi alikuwa katibu mkuu kiongozi - alikufa Kwa COVID

Magufuri alikuwa rais - alikufa Kwa COVID

Baada ya mungu kusafisha ikulu kupitia COVID neema imeonekana nchini kwetu.
 
Unadhani vijiswali vyako uchwara hivi vinauondoa ukweli kuwa mamlaka ilidhamiria rasmi kabisa kumwua huyu bwana?

Kwani hata Jenerali Sabaya hukumsikia akitekeleza operations zile rasmi kabisa kwa maelekezo kutokea wapi?
Angepigwa risasi na mamlaka asingeweza kupona labda mamlaka uchwara
 
Watu wengi wanakuita Sukuma gang kwq sababu ya hulka yako kama ya jiwe. Inaweza kuwa wewe siyo msukuma lakini ukapewa hilo jina kwa sababu ya mawazo yako finyu kama ya jiwe
Asante sana kwa matusi yako mkuu Allency. Mimi ni mshubi wa Ngara sio msukuma.

JPM alikuwa na mawazo mazuri ya kizalendo, hakutaka tuchezewe kirahisi tu. Alijivunia utanzania wake siku zote.
 
Reactions: Ame
Sidhani uko sahihi! keep on his shoes then come here to tell us your nonsense
Kulialia hakumsaidii yeye kama mtu aliyegombea urais mwaka 2020. Alifikia hatua ya kupanda daladala wakati wa kampeni, ghafla tena anadai ahakikishiwe usalama wake!.

Inahitajika fikra za kina kuweza kumuelewa haswa anataka nini.
 
Asante sana kwa matusi yako mkuu Allency. Mimi ni mshubi wa Ngara sio msukuma.

JPM alikuwa na mawazo mazuri ya kizalendo, hakutaka tuchezewe kirahisi tu. Alijivunia utanzania wake siku zote.
Sikumaanisha kukutukana mkuu, samahani sana, hata pia kuna comment yangu nimekuomba msamaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…