Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Kabla ya uchaguzi alifika kufuata gari. Hakukuwa na maandalizi ya mahojiano ndugu.
Na alipokamatwa ilikuwa kwa kesi B sio kesi A. Kipi kigumu kueleweka hapo

..maana yangu ni kwamba kulikuwa na fursa / opportunity ya kumhoji lakini Polisi hawakuitumia.
 
Mnajiteteaa, amini usiamini majina na Hadi tarehe za vikao na maelekezo mtawekwa wazi tu, na yule mwenye tako mkolomije anayeng'ang'ania vitu vya watu mjini
 
Mnajiteteaa, amini usiamini majina na Hadi tarehe za vikao na maelekezo mtawekwa wazi tu, na yule mwenye tako mkolomije anayeng'ang'ania vitu vya watu mjini
Sipo serikalini, ni mtu baki tu. Natumaini haki yangu ya kufikiri.
 
Wakati wa kampeni za uchaguzi, humu JF si ilishawahi kusemwa kuwa tayari Chadema ina riport ya uchunguzi wa Kupigwa Risasi kwa Lisu?. Uchunguzi uliofanywa kwa msaada wa wabobezi wa kujitegemea ambao ilipelekea kupigwa marufuku Makonda asiingie Marekani.

Nilitamani sana hiyo riport ingetolewa rasmi au pengine ndio maana inampa nguvu Lisu hadi anayaongea anachokifahamu.
 
Kama siyo mamlaka, basi mamlaka hiyo itoke hadharani na kuusema ukweli wa nani alihusika kumpiga Lissu risasi, na siyo kumsingizia kuwa eti hadi arudi au mlinzi wake.

Hii itakuwa ni kutufanya watanzania wajinga màana serikali hii hii imeshawahi kufanya uchunguzi wa mauaji na kufanikiwa vizuri bila kuwepo wahusika (wahanga) kwa màana ya wahusika wote kuuawa sembuse hili dogo ambapo eneo la tukio lilikuwa na cctv.

Lawama hizi watazibeba tu.


Angepigwa risasi na mamlaka asingeweza kupona labda mamlaka uchwara
 
Asante sana kwa matusi yako mkuu Allency. Mimi ni mshubi wa Ngara sio msukuma.

JPM alikuwa na mawazo mazuri ya kizalendo, hakutaka tuchezewe kirahisi tu. Alijivunia utanzania wake siku zote.
Alikuwa Mrundi. Mtanzania hawezi kuwa hash kiasi kile. Jitu lilijaa visasi na wizi tu
 
Arudi nyumbani, saccos itampa VIP protection ya kina Adamoo.
 
Mnaweweseka Ushetani wa Mwendazake Jiwe ukiwekwa hadharani
 
Kwa hiyo unakiri kuwa Ibilisi Jiwe ndio alitaka Kumuua sio ?
 
Serikali ndio ishatoa majibu akirudi ulinzi ni kama wanavyoishi watanzania wengine, Tundu aseme sasa what Next ili tushike hapo sio hivi mara vile, anabaki belgium au anarudi
 
Mungu sio mwanadamu unawaza wanaotoa maoni tofauti na nini chawa wa Lisu Mungu awape adhabu! Fuuuuuu! Nyingi ndo lile kundi mlishangilia sana baada ya Magufuli kufariki mkisema Mungu fundi! Kwa hiyo huwezi kuzuia hisia na maoni ya mtu!
Kifo chá magufuli hakikutuathir kwa vile ni muuaji aliyejificha kwenye kiti chá urais.
 
Wasiojulikana kumbe bado wapo chini ya Samia wanatamba tu mtaani halaf ma.a kaufyata!
 
Its just a beggining.!

Lissu anawajua woote waliohusika na lile jaribio la kumtoa uhai, Lissu ana marafiki wema kwenye mfumo!
 
Serikali ndio ishatoa majibu akirudi ulinzi ni kama wanavyoishi watanzania wengine, Tundu aseme sasa what Next ili tushike hapo sio hivi mara vile, anabaki belgium au anarudi
Haya majibu siyo yanayotakiwa hii ni kuendelea kutufanya watanzania kama ta wajinga, watuambie je uchunguzi wa wahusika utafanyika au hautafanyika? kwani hapa nako kuna utata? Maana watuhumiwa bado wapo mitaani tena Wana kula Bata na hapa ndipo hofu ilipo.
 
Hivyo aondoe wasiwasi aliokuwa nao.
Aondoe shaka.
Hayo ndiyo anataka yasemwe na mamlaka, siyo Phillipo mtandaoni.
Wakati fulani nilikuwa nalima shambani nikatega mtego wa kumnasa panya buku. Jembe lilimkosa kidogo; huwezi kuamini, ilikuwa kama saa 10 jioni, hadi kufikia kesho yake saa 2 asubuhi alikuwa ameshakimbia zaidi ya mita 50 chini kwa chini!
Fikiria aliyepigwa risasi kadhaa halafu akanusurika - jiwekeni kwenye viatu vyake muone .....
Tumwache aseme mwisho atatulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…