Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

P
 

..IGP Sirro alisema ametuma makachero wake wale top kabisa kwenda Dodoma kuchunguza tukio la Lissu.

..huu ni mwaka wa 4 tangu makachero watumwe Dodoma hatujasikia kama walitoa mrejesho gani IGP.

..Lakini Polisi walisema wame-retrieve CCTV cameras toka eneo la tukio.

..Binafsi najiuliza, hivi kunaweza kuwa na ushahidi mwingine mzuri kuliko unaoonekana kwenye cameras?

..Na madai kwamba ulinzi wa area D uliondolewa siku ya tukio?

..Hivi aliyeondoa walinzi aliagizwa na nani? Na aliyetoa maelekezo walinzi waondolewe hahusiki kweli na mipango ya kumshambulia Lissu?

Cc Meela
 
Hakuna visingizio tuliona kesi ya Lipumba Na CUF, kwa mahakama hizi Za CCM ni kupoteza wakati

Sasa malalamiko kwamba polisi hawajachunguza ni ya nini kama unaamini mahakama zetu zenyewe ni hopeless?
 
Taifa lenye kujielewa haliwekezi kuua Raia wake, bali huwalinda kwa kila namna pasipo kujali tofauti zao.

Sasa Rais kinachomfanya ashindwe kumpa guarantee ya usalama wake ni nini kama kweli hawana nia ovu?

Kwahiyo kila Mtanzania aliyewahi kunusurika (au atakayenusurika) kuuawa anastahili kupata guarantee ya Rais juu ya usalama wake? Wapo wengi wa aina hiyo!
 
Wataje wewe
 
Lkn kabla ya kupigwa risas si alishawataja wanaomfuata fuata wametumwa na kipilimba pamoja na siro
Au na hili tena linahitaji mjadala
 
TL na Mbowe kuwa gerezani ilikuwa ni kero kwa mama, Tz ingekuwa kama Urusi angeendelea kushupaza shingo lkn haiwezekani, mama kila alipokanyaga anaulizwa hao watu wa wili na mama naye anataka kusafishanchi, akaona isiwe taabu. Kwahiyo yawezekana yasiwe ni mapenzi yake mojakwa moja bali ni kama shinikizo, Yawezekana hautaki kufika kwenye msiba wa jirani yako au ndugu yako kwa sababu ya ugonvi wenu lkn kwa kufikiria kuwa jamii ya pale itakuonaje ukalazimika kufika ili usiharibu taswira na heshima yako, kwani kutofka kila aliyekuzunguka atauliza kwanini haukwenda kwenye msiba sasa hiyo ikawa kero kwako.
 
Lkn ukimsikiliza sana utaona bado hajapona. Hii kauli ni kama ilimchomoka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…