Alafu unaweza hisi tangia apigwe risasi akuwai kurudi Tanzania,kumbe alirudi na akatembea nchi nzima kufanya kampeni tena huku akuchimba mikwara.
Hoja yako nini hapa...?
Je, una maana, kwa kuwa alirudi, akagombea u - Rais 2020, akazunguka nchi nzima huku akilindwa, basi hii yatosha kusema kuwa, "kikosi cha rais Magufuli chini ya TISS ya Kipilimba" halikuhusika kuratibu mauaji yakiwemo ya Tundu Lissu...?
Labda hujui. Ngoja nikukumbushe;
1. Kwenye uchaguzi mkuu wa nchi yoyote, the whole world hutazama pale. Kwa hiyo, mamlaka lazima zifunike kombe ili mwanaharamu apite. Lazima zipake chokaa kaburi kwa juu. Lazima zi - predend kuwa zinajali na kufuata sheria...
2. Kwamba, umesahau kuwa Jiwe a.k.a Pombe Magufuli na CCM yake walishindwa vibaya sana ktk uchaguzi huo wa 2020 wa udiwani, ubunge na u - Rais...
3. Kwa hofu ya "itakuwaje sasa maana tumepiga". Jibu likawa moja tu, ku - umafia uchaguzi...
Systematically kwa kutumia mfumo mbovu wa katiba na sheria ya uchaguzi + mamlaka ya kiserikali, Jiwe akai - hijack kura zote za udiwani, ubunge na u - Rais kisha akaanza kuwapa/kuwagawia wanaCCM wenzake ktk kata za udiwani na majimbo ya ubunge na akamalizia kwa yeye kujipa kura za kutosha u - Rais na kisha akajitangaza mshindi...
4. Thereafter, mzee baba John Pombe Magufuli, immediately akaamuru ulinzi dhidi ya hasimu wake Tundu Lissu uondolewe na mara na Systematically vilevile, mwanya wa kuimaliza kazi waliyoianzisha mwaka 2017 kule Dodoma indirectly ikaanza kutaka kuendelezwa...
## Lakini bwana, njia za Mungu za ku - deal na uovu ni za ajabu na za kipekee kwelikweli...
## Yaani mtoa maelekezo na amri za kuua wengine, naye ktk mazingira yasiyo na maelezo ya kutosha dunia ilishitukia tu anakufa kizembe bila hata kupigwa risasi moja ya bastola...!!
## Yaani kampiga mwenzake risasi 37 HAKUFA. Lakini yeye akafa bila hata kupatwa na moshi au cheche za risasi ya SMG...!!