Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Taka taka
 
Ndio dini gani hiyo mkuu!
 
Kumbe watu kama Jiwe mko wengi sana
 
Sisi tunamtaka dreva wake, haiwezekani umekaa na mtu ambaye amepigwa risasi 36, harafu isikupate hata moja.

..kama dereva ni suspect Polisi wanatakiwa waitaarifu Interpol na Polisi wa Ubelgiji ili wamrejeshe Tanzania.

..kama Polisi hawajachukua hatua hizo maana yake ni kwamba hawamtafuti au hawana haja na maelezo ya dereva.
 
Hayati anazidi kuzikwa

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…