Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Mh. Tundu Lissu awataja waliohusika kumshambulia.

Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana.

Kimeua watu wengi sana, Kilijumuisha watu wa Usalam wa taifa, Watu wa Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi. Kinaitwa kikosi kazi cha kupambana na Ugaidi na madawa ya kulevya.

Watu wote waliouawa Maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji zaidi ya watu 400. Wale waliokuwa wanatupwa mtoni maiti zinaokotwa kwenye beach, wote ni Wahanga wa Kikosi hicho.

Ndio waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda Mdude, Mo Dewji. Yote yalitekelezwa na hicho kikosi kazi hichi chiini ya Kipilimba ammbaye sasa ni Balozi.

This can mean this or that, which means it means nothing. Kana TISS ina watu X na Polisi ina watumishi Y na Uhamiaji Z, waajiriwa wore ni X+Y+Z. Ukisema waliokupiga wametoka huko of course wanetoka huko, it is not the same thing as Tundu Lissu "AWATAJA waliohusika kumshambulia.

Kama katika hao TISS waliotoka mikoani ni A na waliotoka makao makuu ni B, maana yake A+B=X. Kama polisi mikoani ni C na makao makuu ni D, then C+D=Y. Na Uhamiaji hivyo hivyo E+F=Z. Kwa hiyo waliomshambulia ni A+B+C+D+E+F ambayo ni sawa na X+Y+Z tuliyoanzia. This is mathematical roundabout.

Hajataja mtu, ametaja idara tu. Na kumtaja Kipilimba au Sirro hakuna cha mno kwa vile ni Taasisi zao, maana wao ndiyo mabosi. Pia angeweza kumtaja Rais kwa vile wote tuko chini yake. Ni kutupatupa majiba kuwachafua.

Hapa hajataja chochote bado ni kujikanganya kwenye matope tu. Hatujajua hasa kilichotokea labda angetupa majina yao au hatta sura zao kwa kutumia fotofit reconstruction ya Scotland Yard kwa vile Tundu Lissu na Dereva wake waliwaona vizuri.

Mr. Tundu Lissu na CHADEMA wanajua fika kilichotokea, watatuambia wakitaka lakini wasiwatuhumu watumishi wema kama Kapilimba au Kamana Sirro kwa sababu tu ni kazi yao.
 
S

Serikali makini hulinda na kutetea raia wake, hili la Lissu ilipaswa haraka Sana baada ya tukio kuanza kufanya uchunguzi kinyume chake Wana visingizio visivyo na mashiko huku kukiwa na hisia kubwa za watawala kuwa na mkono wao katika tukio hilo. Sasa hapo unataka Lissu ashitaki wapi? Au Kwa watuhumiwa haohao?
Tunakuwa na Imani kuwa serikali haikuhusika. Lakini vitendo na mwenendo wa serikali baada ya Tundu Lissu kupigwa vinatia mashaka kwa hata sisi wapenda nchi yetu.
 
Kwani kuna ugumu gani serikali kufanya uchunguzi? Kuacha kufanya uchunguzi wa tukio hilo ndiko kunakoichafua serikali.

Serikali iache kutoa majibu ya kitoto ambayo kwa sasa yamepitwa na wakati maana Wananchi wa sasa wanauwezo japo wa kulinganisha na kutofautisha.

Kwamba "hawawezi kuchunguza hadi Lissu arudi" watu wanajiuliza kama angekufa wasingechunguza? Lakini pia wananchi wameshaona mara nyingi serikali hii hii ukichunguza hata pale ambapo mhanga ameuliwa.

Wananchi wanajiuliza iweje serikali iwe na visingizio katika suala hili la Lissu ambalo wanaliona kuwa uchunguzi wake ni rahisi kuliko ule wa kamanda Baro, askofu zanzibar, kijana wa Mtwara nk ambao serikali umeifanya, na ikumbukwe kwa Lissu kulikuwa na cctv.

Hayo Ndiyo yanayo wafanya watu kuona kuwa huenda kulikuwa na mkono wa watawala.
Uchunguzi wala hautacukua muda mrefu. Wakitazama tu hizo zinazoitwa cctv mchezo na kuwahoji walinzi wa siku hiyo mchezo umeisha
 
Hajaweka wazi nini haswa hoja yake. Ni kama mtu mwenye wasiwasi usiokwisha kwa vigezo vya mwanzoni mwa maongezi haya.

Inaweza kuwa ni muendelezo wa siasa za mitandaoni, hataki kutoka midomoni mwa watu kirahisi hivyo inambidi aongee hata kama anachokiongea ukikipima hakina undani sana.
nimeamini damu siku hizi sio nzito
 
This can mean this or that, which means it means nothing. Kana TISS ina watu X na Polisi ina watumishi Y na Uhamiaji Z, waajiriwa wore ni X+Y+Z. Ukisema waliokupiga wametoka huko of course wanetoka huko, it is not the same thing as Tundu Lissu "AWATAJA waliohusika kumshambulia.

Kama katika hao TISS waliotoka mikoani ni A na waliotoka makao makuu ni B, maana yake A+B=X. Kama polisi mikoani ni C na makao makuu ni D, then C+D=Y. Na Uhamiaji hivyo hivyo E+F=Z. Kwa hiyo waliomshambulia ni A+B+C+D+E+F ambayo ni sawa na X+Y+Z tuliyoanzia. This is mathematical roundabout.

Hajataja mtu, ametaja idara tu. Na kumtaja Kipilimba au Sirro hakuna cha mno kwa vile ni Taasisi zao, maana wao ndiyo mabosi. Pia angeweza kumtaja Rais kwa vile wote tuko chini yake. Ni kutupatupa majiba kuwachafua.

Hapa hajataja chochote bado ni kujikanganya kwenye matope tu. Hatujajua hasa kilichotokea labda angetupa majina yao au hatta sura zao kwa kutumia fotofit reconstruction ya Scotland Yard kwa vile Tundu Lissu na Dereva wake waliwaona vizuri.

Mr. Tundu Lissu na CHADEMA wanajua fika kilichotokea, watatuambia wakitaka lakini wasiwatuhumu watumishi wema kama Kapilimba au Kamana Sirro kwa sababu tu ni kazi yao.

Sasa kwa nini haiundwi tume huru kuchunguza Kama yale mauwaji ya Mtwara?
 
Uchunguzi wala hautacukua muda mrefu. Wakitazama tu hizo zinazoitwa cctv mchezo na kuwahoji walinzi wa siku hiyo mchezo umeisha
Hapo patazuka mengi itakuwa kama kesi ya kuuliwa Karume Sr. ilibaki Nyerere kuitwa Mr X kuficha jina lake kuhusishwa Na mauwaji
 
Hayo ndiyo matatizo ya kukariri. Kisheria, hata wewe (kama raia wa kawaida) unaweza kufungua kesi ya jinai dhidi ya mtuhumiwa wa uhalifu kama Serikali haitaki kufanya hivyo. Kitu muhimu ni kuwa na ushahidi wa kutosha kwamba mtuhumiwa alitenda hiyo jinai.

Huu utaratibu upo hata kwenye nchi zilizoendelea!
Unaandika ujinga mtupu,
Polisi na DPP wamejaza watu mahabusu na kila siku wanasema upelelezi haujakamilika.
 
P
Hiyo timu haikwenda baada ya zengwe la Lissu na ikifuatiwa na Lissu pamoja na dereva wake kuondoka kwenda Ubeljiji. Huyo aliyeandika hivyo kwenye JamiiForums nadhani aliruka hatua mbele kwa sababu Simon Sirro alitangazia umma kuwa atapeleka sio amepeleka.
 
Unaandika ujinga mtupu,
Polisi na DPP wamejaza watu mahabusu na kila siku wanasema upelelezi haujakamilika.

Ujinga ni huu wako wa kuandika kitu ambacho hakina uhusiano na hoja iliyoko mezani. Endelea kuhamisha magoli mpaka ujinga wako utakapoisha!
 
Yeye aliishaambiwa TZ ni salama kurudi. Sasa yeye anachotaka, eti raiosi atangazie ulimwengu amhakikishie usalama. Hii ni kujaribu kumdhalalisha raisi. Raisi amemwambia yeye anahakikishia usalama kama Watanzania wengine. Kwa nini anataka tangaze? Yeye naona aendelea kuwa Ubelgiji na kupewa pesa, ili hii kuendelea anatoa maombi ambayo hayatejekezeki. N8ilisikia anadai pesa ya matibabu waklati alisema alilipiwa na wahisani. Sasa hiyo pesa aNADAI AWARUDISHIE wahisani?
Cc johnthebaptist
 
This can mean this or that, which means it means nothing. Kana TISS ina watu X na Polisi ina watumishi Y na Uhamiaji Z, waajiriwa wore ni X+Y+Z. Ukisema waliokupiga wametoka huko of course wanetoka huko, it is not the same thing as Tundu Lissu "AWATAJA waliohusika kumshambulia.

Kama katika hao TISS waliotoka mikoani ni A na waliotoka makao makuu ni B, maana yake A+B=X. Kama polisi mikoani ni C na makao makuu ni D, then C+D=Y. Na Uhamiaji hivyo hivyo E+F=Z. Kwa hiyo waliomshambulia ni A+B+C+D+E+F ambayo ni sawa na X+Y+Z tuliyoanzia. This is mathematical roundabout.

Hajataja mtu, ametaja idara tu. Na kumtaja Kipilimba au Sirro hakuna cha mno kwa vile ni Taasisi zao, maana wao ndiyo mabosi. Pia angeweza kumtaja Rais kwa vile wote tuko chini yake. Ni kutupatupa majiba kuwachafua.

Hapa hajataja chochote bado ni kujikanganya kwenye matope tu. Hatujajua hasa kilichotokea labda angetupa majina yao au hatta sura zao kwa kutumia fotofit reconstruction ya Scotland Yard kwa vile Tundu Lissu na Dereva wake waliwaona vizuri.

Mr. Tundu Lissu na CHADEMA wanajua fika kilichotokea, watatuambia wakitaka lakini wasiwatuhumu watumishi wema kama Kapilimba au Kamana Sirro kwa sababu tu ni kazi yao.
Wewe utakuwa mmoja wao, sio kwa utetezi huu!
 
Suppose Lissu na dereva wake wangekufa police wasingefanya uchunguzi?

Kwani wamekufa? TL kachanganyikiwa kila wakati wanasema Camera ziliondolewa hawaseme gari lake nalo liliondolewa kwenye eneo la tukio kama kidhibiti. Hataki kuona kamera zilichukuliwa/kuondolewa kana kidhibiti pia. Wanaona ziliondolewa kuficha ushahidi. Ajitafakari alimkosea wapi Mungu atubu. Na asiishie hapo ajiulize kwa nini Mungu amemuachia Neema hii ya kuendelea kuishi.

Mimi nitamsaidia sehemu moja waliyokosea ni ule ulaghai wa kuwa aminisha wanacdm na Watanzania kuhusu matendo ya EL. Kilicho washangaza wengi wakageuka wakapokea posho na 2015 kuzunguka nchi nzima kumuombea kura kwa Watanzania. Huu uovu wanaendelea kuulipia sioni Lissu/Mbowe/Lema and the likes kama wamejifunza chochote kutokana na hili kosa ni walewale hakuna mabadiliko kwenye maneno wala matendo yao. Lissu anataka arudishiwe gari kidhibiti kilicho polisi hataki kuja kutoa ushahidi. Na kama alilinunua kwa posho za EL ndio ajue ni adhabu ndani ya matendo.
 
Kwani wamekufa? TL kachanganyikiwa kila wakati wanasema Camera ziliondolewa hawaseme gari lake nalo liliondolewa kwenye eneo la tukio kama kidhibiti. Hataki kuona kamera zilichukuliwa/kuondolewa kana kidhibiti pia. Wanaona ziliondolewa kuficha ushahidi. Ajitafakari alimkosea wapi Mungu atubu. Na asiishie hapo ajiulize kwa nini Mungu amemuachia Neema hii ya kuendelea kuishi.

Mimi nitamsaidia sehemu moja waliyokosea ni ule ulaghai wa kuwa aminisha wanacdm na Watanzania kuhusu matendo ya EL. Kilicho washangaza wengi wakageuka wakapokea posho na 2015 kuzunguka nchi nzima kumuombea kura kwa Watanzania. Huu uovu wanaendelea kuulipia sioni Lissu/Mbowe/Lema and the likes kama wamejifunza chochote kutokana na hili kosa ni walewale hakuna mabadiliko kwenye maneno wala matendo yao. Lissu anataka arudishiwe gari kidhibiti kilicho polisi hataki kuja kutoa ushahidi. Na kama alilinunua kwa posho za EL ndio ajue ni adhabu ndani ya matendo.

Sasa kwa nini usifanywe uchunguzi huru kama yale mauwaji ya Mtwara?
 
Back
Top Bottom