Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Wito wa Polisi siyo barua ya kirafiki, Nitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Wito wa Polisi siyo barua ya kirafiki, Nitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi

Mtu mwenye akili timamu huwa anajua lolote linaweza kutokea, huyo unaemtaja anaitwa mkereketwa au mfurukutwa na basically huwa hafikirii kwa logics and facts.
Kama ingekuwa rahisi hivyo nguvu inayotumiwa na CCM isingetumiwa, come again with strong points, au ujisomee tu ndugu Mtanzania mwenzetu.
Yani hata suala la Mbowe wewe haujui serikali imesemaje kuhusu wagombea kwenda kufanya kampeni nje ya jimbo hahaha namshukuru Mungu kwa kutokuwa MATAGA
Hiyo sheria ya tume hebu iweke hapa tuione,

Zitto yeye yuko huku na huko kila siku, ina maana hii sheria haimuhusu ila ina mhusu Mbowe tu?

Kushinda urais hakupimwi kwa maneno ya kejeli ma vijembe vya Lisu majukwani na wafuasi wake mitandaoni.

Ona huu utafiti hapa.
Screenshot_2020-10-01-08-36-44.jpeg
 
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi hata kifikiria kwamba Lisu atamshinda Magufuli kwenye box la kura mwaka huu!

Hili hata kina Mbowe wanajua ndio maana unaona wameacha ahangaike pekee yake wao wameenda kupigania ubunge.
Subiri vipimo muda utaongea
 
lissu anatafuta sababu ya kukamatwa au kuzuiwa kuendelea na kampeni kwa nguvu zote lakini alipolalia yeye wenzie ndipo walipoamkia wanampuuza tu hawamkamati na kampeniaendelee mpaka pumzi itakapomkatikia aache mwenyewe asubiri kuapishwa kwa jpm yaani sasa hivi hata akienda kumfinya jpm hakamatwi anaachwa tu tumeshamjua janja yake
 
lissu anatafuta sababu ya kukamatwa au kuzuiwa kuendelea na kampeni kwa nguvu zote lakini alipolalia yeye wenzie ndipo walipoamkia wanampuuza tu hawamkamati na kampeniaendelee mpaka pumzi itakapomkatikia aache mwenyewe asubiri kuapishwa kwa jpm yaani sasa hivi hata akienda kumfinya jpm hakamatwi anaachwa tu tumeshamjua janja yake
Relax Mkuu.
 
Lissu anatafuta sababu ya kushindwa, kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu, maelezo utayakuta polisi na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote.
Umenukuu sheria gani mkuu!
 
Hiyo sheria ya tume hebu iweke hapa tuione,

Zitto yeye yuko huku na huko kila siku, ina maana hii sheria haimuhusu ila ina mhusu Mbowe tu?

Kushinda urais hakupimwi kwa maneno ya kejeli ma vijembe vya Lisu majukwani na wafuasi wake mitandaoni.

Ona huu utafiti hapa.
View attachment 1587921
Kama Hiyo taasisi haijanihoji Ni ya kupuuzwa.
 
Kabla hujajiingiza kwenye kujadili complex issues. Nakusihi ujifunze kwanza kutofautisha Kibali na Taarifa. Kinachotakiwa ni kutoa taarifa Polisi sio Kuomba Kibali dada yangu.
Kwa ivyo kwako tofauti ya ‘kibali na taarifa’ ni complex ni issue, ama kweli.
 
Mimi siyo mwanasheria wala mwanasiasa, lakini nina foundation nzuri sana kuhusu sheria kwa vile ninaishi mazingira ambayo ujuzi wa sheria ni wa muhimu sana. Kwa mfano polisi akikuwashia taa za rangi barabarani huwezi kukimbia ukidai kuwa hujaambiwa kosa lako; ukikimbia unakuwa umetenda kosa, na anaweza kukurushia risasa au kutafuta polisi wengine wakuzingire na hata kuangusha gari lako mtaloni kwani wakti huo tayari unakuwa ni mhalifu hata kama sababu waliyokuwa wanataka kukuuliza haikuwa inahusianiana na makosa yako binafsi. Simama umsikilize kwa nini kakuwashia taa za rangi, baada ya hapo ndipo uulizea uhalali wake kukusimamisha.

Polisi siyo mahakama, hawahukumu bali kazi yao ni kutafuta ushahidi, na raia anakuwa anavunja sheria kuwazuia polisi kutafuta ushahidi huo. Ukishashaingiza mambo ya sheria kwenye siasa basi unakuwa unapoteza watu wako, na pia kuvuruga jamii. hakuna uhusiano wowote kati ya sheria na siasa kwenye jamii timamu.
Maelezo marefu unataka kusemaje sasa!
 
Back
Top Bottom