Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 966
- 6,019
- Thread starter
- #161
Hbr za Leo. Kila Siku tunatangaza kuhusu kuimarisha mifumo ustawi na rufaa zake. Kila mwenye uhitaji wa huduma za ustawi pa kuanzia ni ofisi ya serikali ya mtaa wake ambapo, atakutana na Afisa Ustawi. Kama hayupo kwenye ngazi hiyo, anaenda kwa mkurugenzi wa Halmashauri au ofisi ya mkuu wa wilaya. Ngazi hizi nchi nzima wapo.Sasa hivi hamuwajali YATIMA wala kuwapa mwanga pindi wazazi wao wote wawili wanapofariki , mnawaacha njia panda kabisa , kibaya zaidi hata mambo muhimu yakibinadamu mnawaachaniza si kama zamani mlivyokuwa mnawashika mikono , kuna waliokuwa na ndoto kubwa lakini mpaka sasa wameshindwa kutimiza ndoto zao ,na wamekata tamaa , serikali za vijiji hazioni thamani yao , na hata ndugu wanaosalia kusema wawasaidie watimize ndoto zao ni baadhi yao tu .
Je ni lini serikali itaingilia kati kuhakikisha inawashika mkono watu hawa?
Anaona amekwama, kuna ngazi ya mkoa, kote wapo.
Huko Nako amekwama, kuna simu za wizara kituo cha huduma kwa wateja, namba 0734986503 au 026 2160250. Imeonekana huko Nako mtihani, na mm napokea rufaa ujumbe kwenye simu yangu 0765345777 au 0734124191, natoa ushauri na maelekezo nn kifanyike.
Haya sasa nianzie hapa, nani kakwama wapi tafadhali. Nitumie sms Ili nibaini zaidi shida Iko ngazi ipi ya mfumo.
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app