Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Nimesona na ROMA mkatoloki pale USAGARA SEC wakati huo yeye ni basketballer anaetegemewa na shule huku mm ndo mwanamuziki bora zaidi pale.
Nakumbuka alikuwa anakuja kunipa ushauri akiwa na ANTONIO NUGAZ huyu wa Clouds (msemaji wa YANGA)
Jamaa walikuw wananikubali sana japo kuwa walinitangulia kidogo ila walinitambua mchango wangu.

Hata ile ngoma ya Roma (TANZANIA ) tumeplay kwa first time mahome SAHARE SEPOCHO 1

Ila chukushangaza wenzangu wametoboa mimi kibarua changu KUBET

Sent using Jamii Forums mobile app
Usikonde utafika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuhh!!!na we nawe kaplai boi we mdogo hvyo unakiss mwee

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunda alikuwa anakuja weekend hakai sana na alikuwa white na alikuwa ana sukwa vi rasta basi akija jua mtaa wetu videmu vyote chinii.

Na tulikuwa wawili na bike wanaweza kuja kuomba nika banaa ila akija yeye yani sifikirii.

Matukio ni mengii.

Ila dada yake D ndo tulikuwa close sana japo kuna muhunii ali mkunja,kwenye mchicha enzi hizoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aseehh!kumbe kupinda walianzaga zamani mwee
Tunda alikuwa anakuja weekend hakai sana na alikuwa white na alikuwa ana sukwa vi rasta basi akija jua mtaa wetu videmu vyote chinii.

Na tulikuwa wawili na bike wanaweza kuja kuomba nika banaa ila akija yeye yani sifikirii.

Matukio ni mengii.

Ila dada yake D ndo tulikuwa close sana japo kuna muhunii ali mkunja,kwenye mchicha enzi hizoo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa Diamond alinichoma na spoke ya baiskeli akilitaka barafu la sh 20 nililokuwa nikilinyonya kijitonyama kisiwani pale uwanja wa mpira miaka ya 1997-99(sikumbuki the exactly year). Tulikuwa tunakawaida ya kucheza mpira tukitoka mazoezi ya uministrant kigangoni kabla ya kujengwa kanisa lililopo sasa. Mashindano ni kati ya watoto tunaotokea upande wa Knyama kuu na wale wanaoishi kuanzia kijitonyama kisiwani mpaka Tandale huko. Padre alikuwa akitokea parokia ya mwananyamala kuja kusalisha kigangoni.

Haha nikaja kukutana nae kwenye event yake 2014-15 pale Mlimani City keshakuwa maarufu, isingekuwa Ruge na mdogo wangu ambaye yuko THT clue yakina Linah, Rachel, Barnabas, Ditto na wengine asingenikumbuka. Tulikumbushana, tukacheka na tumeshayasahau hayo

Pili Nimeisoma na Feruzi wa Daz Nundas Kizuka TPDF sec. School Moro hiyo, Kama atasoma hii post alikuwa anapenda sana kuniita toto tundu maana nilikuwa napenda Sana kuimba nyimbo zao.
Tatu mtaani kwetu akahamia Mangwear akiwa chini ya jamaa mmoja anaitwa Evans na mdogo wake Nancy Kijitonyama wakiwa wanapigisha simu (ile ya waya TTCL unatoa hela kwa dakika kama sijasahau ilikuwa 250). Hapo ndipo lilipozaliwa kundi la East Zoo

Prof J usimsahau dogo lako uliyekuwa ukimshauri maliza kwanza shule ndio uingie kwenye sanaa maana wewe ndio ulikuwa rol modal wangu mpaka kwenda kwa MI Kamwamba Upanga kurekodi. Nilifuata ushauri wako na namshukuru Mungu now ni mhasibu na ni muajiriwa, mambo ya bongo flavor nilishatupa kule
Kwa leo tuishie hapo...
Mkuu hapo kwa mangwair hebu tueleze life style ya jamaa kipindi hicho ilikuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua form 1 Abdul alikua form 3 ila sikumtaja hapa kwakuwa jamaa ametaja wasanii tu.

ABDUL MOHAMMED
huyu jamaa alikua ana roho safi sana pale shule na GS bora kwa nyakati zile nakumbuka hata muda wa kampeni hakupata shida na alionesha weledi sana kitu kizuri hata alipopata uongozi hakuwahi badilika kabisa . Siku moja majira ya saa 4 kipindi cha mapumziko alitukuta tumekaa nje ya kantini washikaji zaidi ya kumi tukamwambia kiongozi hatuna hela tununulie chai ile kiutani..basi bwana wote tulipigwa tambi na maharage na chai pale saafi kabisa...ABDUL MUUNGWANA SANA na ndo maana aliwahi kufanikiwa.

Tulipokua form 4 wakati huo 2012 ndo amepata kazi BBC alikuja kwenye mahafali ya kidini akatupa sana mawaidha ya kuyokata tamaa na kupambana pia alikuja kutuaga na tumuombee dua anapoenda.
Abdul Mohammed alikua GS bora zaidi Azaboy na alikua anatangaza EATV wkt yupo shule akaja kupata deal BBC London...nilimkuta akiwa form 4 wakati naanza form 1

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MOSES KITANDU
Huyu ni yule mchezaji wa Simba kama sikosei msimu wa majuzi ndo alikuepo Simba maana kwa sasa simsikii huyu mwmba alikua mwanagu pia kwenye kundi letu..dah nikikumbuka lile kondi wengi wameishia kufeli kwa uhuni na usela uliopitiliza japo Moses yeyehakuwa muhuni kivile.

Azania 2012 timu ya shule iliongozwa na Captein Masud Jabir huyu kwa sasa ni mjeda na ni mwanangu mpaka kesho...huku kuna Abuu Moshi namba 8 hiyo(Mwizi hatari[emoji23][emoji23] kaliza sana watu) ,Ally Anya (alikua kipa huyo ni fala mmoja hivi alijipendekeza sana kwa Ngozye shenzi) ,Benson Kalonzo(R.I.P) Moses Kitandu (striker)...naimisi san Azania

UNAKULA SITAAAAA!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nlisoma shule moja ya joti! Aisee nlianza shule wakti yy akiwa kashamaliza la saba ila tulimjua kwa vituko vyake! Hasa kile cha kupita nje ya madarasa akikimbia huku anapiga kelele...na moment alizokua anakuja na makapuni mbal mbali kama ya soda na maziwa kwenye matamasha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MOSES KITANDU
Huyu ni yule mchezaji wa Simba kama sikosei msimu wa majuzi ndo alikuepo Simba maana kwa sasa simsikii huyu mwmba alikua mwanagu pia kwenye kundi letu..dah nikikumbuka lile kondi wengi wameishia kufeli kwa uhuni na usela uliopitiliza japo Moses yeyehakuwa muhuni kivile.

Azania 2012 timu ya shule iliongozwa na Captein Masud Jabir huyu kwa sasa ni mjeda na ni mwanangu mpaka kesho...huku kuna Abuu Moshi namba 8 hiyo(Mwizi hatari[emoji23][emoji23] kaliza sana watu) ,Ally Anya (alikua kipa huyo ni fala mmoja hivi alijipendekeza sana kwa Ngozye shenzi) ,Benson Kalonzo(R.I.P) Moses Kitandu (striker)...naimisi san Azania

UNAKULA SITAAAAA!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah muda huo wengine tupo chuo, nakumbuka miaka ya 2005-2008 tulicheza mechi kadhaa aisee watu walikua wanatembea kuja kuangalia mechi za nje ya Azaboi,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom