Umeongea ukweli mtupu
 
Kumbe kichwa chako kibovu.
Kuwapanga wamachinga nako NI kuwasaidia?
Kuna wamachinga wangapi wanna elimu kwanini asiwape ajira?
hivi umachinga nayo ni kazi ?
So wanafanya tu sababu ya shida
We jamaa..hivi unadhani kazi ni kuchukua na kuwapa watu kama peremende..kuna utaratibu wa kuajiri pia kulingana na bajeti..ukiwaajiri ushindwe kuwalipa unataka iweje.

#MaendeleoHayanaChama
 
Njia bora ya kuondoa machinga na kupunguza bodaboda mijini ni kuboresha kilimo.
 
Kuna mitaa nusura kijiko kiondoke na machinga washukuriwe walinzi wa sheli baada ya kupiga kelele kuna mtu kalala ndani
 
Mji ulikuwa kama wanaishi Wanyama na sio binadamu
Na shida ni kwamba population inaongezeka na vijana ambao wangeendelea kuja mijini kufanya Umachinga wangeongezeka mara dufu..yaani ingezidi kuwa balaa..

Serikali ni bora ikaze watu waumie lakini baada ya hapa kila mtu ajue atatafuta mkate wake kwa utaratibu sahihi na bila kubughudhi wengine.
 
Huku kwetu Dom tumepangiwa eneo zuri sana yaani no malalamiko nawapongeza Mh.Mtaka, Mh Shekimweri na mkurugenzi wa jiji
 
Tunachekelea tukienda nchi za wenzetu kwamba zinapendeza, mandhari nzuri, mpangilio wa shughuli za kiuchumi ziko vizuri, haikuwa rahisi kuwa hivyo, ni matokea ya usimamizi mzuri na mkali wa serikazi zao, cha msingi mtu asionewe, tusitafute huruma kwa kuvunja utaratibu uliowekwa.

Naimani serikali imewaandalia maeneo sahihi ya kufanya shughuli zao. Na sisi ambao niwateja wao tutawafuata huko waliko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…