Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uzwazwa nduguMnazalisha majobless.
Huyo mama 2025 mtampa shida sana
Olentumbafu obhebhe! Tomasso wa hale..?Kenzy ole Tomasso
Amos Makala ni baharia, kapiga show za kimya kimya bila kelele jiji linaenda kutakata tena 😅 yani peupeee bila kusikia sijui flani kaumizwa!Hongera sana Rafiki yangu Papaaa Amos Makalla mzee wa MVOMERO. Machinga walikuwa kero sana kwa sisi watembea kwa miguu
Hakika.Olentumbafu obhebhe! Tomasso wa hale..?
Zoezi la kuwaondoa machinga ni la nchi nzima, Kauli ya Rais inafanya kazi Tanzania yote.Hili zoezi ni kwa mkoa wa dar es salaam pekee au na huku kwetu litafika? Maana kiukweli hali ni mbaya japo sio sana ila ni bora kuwahi mapema.
Aisee sijapita mitaa hiyo ila palikuwa hovyo sana, vibanda kila sehemu afu pia bodaboda wanatumia njia hiyohiyo yaan kero tupu kwa watembea kwa miguuHapa shekilango nimepita ni peupe peeeh.. wapo wachache wanaomalizia... sijui wametishiwa na jw hawa... yaan kirahisi tu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Maamuzi yasiyo ya haraka yalikuwa ni kutengeneza sehemu zinazowashawishi wao na Wateja wao wakubwa wakubwa kuhamishia Biashara zao maeneo hayoMaamuzi yasiyo ya haraka ni yapi?
Yaan unashtuka boda hii hapa. Nimefurahi sana wao kuhamishwa. Naelewa ugumu wa maisha ulivyo lakini haikua njia sahihi. Hawa watu wameambiwa nini mpaka wamehamisha hv??Aisee sijapita mitaa hiyo ila palikuwa hovyo sana, vibanda kila sehemu afu pia bodaboda wanatumia njia hiyohiyo yaan kero tupu kwa watembea kwa miguu
Dunia ya leo hakuna huduma za bure, Kama wewe ni machinga na unataka mahali pazuri pa kufanyia biashara zako, inakubidi uanze ngazi ya chini, kwa sababu katika maisha hakuna kuruka ngazi, ukiruka ngazi utaporomoka tu ili kufuata kanuni zake, Sasa kinachowatokea Machinga nchi nzima ni kwamba waliruka ngazi lao hii wanaporomoka ili warudi mahali wanapostahili.Maamuzi yasiyo ya haraka yalikuwa ni kutengeneza sehemu zinazowashawishi wao na Wateja wao wakubwa wakubwa kuhamishia Biashara zao maeneo hayo
Umewahi kuona kinachotokea siku za Sabasaba au Nanenane? Watu hukutana sehemu zisizo katikati ya Mitaa au Miji na Biashara hufanya vizuri sana
Siyo hii Jicho kwa Jicho mtu hapewi hata matumaini ya Mstakabali wa Biashara yake anafurushwa Tu
Mkijaribu kukaba tunawabakaPamoja na Nia njema kabisa iliyonayo Serikali yetu., wasiwasi wetu ni kuongezeka kwa vibaka mitaani.
Aah wapi wamewafanyia abush isee mji umesafishwaaa usiku wa kuamkia Leo..Mwisho tarehe 30 kwa dar ,
You know what it takes to live a 10/10 life.Dunia ya leo hakuna huduma za bure, Kama wewe ni machinga na unataka mahali pazuri pa kufanyia biashara zako, inakubidi uanze ngazi ya chini, kwa sababu katika maisha hakuna kuruka ngazi, ukiruka ngazi utaporomoka tu ili kufuata kanuni zake, Sasa kinachowatokea Machinga nchi nzima ni kwamba waliruka ngazi lao hii wanaporomoka ili warudi mahali wanapostahili.
Acha uzwazwa ndugu
Mama amedhamiria kuiletea maendeleo ya kweli Tanzania. Hayuko radhi kuwatumia machinga kama mtaji wa kisiasa.
Mama amedhamiria kulisaidia taifa zima kwa ujumla wake. Maamuzi ya busara sana haya ya serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Viva Mama Samia
Shida kivipi tena? Kwani Tanzania tunachaguaga rais au anateuliwa na chama?Mnazalisha majobless.
Huyo mama 2025 mtampa shida sana
Shida kivipi tena? Kwani Tanzania tunachaguaga rais au anateuliwa na chama?
Wapi hiyoHuku kitaaa kweupeee mpk nikahisi nimepotea njia mkuu
Mimi naona nchi hii hata rais akiamua kufanya lolote la kuwaudhi wananchi hapati shida maana hategemei sana kura ili kuendelea kuwa madarakaniRejea uchaguzi wa magufuli.
Japo alichaguliwa na chama Ila kura feki na kupanga matokeo NI kwa [emoji817]
Vijijini kuna mashamba ya kutosha waende wakalimeDhambi sana. Sasa wanawapeleka wapi?
Ajira wamewanyima na mitaani wanafukuzwa!
Samia umeshindwa kuajiri hata madaktari? Leo Tanzania MD hana kazi?
Kazi iendelee!