Tupeana updates za kuhama kwa Wamachinga
Pumzika kwa amani Jemedari chuma JPM, mzalendo na kiongozi madhubuti.

Mabeberu na Mafisi yamekuondoa mapema sana ingali taifa linahitaji uchapa-kazi wako.

Kila siku naikumbuka ile sauti yako yenye mngurumo wa radi. Kiongozi mwenye kinywa kilichojaa mamlaka na AMRI.

You have gone too soon John!
Wajinga ndoo ninyi
 
Pole sana kama nimekukwaza. Sikuwa na dhamira hiyo uliyo ifikiria.

Jana nikiwa natokea ubungo kuja kimara ndani ya daladala, kulikuwa na jamaa (vijana) waliyobomolewa vibanda vyao

Moja ya tahadhari katika maelezo yao ilikuwa juu ya uwezekano wa kuongezeka kwa vitendo vya ukabaji, kwakuwa vijana wengi hawatakuwa na kazi kipindi hiki Serikali ikiwa bado inafanya utaratibu wa maeneo.

Kiufupi ni kuwa tunajijua watanzania, unaweza kupinga lakini ukweli ukabaki nao ndani ya moyo wako.

Wakabe tuwapige moto simple.
 
Mazingira ya biashara, kilimo, exports, kodi, tozo muhimu yawe rafiki kwa wafanyabiashara na wakulima wote wakubwa na wadogo.

Hizi sera zinabidi ziwe strategic pia kuwe na join-up thinking.

Wakati wamachinga wanaondolewa barabarani, lazima kuwe na sera za uhakika, endelevu kuhakikisha taifa halizalishi wamachinga wengine wengi.

Kuongeza tozo kunapunguza ajira/kipato kwa wakala wa miamala, bei za mbolea inaongeza vikwazo kwa wakulima.

Hizi sera inabidi ziende kwa pamoja.
Absolutely,
Mkulimwa hana ahueni mbolea imetoka Elfu 75 hadi Laki na 18, mafuta na vingine e.t.c still tuna hitaji sera itakayo muangalia mtu wa chini
tapatalk_1624343856686.jpg
 
Absolutely,
Mkulimwa hana ahueni mbolea imetoka Elfu 75 hadi Laki na 18, mafuta na vingine e.t.c still tuna hitaji sera itakayo muangalia mtu wa chini View attachment 1990422

Unategemea hiyo ndio inatakiwa kuwa kazi ya msingi ya serikali.

Kujiuliza tunawasaidiaje Watanzania wengi, wainuke, wawe na vipato vizuri, waweze kulipa kodi, ambazo zitaongeza mapato ya serikali automatically kama wakulima wakiangaliwa.

Wakitaka kutengeneza sera, kuweka/ kuongeza kodi inabidi kitu cha kwanza wenye mamlaka wajiulize hizi sera zina athari gani kwa mkulima, zitamsaidiaje mkulima, effects zake kwenye ajira, uzalishaji wa mazao, kodi in short term and longterm.
 
Ufumbuzi ni kutafuta zaidi masoko ya mazao nje, pia kuruhusu wakulima kuuza mazao yao popote pale duniani.

Wapunguze vikwazo, ukiritimba, urasimu, kodi, vibali vingi kwenye kilimo.

Sera rafiki kuvutia wawekezaji wa ujenzi wa viwanda vya mbolea, matrekta, vifaa vya umwagiliaji, machine za kuchakata mazao pia na kuweka kodi rafiki kwa vitu muhimu kwa ajiri ya uzalishaji.

Wakizingatia haya, mapato ya serikali yataongezeka, ajira zitaongezeka na vijana watapata suluhisho la kudumu, endelevu, serious alternative ya kuwa mmachinga.

Ukiziba kotekote utaua watu, mwisho wake hautakuwa mzuri kwa serikali, raia na nchi kwa ujumla.
 
Mkuu sisi tupo hapa maeneo ya Ilala Boma...bango tunaliona ila pa kuenda hatujajua
Nyie jamaa ni vichwa maji kabisa hatuwaungi mkono kabisa mchapwe tu shida wengi wenu tatizo shule hivi hapo karume mnachoshindwa kuingia machinga complex ni kitu gani au mawasiliano kinachowashinda kuingia sokoni mule mawasiliano vibanda vimetelekezwa mmejazana juu ya mitaro wakati watu wanawafata popote mlipo kwani wateja wa kariakoo wanaishi pale si karibia wote wanashuka kwenye madaladala shida yenu nini hii nchi sio ya wamachinga peke enu nyie ni sehemu ndogo tu kwanza kuwa mmachinga sio fahari yoyote ni umasikini tu huwezi mbele za watu ukajitambulisha wewe machinga watu wakakuona wa maana, nendeni kwenye maeneo mliyopangwa wateja wenu watawafuata tu.
 
Back
Top Bottom