Jumuiya ya waislam imefanya nini toka Sewahaji mpaka leo?Taasisi ni Bakwata iliundwa na Laanatullahi Nyerere.
Ni vizuri ukawaulize wao
Soma vizuri thread inaongea nini
Umeandika mwenyewe nakunukuu
Hujasema taasisi
NaamWewe ni mfano halisi wa waislam anaowazungumzia mtoa mada.
Huu uwandishi unatosha kukufaham.hata ifakala mahenge makanisa ya meota mizizi kabla ya uhuru lakini wandamba na wapogolo masikini viongozi wao ndio mtajiri
nenda nyasa kwa kina kolimba komba kunjombe njoo mpaka songea wakirisito huko niwao tu na nguluwe wao lakini umasikini ulioko huko hatari na uchawi njoo sumba wabawanga mpanda umasikini mtu na uchawi tena huko ndiko waliko wakirito tu njoo mbeya iringa njombe kazi kuchuna ngozi watu tu huko hakuna waisilam kaangalie umasikini ulivio kithiri mkiristo mshamba usio tembea kazi kusifia mali za kanisa tu mbona azikuaidii
Mtoa mada ni mvaa kobazi mwenzako ukumbuke... Ni vile tu yeye amekuwa na Upeo wa kuona mbali tofauti na nyie ambao hamna mnapoonaNaam
Kama we na mtoa mada mnavyofanana upeo
U don't know why u have been created,u think that u hv been created purposely to fulfill wishes and desires while it's unlikely !
Wewe ni mtu wa kuchupia mara hichi mara kile.Mada haizungumzii wachungaji kubebwa...
Ukitaka tujadili hilo, anzishia uzi wake tutakuja kuchangia.
Mada inazungumzia WAISLAM KUJENGA VITUO VYA HUDUMA(shule, vyuo, hospital) na sio kukomaa na misikiti tu.
Hebu Bakini kwenye Hoja.... au imekuwa ya moto sana?
Hospitali ya Muhimbili imejengwa na muislam Sewa Haji Paroo toka India alifariki mwaka 1850Washamba hao point yao watakuja na MWENGE catholic na hospital ya Muhimbili kama unabisha ndo defensive mechanism yao ...Wakati ni wajinga wanawachangia mapandre na maaskofu then wao ndo wamiliki wa izo shule na vyuo
Umegongwa ndipo umebaki povu tuHuu uwandishi unatosha kukufaham.
Pengine hata Form 4 tu hujafika.
Ila pia inapata ruzuku serikali ... kingine Kuna watoto wa kimaskini wanashindwa kutibiwa kwa sababu ya kutokuwa na uwezo wakifedha.Hospitali ya Muhimbili imejengwa na muislam Sewa Haji Paroo toka India alifariki mwaka 1850
Sasa watu sio taasisi? Au taasisi inaundwa na ng'ombe?Wewe ni mtu wa kuchupia mara hichi mara kile.
Sasa unaongelea watu , kule ulisema Taasisi.
Umekunywa damu ya kienyeji ya Yesu?
Kwani mkuu Ni Mali Kiasi Gani Unatakiwa Kuwa Nayo ili Kutoa zaka.Kutoa Sadaka Au Zaka Tunatoa Miongoni Mwa Vile Allah AlivyotubarikiNani alisema wakati MUNGU amemarisha utoe zaka, utatoaje zaka kama huna mali
Mkuu kama mimi ningekaa kimya tu nikubali nime-fail ila nikiri naanza upya kuliko kuleta point hiyo hapo juu.Hospitali ya Muhimbili imejengwa na muislam Sewa Haji Paroo toka India alifariki mwaka 1850
Mm Sidhan Kama vyuo Vikuu Vya Kiislamu Vinanyanyua Uislamu,Bali Vinananyua Waislamu Wachache Wenye Hiyo Organization.Uislamu unanyanyuliwa Kwa Kujifundisha Quran,Quran ambayo Inafundishwa madrasa Na sio Chuo Kikuu Cha Kiislamu.Uislamu unaongoza kwa maendeleo ?
1.Taja idadi ya vyuo vikuu vya kiislamu hapa Tz.
Sasa watu sio taasisi? Au taasisi inaundwa na ng'ombe?
Swali langu unalikwepa, ila nitakomaa na wewe mwanzo mwisho.
Nauliza: [emoji116]
Waislam mmefanya kipi cha maana kinachogusa jamii?( Usiniambie habari za muhindi Sewahaji wa mwaka 1870)
Nitajie Hospitali moja tu ya kueleweka iliyoanzishwa na Waislam au Taasisi ya Kiislam au hata wafadhili wa Kiislam..
Tutafanya nini na Serikali mnayo nyinyi wakristo ?
Mnafanya ujangili Mali zinafichwa makanisani. Kama vile Yesu na roho mtakatifu ndio walinzi.
Unaweza kuniambia kesi ya huyu Padri iliishia vipi ?
PADRI AKAMATWA KWA UJANGILI HUKU BUNDUKI 48, RISASI 764 ZIKIKAMATWA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda, akionyesha bunduki aina ya AK47 kati ya silaha zilizokamatwa katika msako maalum wa ujangili.
Na Daniel Mbega, Namanyere
PADRI wa Kanisa Katoliki Jimbo la Sumbawanga (jina linahifadhiwa) ni miongoni mwa watu 50 waliokamatwa kwa ujangili na Kikosi Kazi cha Taifa katika Pori la Akiba la Lwafi wilayani Nkasi katika Mkoa wa Rukwa.
Padri aliyekamatwa ni wa Parokia ya Kirando katika mwambao wa Ziwa Tanganyika, ambaye bunduki yake aina ya Rifle yenye darubini inadaiwa kutumika katika ujangili ndani pori hilo la Lwafi wilayani humo.
Taarifa za kipolisi zimeeleza kwamba, mbali ya kukamatwa kwa watu hao, pia jeshi hilo limekamata bunduki 48 za aina mbalimbali ikiwemo ya Padri huyo anayoimiliki kihalali, pamoja na risasi 764 na maganda ya risasi 101.
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Jacob Mwaruanda amesema kuwa baadhi ya waliokamatwa silaha zao wanazimiliki kihalali lakini zinatumika kinyume na utaratibu wa kumilikishwa kwao.
"Watu hawa bado wanahojiwa na upelelezi utakapokamilika watafikishwa mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake," alisema Kamanda Mwaruanda.
Kamanda Mwaruanda alisema kati ya bunduki 48 imo moja ya kivita aina ya AK47, bunduki 8 aina ya Rifle na risasi zake 83, Shortgun 19 na risasi zake 138, bastola 5 na risasi zake 133, magobore 15, magazine nne za bunduki aina ya Sub-Machine Gun, maganda matano ya bunduki aina ya Rifle, maganda 96 ya risasi za bunduki ya shortgun pamoja na vifaa vya kutengenezea bunduki za kienyeji na mitutu sita.
Watuhumiwa hao walikamatwa pia na nyara za serikali ambazo ni mikia sita ya tembo, nyama ya nyati kilo 20, miba ya nungunungu, ngozi moja ya paka-pori na pembe ya Nshya.
Wewe Speed Gavana umeshakosa hoja kama upo bongo tafuta kitanda kilipo ulale,padre ni mtu kama mimi na wewe au Al-had Musa ana tamaa zake kama tulivyo sisi sidhani kama hii ni hoja ya kuiingiza hapa.Tutafanya nini na Serikali mnayo nyinyi wakristo ?
Mnafanya ujangili Mali zinafichwa makanisani. Kama vile Yesu na roho mtakatifu ndio walinzi.
Unaweza kuniambia kesi ya huyu Padri iliishia vipi ?
PADRI AKAMATWA KWA UJANGILI HUKU BUNDUKI 48, RISASI 764 ZIKIKAMATWA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda, akionyesha bunduki aina ya AK47 kati ya silaha zilizokamatwa katika msako maalum wa ujangili.
Na Daniel Mbega, Namanyere
PADRI wa Kanisa Katoliki Jimbo la Sumbawanga (jina linahifadhiwa) ni miongoni mwa watu 50 waliokamatwa kwa ujangili na Kikosi Kazi cha Taifa katika Pori la Akiba la Lwafi wilayani Nkasi katika Mkoa wa Rukwa.
Padri aliyekamatwa ni wa Parokia ya Kirando katika mwambao wa Ziwa Tanganyika, ambaye bunduki yake aina ya Rifle yenye darubini inadaiwa kutumika katika ujangili ndani pori hilo la Lwafi wilayani humo.
Taarifa za kipolisi zimeeleza kwamba, mbali ya kukamatwa kwa watu hao, pia jeshi hilo limekamata bunduki 48 za aina mbalimbali ikiwemo ya Padri huyo anayoimiliki kihalali, pamoja na risasi 764 na maganda ya risasi 101.
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Jacob Mwaruanda amesema kuwa baadhi ya waliokamatwa silaha zao wanazimiliki kihalali lakini zinatumika kinyume na utaratibu wa kumilikishwa kwao.
"Watu hawa bado wanahojiwa na upelelezi utakapokamilika watafikishwa mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake," alisema Kamanda Mwaruanda.
Kamanda Mwaruanda alisema kati ya bunduki 48 imo moja ya kivita aina ya AK47, bunduki 8 aina ya Rifle na risasi zake 83, Shortgun 19 na risasi zake 138, bastola 5 na risasi zake 133, magobore 15, magazine nne za bunduki aina ya Sub-Machine Gun, maganda matano ya bunduki aina ya Rifle, maganda 96 ya risasi za bunduki ya shortgun pamoja na vifaa vya kutengenezea bunduki za kienyeji na mitutu sita.
Watuhumiwa hao walikamatwa pia na nyara za serikali ambazo ni mikia sita ya tembo, nyama ya nyati kilo 20, miba ya nungunungu, ngozi moja ya paka-pori na pembe ya Nshya.
Hospital itajengwa vipi na wajengaji wanapigwa vita na serikaliMimi niko palepale sitoki kwenye reli:
[emoji116]
Nitajie Hospitali moja tu ya kueleweka iliyoanzishwa na Waislam au Taasisi ya Kiislam au hata wafadhili wa Kiislam..
Niambie kesi ya huyo Padri na Mali iliyofichwa kanisani ilienda wapi ?Wewe Speed Gavana umeshakosa hoja kama upo bongo tafuta kitanda kilipo ulale,padre ni mtu kama mimi na wewe au Al-had Musa ana tamaa zake kama tulivyo sisi sidhani kama hii ni hoja ya kuiingiza hapa.
Kaa pembeni achia wenzio nao wapewe elimu.
Kwa hiyo Serikali imewapiga nyie vita msijenge hospitali?Hospital itajengwa vipi na wajengaji wanapigwa vita na serikali
Sikiliza vizuri vitabu vyenu vya kanisa vinasema nini , usiniulize mimiKwa hiyo Serikali imewapiga nyie vita msijenge hospitali?
Jibu nilichokuuliza.Sikiliza vizuri vitabu vyenu vya kanisa vinasema nini , usiniulize mimi