Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

Bukoba Mjini pana misikiti mingi kuliko mahitaji ya waumini. Mingine hata kuifanyia usafi ni tatizo. Majani hadi mlangoni

Ni heri sasa kujikita katika kujali mahitaji ya kimwili ya waumini kuliko kuendeleza mashindano ya kujenga misikiti.
 
Na mkijenga hospitaal yakhe, zisiwe ni kuahudumia waislamu kama ulivyoandika hapo juu! Mfanye kama wenzenu Wakristo, hakuna ubaguzi. Na mashule hivyo hivyo.

Chuo kikuu cha Morogoro kimekuwa madrasa tul islam ubaguzi tele.
 
Wanaojenga misikiti sio hawa wazawa titii ni waarabu wa nje toka nchi za kiislam. Wazawa wanajenga ya matope huko vijijini na wa mijini wanajenga vijengo vidogovidogo vya kawaida tu, ila vimisikiti vingi vimejengwa kando ya barabara kuu maeneo ya vijijini, hivi vimisikiti vingi kila baada ya kilometa chache maporini havina waumini wa kusali. Ni misaada toka nje, misikiti mingi hata kwenye maeneo ambayo hayana waislamu wengi wana bahati nchi ni ya amani na uhuru wa kuabudu hakuna wa kuibomoa hiyo misikiti iliyojengwa kando ya barabara kuu huko maporini vijijini. Hivi katika nchi za kiislam inawezekana vipi makanisa yakajengwa kwa wingi porini na yakabaki salama? Nchi ya amani na uhuru wa kuabudu hii
 
Ukifunga ramadhani yote una pepo kama utakutana na tulqadir
Ukijenga msikuti una pepo
 
Tatizo kubwa la Uislamu tangu karne za giza ni kutaka kushindana na Ukristo. Hii imefanya Uislamu kukosa dira na sababu nzuri za kufanya mambo ya msingi katika jamii.

Utaona kabisa waislamu wanafanya juu chini na kutumia mabilioni ilimradi tu wanajipenyeza kwenye ngome za wakristo! Kujenga misikiti mita mbili kutoka barabara kuu ili tu watu waone kwamba miskiti imejaa njia yote.

Mpeleke huduma ndani vijijini wapo wengi wasio na maji, shule, nk acheni mashindano yasiyo na tija kwa umma.
 
Wasiowaislam wanajenga hospital za kuhudumia watu wote wewe unasema za kuhudumia waislam...Hamuwezi kufanikiwa kwa mawazo hayo

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Mambo yanayowangusha waislam kwenye maendeleo ya kaya zao ni:
1 polygamy: ni ngumu kiendelea kama huna mahusiano stable ya familia hii onazaa la watoto ambao hawana misingi imara ya kifamilia kwa hiyo kukosa uelekeo sahihii.pia resources nyingi hutumika kwenye recurrent expenditure za kuwa na kuhudumja wake

2. Msisistizo mdogo kwenye secular education.
3.kuamini sana kwenye ushirikiana
 
Msikiti ndio kituo Cha uislam,ndio msingi wa kuhuisha uislam
Tatizo ni kuwa uislam halisi umeachwa, pasipo kusimamisha utawala wa kiislam hayo uongeayo ni ndoto
Simamisha uislam msikiti isimame
 
Umetoa bonge LA point Ila afrika tumekuwa mbuzi Sana siku hizi , mwarabu au mzungu akisema hiki mbio tunafuata ....dini bila maendeleo ni borderline cult tu , waislamu tujengane ,tuanzishe mbinu za kuzalisha utajiri au ajira kwa vijana kwa ss miskiti imetosha
 
Washamba hao point yao watakuja na MWENGE catholic na hospital ya Muhimbili kama unabisha ndo defensive mechanism yao ...Wakati ni wajinga wanawachangia mapandre na maaskofu then wao ndo wamiliki wa izo shule na vyuo
Hawa ndio aina ya waislam mtoa mada anaowazungumzia....Umesaidia kuprove hoja ya mtoa mada ambaye ni mwislam mwenzako.

Mimi nitakutajia Vyuo vikuu vya Wakristo hapa Tz.

1. St Augustine University
2. Tumaini University
3. St John's University
4. University of Arusha
5. St Joseph University

Na Kwenye vyuo hivi, KUNA WAISLAM KIBAO wanasoma na wamesoma humo.

Ukiachana na MUM cha Morogoro, Waislam mna chuo kikuu kingine?
 
Ivyo vyuo hapo vyote takataka kama vyuo vya kata hamna cha maana..siwezi kusoma.

Unaongelea vyuo wangapi wanafaulu wanashindwa kulipa ada..Hapa ni ishu za kusaidiana tunajua majority wengi ni maskini sasa utakwamua vip .

Ivyo kweny list narudia ni takataka Tena havina kitu kabisa..
 
Wewe umeshapanic.... Mada inahusu maendeleo na Waislam wewe unakuja na habari za Yesu.

Nyie ndio wale mnaozungumziwa na mtoa mada(mwislam mwenzenu)
 
Umenisemea Allah anisamehe mwanangu baba ake amempeleka seminary ya masista maana hakuna shule nzuri ya kiislamu ya wasichana,ni mtihani mtupuu

Binafsi shule ya msingi alikuwepo dada mmoja muislam anaitwa mwajuma Rashid Mbonde. Alikuwa kichwa kweli kweli.. la saba alifaulu na kupangiwa kuanza form one katika shule ya vipaji kilakala.. ila wazazi wake walimpeleka shule ya masista st francis mbeya. Na alipofika st francis na uislamu wake bado form 4 alifaulu kwa div 1 pts 8 na A level akaenda Marian galz.

Sasa hivi ni daktari huyo dada.

Wazazi wake japo ni waislamu waliamua kumsomesha shule za masista sababu hakuna shule za waislamu zilizo vizuri ki academic
 
Hahaha... Wewe Huwezi kusoma wakati humo kwenye hivyo vyuo Waislam wenzako wamejazana kibao!!!

Na kwenye list yangu nilisahau kutaja chuo kikuu cha sita.

6. Sebastian Kolowa Memorial University


Na nimekuuliza swali naona unajifanya hulioni, ukitoa MUM morogoro (ambacho mlipewa na Mkatoliki Mkapa), Waislam Mna chuo gani kingine hapa Tanzania?
 
Pamoja na maoni au Ushauri mzuri tegemea zaidi matusi na kebehi kutoka kwa Waislam
 
Hahaha... Wewe Huwezi kusoma wakati humo kwenye hivyo vyuo Waislam wenzako wamejazana kibao!!!

Na nimekuuliza swali naona unajifanya hulioni, ukitoa MUM morogoro (ambacho mlipewa na Mkatoliki Mkapa), Waislam Mna chuo gani kingine hapa Tanzania?
Wataka vyuo vya dini ili iweje Zanzibar hakuna..Mbona ivyo watu wanasoma mchanganyiko !! Kwani ivyo vyuo watu wanasoma bure?

Izo ni takataka kwa watu wanaopenda kitongo ila vyuo vikubwa vinajulikana sio izo takataka mara ohh kaanzisha mkapa ..Hata Bakwata kaanzisha Nyerere.

Izo ni biashara za watu maana wanapokea ada na figisu kibao watoto jawadisco ili waendelee kula ada.


Izo ni takataka kabisa ...ni milimi ya michango yenu walala hoi mnatao then watu wanafanya biashara
 
Swali langu ni rahisi sana... Acha Blah blah jibu nilichokuuliza.

Wakristo wana Vyuo vikuu visivyopungua SITA hapa Tanzania(nimeviorodhesha hapo juu)

Sasa turudi kwa waislam, Ukitoa chuo kikuu cha morogoro (MUM) Mlichopewa na Rais Mkatoliki Mkapa, Ninyi Waislam mna vyuo vikuu vingapi?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hawa ndio waislam mtoa mada anao wazungumzia.

Kwa mentality hii, Waislam mna kazi kwelikweli kujikwamua kutoka hapo mlipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…