KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Na akina mama nao wamewakosea niniTusitete ujinga, Vijana wengi wa kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima
Unakuta kijana yupo kijiweni anatambia wenzake kuwa anaweza kuwa mudu wanajeshi, vijana uhuni umekuwa mwingi kiasi kwamba kuna beach zilizopo kule kawe huwezi pita hasa silver beach mchana wanasema hawaogopi kukaba wanaweza mkaba hata mwanajeshi,
Story nyingi za bodaboda ni kuonesha jeuri kwa kuwa wanajeshi wengi wamekuwa abiria wao.
Ujasiri wa kuchukua kisu na kumshambulia mwanajeshi ni kosa kubwa sana..
Serikali imetumia pesa kubwa hadi kumtengeneza kanali huyo
Wengi unaandika kishabiki lakini lugha chafu ya vijana wa kawe hasa bodaboda na waendesha bajaji ni chafu sana, mtu akishavuta bangi zake anaona wote sawa
Mtu yupo katika gari amekwama anajitahidi aondoe gari yake huyo kijana anashuka kwa hasira na kuanza kumfokea kamanda mbele ya familia yake kwa maneno na matusi . Dharau sana hii kijana kuonesha jeuri akaamua afate kisu mjeda alijua issue imeisha anashangaa anadungwa na kisu.
Heshima inabidi irudi. Vijana wanabidi wafundishwe adabu
Wapeni kichapo ila msiwaue tuTusitete ujinga, Vijana wengi wa kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima
Unakuta kijana yupo kijiweni anatambia wenzake kuwa anaweza kuwa mudu wanajeshi, vijana uhuni umekuwa mwingi kiasi kwamba kuna beach zilizopo kule kawe huwezi pita hasa silver beach mchana wanasema hawaogopi kukaba wanaweza mkaba hata mwanajeshi,
Story nyingi za bodaboda ni kuonesha jeuri kwa kuwa wanajeshi wengi wamekuwa abiria wao.
Ujasiri wa kuchukua kisu na kumshambulia mwanajeshi ni kosa kubwa sana..
Serikali imetumia pesa kubwa hadi kumtengeneza kanali huyo
Wengi unaandika kishabiki lakini lugha chafu ya vijana wa kawe hasa bodaboda na waendesha bajaji ni chafu sana, mtu akishavuta bangi zake anaona wote sawa
Mtu yupo katika gari amekwama anajitahidi aondoe gari yake huyo kijana anashuka kwa hasira na kuanza kumfokea kamanda mbele ya familia yake kwa maneno na matusi . Dharau sana hii kijana kuonesha jeuri akaamua afate kisu mjeda alijua issue imeisha anashangaa anadungwa na kisu.
Heshima inabidi irudi. Vijana wanabidi wafundishwe adabu
Iko kisu kikidakwa utaenda kambini kunywa supu na vidole viwili na iko siku utakuwa unakilamba kila asubuhi kikiwa cha motoiNa nyie mkijirengesha ni bisu,Afu kimya
Tusitete ujinga, Vijana wengi wa kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima
Unakuta kijana yupo kijiweni anatambia wenzake kuwa anaweza kuwa mudu wanajeshi, vijana uhuni umekuwa mwingi kiasi kwamba kuna beach zilizopo kule kawe huwezi pita hasa silver beach mchana wanasema hawaogopi kukaba wanaweza mkaba hata mwanajeshi,
Story nyingi za bodaboda ni kuonesha jeuri kwa kuwa wanajeshi wengi wamekuwa abiria wao.
Ujasiri wa kuchukua kisu na kumshambulia mwanajeshi ni kosa kubwa sana..
Serikali imetumia pesa kubwa hadi kumtengeneza kanali huyo
Wengi unaandika kishabiki lakini lugha chafu ya vijana wa kawe hasa bodaboda na waendesha bajaji ni chafu sana, mtu akishavuta bangi zake anaona wote sawa
Mtu yupo katika gari amekwama anajitahidi aondoe gari yake huyo kijana anashuka kwa hasira na kuanza kumfokea kamanda mbele ya familia yake kwa maneno na matusi . Dharau sana hii kijana kuonesha jeuri akaamua afate kisu mjeda alijua issue imeisha anashangaa anadungwa na kisu.
Heshima inabidi irudi. Vijana wanabidi wafundishwe adabu
Hawatakuua lakini,watakuvunja kiuno tu inatoshaNatamani sana mazali kama haya yanikute na yanitokee ya wanajeshi kuvamia raia na kuanza kuwatembezea kipigo. Yani huo mkono nitakavyowatembezea watajuta kuzaliwa
Msijifanye nyie miungu watu kuna majeshi bora kuliko nyie kuna iraq ,libya,afghanistan,yemen walianza ujinga wa kuua raia ,Iko kisu kikidakwa utaenda kambini kunywa supu na vidole viwili na iko siku utakuwa unakilamba kila asubuhi kikiwa cha moto
Nipeni mamlaka kikatiba niweze kufanya hayo.Ww ndio unasema hatoshi chagua wa kwako anaye tosha
Mimi ninachokiona, Rais aanze na Waziri wa Ulinzi kisha abadilishe utawala wa jeshi kwa sababu hawa waliopo wamemuangushaHapo hatosh Hadi mkuu WA kikosi from up to down
Then Hadi sasa haijulikan nn kinaendelea
Wanaoleta dharau wengi wao either wanakaa kwa wale wazee wa unanifahamu mm nani au hicho chombo anachoendesha ni chahao wazee hawezi kua na kiburi km hana backupLejesheni Heshima ila msiwaumize,msiwaue...tunawaomba wakuu
Dunia ingekuwa na wapumbavu milioni moja kama wewe basi ingeangamia.Tusitete ujinga, Vijana wengi wa kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima
Unakuta kijana yupo kijiweni anatambia wenzake kuwa anaweza kuwa mudu wanajeshi, vijana uhuni umekuwa mwingi kiasi kwamba kuna beach zilizopo kule kawe huwezi pita hasa silver beach mchana wanasema hawaogopi kukaba wanaweza mkaba hata mwanajeshi,
Story nyingi za bodaboda ni kuonesha jeuri kwa kuwa wanajeshi wengi wamekuwa abiria wao.
Ujasiri wa kuchukua kisu na kumshambulia mwanajeshi ni kosa kubwa sana..
Serikali imetumia pesa kubwa hadi kumtengeneza kanali huyo
Wengi unaandika kishabiki lakini lugha chafu ya vijana wa kawe hasa bodaboda na waendesha bajaji ni chafu sana, mtu akishavuta bangi zake anaona wote sawa
Mtu yupo katika gari amekwama anajitahidi aondoe gari yake huyo kijana anashuka kwa hasira na kuanza kumfokea kamanda mbele ya familia yake kwa maneno na matusi . Dharau sana hii kijana kuonesha jeuri akaamua afate kisu mjeda alijua issue imeisha anashangaa anadungwa na kisu.
Heshima inabidi irudi. Vijana wanabidi wafundishwe adabu
wanajifanya viherehere kuwatetea hao vibaka, nao wapigwe tu maana hamna namna.
Unaonekana hata hujui nini maana ya Jeshi la Wananchi au Jeshi la Kujenga Taifa,Hapo hatosh Hadi mkuu WA kikosi from up to down
Then Hadi sasa haijulikan nn kinaendelea
Wewe ndio mpumbavu unakaa mitandaoni kudharau Jeshi la Nchi yako, kichwa chako kimejaa funza tena una bahati ilibidi udakwe uwe mfano hai kwa wengine wenye kichwa km chakoDunia ingekuwa na wapumbavu milioni moja kama wewe basi ingeangamia.
Ni kweli kbsa hata Hilo neno ni geni kwangu kbsaUnaonekana hata hujui nini maana ya Jeshi la Wananchi au Jeshi la Kujenga Taifa,
Kwa hyo unaona sawa boda kuua askari jeshi, hv mkuu umeharibikiwa gari barabarani upo unafanya juhudi za kuitoa ili kusiwe na jam, anakuja mpumbavu mmoja anaanza kukurushia mtiusi ya nguoni (tena mpumbavu huyo ni kama mtoto wako) utaacha kumzaba vibao?Dunia ingekuwa na wapumbavu milioni moja kama wewe basi ingeangamia.
Mnabidi mpewe lecture za kutosha wengi wenu bichwa zenu hazielewi kitu kuhusu Jeshi, ndio maana Serekali inajitahidi mkimaliza six at least muende mkapewe lecture angalau muelewe Jeshi ni niniNi kweli kbsa hata Hilo neno ni geni kwangu kbsa
Nisaidie kujua....