Tusitetee ujinga, Vijana wengi wa Kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima

Tusitetee ujinga, Vijana wengi wa Kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima

Tusitete ujinga, Vijana wengi wa kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima

Unakuta kijana yupo kijiweni anatambia wenzake kuwa anaweza kuwa mudu wanajeshi, vijana uhuni umekuwa mwingi kiasi kwamba kuna beach zilizopo kule kawe huwezi pita hasa silver beach mchana wanasema hawaogopi kukaba wanaweza mkaba hata mwanajeshi,

Story nyingi za bodaboda ni kuonesha jeuri kwa kuwa wanajeshi wengi wamekuwa abiria wao.

Ujasiri wa kuchukua kisu na kumshambulia mwanajeshi ni kosa kubwa sana..

Serikali imetumia pesa kubwa hadi kumtengeneza kanali huyo

Wengi unaandika kishabiki lakini lugha chafu ya vijana wa kawe hasa bodaboda na waendesha bajaji ni chafu sana, mtu akishavuta bangi zake anaona wote sawa

Mtu yupo katika gari amekwama anajitahidi aondoe gari yake huyo kijana anashuka kwa hasira na kuanza kumfokea kamanda mbele ya familia yake kwa maneno na matusi . Dharau sana hii kijana kuonesha jeuri akaamua afate kisu mjeda alijua issue imeisha anashangaa anadungwa na kisu.

Heshima inabidi irudi. Vijana wanabidi wafundishwe adabu
usipojiheshimu nan atakuheshimu ? imefika muda wanajeshi mashinda kwenye bar za mataputapu, rudin kwenye njia kaz ya jeshi ni kuwapa heshima wananchi na sio kuabudiwa na wananchi , leo trh 28/10 mwanajeshi mmoja pale ukwaman nusu asabishe ajali kubwa tu anaongea na simu hajawasha indicator akataka kuchomokea upande wa pili wa barabara
 
Tutawatembezea kichapo mpka waje kuomba msamaha mmoja mmoja pale getini , kwanini uchapwe kibao ukimbilie kisu kwani alionyeshwa bunduki? Tunatandika ili wawe walimu kwa wengine kwamba mkono kwa mkono silaha kwa silaha icho tu
jeshi letu limejaa form 4 failure , akili za kipanyaroad ndo zimetawala , wengi hawajui majukumu yao
 
Niulizie kwa hao MP wako wa Lugalo kuwa wataenda lini Kuhudhuria Misiba ya Wadada Wawili waliowajumuisha katika Kundi la mwanzo la Watu 74 na kwenda nao Kambini Kwao Mwenge na Kuwapa Adhabu Kali zilizowazidi Uwezo kiasi kwamba GENTAMYCINE nimetaarifiwa ( japo bado naendelea Kuthibitisha Taarifa ) kuwa Wamefariki dunia?

Ukimaliza niulizie Swali langu la mwisho kwa hao hao MP wako wa Lugalo je, Jana Usiku wa Saa 9 walipokuwa Wanawarejesha Kawe OIL COM Watu waliowakamata baada ya Kuwatesa sana Kambini Mwenge huku wakiwaambia waruke kuna Watu Wawili walishindwa Kuruka na Upumuaji wao nao ulikuwa hafifu na hawaongei walienda nao wapi kwani Ndugu zao wanahangaika Kuwatafuta.

Mwisho nakuuliza Wewe uliyefurahishwa Kuteswa kwa Raia wasio na Hatia na MP ws Lugalo je, umeshajiuliza ni kwanini Leo ( Jumamosi ) Siku nzima Wanajeshi wa Lugalo wamepotea Mitaani, hawana Amani, wanajishtukia na kuona mno Aibu kwa Raia?

Huna Akili pamoja na hawa Unaowatetea.

Cc: Msanii
hongera kwa kufafanua , hili jeshi limejaa form failure , inferiority ndo inawasumbua
 
Niulizie kwa hao MP wako wa Lugalo kuwa wataenda lini Kuhudhuria Misiba ya Wadada Wawili waliowajumuisha katika Kundi la mwanzo la Watu 74 na kwenda nao Kambini Kwao Mwenge na Kuwapa Adhabu Kali zilizowazidi Uwezo kiasi kwamba GENTAMYCINE nimetaarifiwa ( japo bado naendelea Kuthibitisha Taarifa ) kuwa Wamefariki dunia?

Ukimaliza niulizie Swali langu la mwisho kwa hao hao MP wako wa Lugalo je, Jana Usiku wa Saa 9 walipokuwa Wanawarejesha Kawe OIL COM Watu waliowakamata baada ya Kuwatesa sana Kambini Mwenge huku wakiwaambia waruke kuna Watu Wawili walishindwa Kuruka na Upumuaji wao nao ulikuwa hafifu na hawaongei walienda nao wapi kwani Ndugu zao wanahangaika Kuwatafuta.

Mwisho nakuuliza Wewe uliyefurahishwa Kuteswa kwa Raia wasio na Hatia na MP ws Lugalo je, umeshajiuliza ni kwanini Leo ( Jumamosi ) Siku nzima Wanajeshi wa Lugalo wamepotea Mitaani, hawana Amani, wanajishtukia na kuona mno Aibu kwa Raia?

Huna Akili pamoja na hawa Unaowatetea.

Cc: Msanii
Jeshi letu limepungukiwa nidhamu hususan kupitia hili tukio ambapo tulidhani Kamanda Nkunda angekuwa ameshawazuia vijana wake wasiwasumbue raia.

Kama Jeshi limeua raia inapaswa sasa tuwaombe ICC waje kuchunguza haya matukio kwani hakuna mahakama hapa nchini yenye chembe ya huruma kwa raia.

Mkuu Genta.
Kwa namna MP wanavyowatendea raia wa Kawe, ni waziri wa Ulinzi hatoshi
 
Kwanini wafuge wahalifu
Jeshi letu limepungukiwa nidhamu hususan kupitia hili tukio ambapo tulidhani Kamanda Nkunda angekuwa ameshawazuia vijana wake wasiwasumbue raia.

Kama Jeshi limeua raia inapaswa sasa tuwaombe ICC waje kuchunguza haya matukio kwani hakuna mahakama hapa nchini yenye chembe ya huruma kwa raia.

Mkuu Genta.
Kwa namna MP wanavyowatendea raia wa Kawe, ni waziri wa Ulinzi hatoshi
 
...Ujasiri wa kuchukua kisu na kumshambulia mwanajeshi ni kosa kubwa sana......
Kwa namna tukio lilivyoelezewa, hivyo basi unatuasa kuwa unaposhambuliwa na mwanajeshi kwa nia ya kukudhuru unapaswa kusimama wima na kuimba wimbo wa Taifa hadi amalize lengo lake?

Mwanajeshi gani ambaye amehitimu mafunzo anashindwa kukabiliana na raia outlaw anayemshambulia kwa kisu?

Mwanajeshi anapaswa kuwa na nidhamu. Ni kosa kubwa sana mwanajeshi kumshambulia raia kwa sababu yeyote ile.

Bwege sana wewe
 
Kesho naenda kambini hapo lugalo huku navuta bangi na kujambajamba hadharani maksudi mbele yao na matusi ya hatarii niking'aka.

Sasa ole wake kenge yoyote athubutu kunisogelea, wadau wote wataacha kufuatilia kinachoendelea huko Gaza kati ya Wateule na waarabu.
Kujamba jamba hovyo ni dalili mbaya sana!
 
Nadhani tatizo linaanzia kwa wanajeshi wenyewe kwa maana zifuatazo:

1. Kunywa kupitiliza mtaani
2. Kuwakopa maboda na mabajaji
3. Nk nk

Kupitia mazoea haya usidhani kijana wa enzi hizi atamuogopa na kumheshimu wanajeshi hata kwa 1%


Nadhani aliyeweka bar kambini alimaanisha sana tena sana
 
Tusitete ujinga, Vijana wengi wa kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima

Unakuta kijana yupo kijiweni anatambia wenzake kuwa anaweza kuwa mudu wanajeshi, vijana uhuni umekuwa mwingi kiasi kwamba kuna beach zilizopo kule kawe huwezi pita hasa silver beach mchana wanasema hawaogopi kukaba wanaweza mkaba hata mwanajeshi,

Story nyingi za bodaboda ni kuonesha jeuri kwa kuwa wanajeshi wengi wamekuwa abiria wao.

Ujasiri wa kuchukua kisu na kumshambulia mwanajeshi ni kosa kubwa sana..

Serikali imetumia pesa kubwa hadi kumtengeneza kanali huyo

Wengi unaandika kishabiki lakini lugha chafu ya vijana wa kawe hasa bodaboda na waendesha bajaji ni chafu sana, mtu akishavuta bangi zake anaona wote sawa

Mtu yupo katika gari amekwama anajitahidi aondoe gari yake huyo kijana anashuka kwa hasira na kuanza kumfokea kamanda mbele ya familia yake kwa maneno na matusi . Dharau sana hii kijana kuonesha jeuri akaamua afate kisu mjeda alijua issue imeisha anashangaa anadungwa na kisu.

Heshima inabidi irudi. Vijana wanabidi wafundishwe adabu
Kwa akili zako zote, unafikiri heshima inajengwa kwa kupiga watu?.
 
Tutawatembezea kichapo mpka waje kuomba msamaha mmoja mmoja pale getini , kwanini uchapwe kibao ukimbilie kisu kwani alionyeshwa bunduki? Tunatandika ili wawe walimu kwa wengine kwamba mkono kwa mkono silaha kwa silaha icho tu
Hamna kitu
 
Tusitete ujinga, Vijana wengi wa kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima

Unakuta kijana yupo kijiweni anatambia wenzake kuwa anaweza kuwa mudu wanajeshi, vijana uhuni umekuwa mwingi kiasi kwamba kuna beach zilizopo kule kawe huwezi pita hasa silver beach mchana wanasema hawaogopi kukaba wanaweza mkaba hata mwanajeshi,

Story nyingi za bodaboda ni kuonesha jeuri kwa kuwa wanajeshi wengi wamekuwa abiria wao.

Ujasiri wa kuchukua kisu na kumshambulia mwanajeshi ni kosa kubwa sana..

Serikali imetumia pesa kubwa hadi kumtengeneza kanali huyo

Wengi unaandika kishabiki lakini lugha chafu ya vijana wa kawe hasa bodaboda na waendesha bajaji ni chafu sana, mtu akishavuta bangi zake anaona wote sawa

Mtu yupo katika gari amekwama anajitahidi aondoe gari yake huyo kijana anashuka kwa hasira na kuanza kumfokea kamanda mbele ya familia yake kwa maneno na matusi . Dharau sana hii kijana kuonesha jeuri akaamua afate kisu mjeda alijua issue imeisha anashangaa anadungwa na kisu.

Heshima inabidi irudi. Vijana wanabidi wafundishwe adabu
Nilikuwa sipati picha kamili kumbe vijana wanaona Mwanajeshi ni kijana mwenzao. Poleni kwa ujinga wenu.
 
kijana kuonesha jeuri akaamua afate kisu mjeda alijua issue imeisha anashangaa anadungwa na kisu
Yaan huyo dogo Kato ilibidi akatwe kiungo kimoja kimoja akiwa anajiona hadi anakata ROHO akawasimulie Malaika huko mbinguni, unyama unyama tu
 
Nilikuwa sipati picha kamili kumbe vijana wanaona Mwanajeshi ni kijana mwenzao. Poleni kwa ujinga wenu.
Ndio madhara ya wanajeshi kuishi uraiani ukishawazoea raia wote mnaonekana wa kawaida tu, mwanajeshi akae kambini huko sio anakuja kukaa na raia aende akakae maporini huko akajifiche kabisa asionekane na raia, dharau ndio zinaanzia hapo kuonekana onekana ovyo na raia
 
Natamani sana mazali kama haya yanikute na yanitokee ya wanajeshi kuvamia raia na kuanza kuwatembezea kipigo. Yani huo mkono nitakavyowatembezea watajuta kuzaliwa
Utagongwa hadi ujinyee we jisifie ujinga tu humu usikutane nao live,
 
Kesho naenda kambini hapo lugalo huku navuta bangi na kujambajamba hadharani maksudi mbele yao na matusi ya hatarii niking'aka.

Sasa ole wake kenge yoyote athubutu kunisogelea, wadau wote wataacha kufuatilia kinachoendelea huko Gaza kati ya Wateule na waarabu.
Ndio maana mnapigwa,
 
Back
Top Bottom