Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Ndiyo,,,mwafrika naijua vizuri akili yake.
Subili ifike utaona kama watapinga
Ogopa korona mtaani, na nyumbani na si nyumbani mwake Bwana! Basi MUNGU na akane mwenyewe kuwa yeye si mwema na si mwenye huruma Kama sisi tunavyomnadi! Kama humjui MUNGU ndugu yangu, tuache sisi tunaemjua tuwe na amani mbele yake, hatuna haja ya barakoa nyumbani mwake!βMwamini Mungu, lakini mfunge vizuri Ngamia wakoβ-Mtume Muhammad SAW.
Na biblia inasema kuwa imani bila matendo imekufa.
Mungu huwa halipi maombi bali huwa analipa jitihada.Kupiga maombi wakati hakuna mipango pamoja na vitendo(Actions) madhubuti vya kupambana na kujikinga na Corona ni kumkejeli Mungu.
Huyo mchungaji au padri anaeingia kanisani na barakoa yupo sahihi na hao wasomi wanaoingia bila barakoa wamepotoka na kuthibitisha hilo ndiyo maana wanakufa kama kawaida.
atuchanjwi ata wakitoa elim upyaLeo wakati Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akielekea Bagamoyo kurecord filamu ya kutangaza utalii wa Tanzania alisimama kwenye jimbo la Kawe ili kusalimia wananchi.
Rais alimsimamisha Mbunge wa Kawe ili kutoa neno lakini kabla ya kumsimamisha aliwauliza wananchi wa Kawe kama watachanja au la kama video inavyoonyesha hapa chini.Katika hali ya kustaajabisha na ya kushangaza wananchi walimwambia Rais bila ya kupepesa macho kuwa hawatachanja kama video hii inavyoonyesha hapa chini.
Nimejiuliza maswali mengi sana.Kwa nini Rais aulize swali hilo kwenye jimbo ambalo mbunge wake hakubaliani na mambo ya chanjo?Ina maana Rais hajui kwamba kazi kubwa ambayo walifanya katika awamu ya tano ya kupinga chanjo ilifanikiwa sana hasa ukizingatia kuwa kazi hiyo ilifanyika katika Taifa lenye umasikini mkubwa sana wa akili?
My take:
Kwa sasa hivi serikali ya CCM inapata shida sana kula matapishi yake yenyewe ambayo waliyatapika katika awamu ya tano.Ni vyema serikali ikiri mbele ya wananchi kuwa Rais Magufuli hakuwa sahihi na alipotosha sana uma ili wananchi waanze upya kuelimishwa juu ya gonjwa la Corona na chanjo.
Kuchanja siyo hiari na lengo ni wananchi wote wachanjwe kwa mujibu wa Rais Samia.Kama haya masuala huyajui kaa pembeni kuficha ujinga.Acha zako hizo wewe. Kama kuchanja ni hiari na wao hawachanji kuna ubaya gani. Yote hiyo kutaka kuonyesha anti zako kwa magufuli. Mwenyewe alisema kama ni chanjo lazima tuzichunguze na kuona kama ni salama kwanza wala hakukataa. Ila vibaraka na maagent wa ubeberu wenye kukubali kwa furaha kila wakiambiwa kitu na wazungu bila kujiridhisha kama hamna hila ndio wanajidai wanajua sana.
Amejifunza kwa watangulizi wake....'kanywele' wana shida sana.Maza kawageuka kina Nduga.....
Ndalilo nikufahamishe tuu hata kama utasigana na mimi, Siasa za uchaguzi elective posts kikubwa ni namba.Wanapenda kutuvuruga sana! Sasa waliosema achukuliwe hatua na chama chake, sijui chama gani tena maana mwenye chama ndo huyo keshasema Gwajiboy oyeee.
Gwajigirl, ****** wajipange upya
Kwani Rais wetu siku hizi anacheza Bongo Muvi?Leo wakati Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akielekea Bagamoyo kurecord filamu ya kutangaza utalii wa Tanzania alisimama kwenye jimbo la Kawe ili kusalimia wananchi.
Rais alimsimamisha Mbunge wa Kawe ili kutoa neno lakini kabla ya kumsimamisha aliwauliza wananchi wa Kawe kama watachanja au la kama video inavyoonyesha hapa chini.Katika hali ya kustaajabisha na ya kushangaza wananchi walimwambia Rais bila ya kupepesa macho kuwa hawatachanja kama video hii inavyoonyesha hapa chini.
Nimejiuliza maswali mengi sana.Kwa nini Rais aulize swali hilo kwenye jimbo ambalo mbunge wake hakubaliani na mambo ya chanjo?Ina maana Rais hajui kwamba kazi kubwa ambayo walifanya katika awamu ya tano ya kupinga chanjo ilifanikiwa sana hasa ukizingatia kuwa kazi hiyo ilifanyika katika Taifa lenye umasikini mkubwa sana wa akili?
My take:
Kwa sasa hivi serikali ya CCM inapata shida sana kula matapishi yake yenyewe ambayo waliyatapika katika awamu ya tano.Ni vyema serikali ikiri mbele ya wananchi kuwa Rais Magufuli hakuwa sahihi na alipotosha sana uma ili wananchi waanze upya kuelimishwa juu ya gonjwa la Corona na chanjo.
Sukuma gang wameshinda
Mbowe alipewa pole alipofiwa na Kaka yake...... Baadae tukaambiwa Gaidi. Mchungaji Gwajima bado yupo kwenye blacklist ya Mama.hatatokea tena MTU Wa kuweka ligi na gwajiboy....
makonda alichezea za uso licha ya kuwa kipenzi cha baba shemeji yake. bashite ni binam wa Janet mbizo.
gwajigirl alizani mwanamama mwenzake atamlimda na akina ndugu gay wakidhani wanajiunga na mama wamechrmka..... maza kawaruka ft mia na hitimisho ni kuwa mjadala umefungwa na mwenyekiti Wa ccm uliokuwa najadiliwa na bungeccm
Kwa hiyo huyo Mungu ana uwezo wa kuzuia Corona ukiwa nyumbani kwake tu na mtaani hawezi kuzuia usipatwe na Corona?Kama anaweza kuzuia Corona ukiwa nyumbani kwake anashindwa vipi kuzuia Corona ukiwa mtaani?Ogopa korona mtaani, na nyumbani na si nyumbani mwake Bwana! Basi MUNGU na akane mwenyewe kuwa yeye si mwema na si mwenye huruma Kama sisi tunavyomnadi! Kama humjui MUNGU ndugu yangu, tuache sisi tunaemjua tuwe na amani mbele yake, hatuna haja ya barakoa nyumbani mwake!
Kuamini MUNGU anaponya Kisha ukavaa barakoa nyumbani mwake ni kupingana na andiko Hilo la "Imani bila matendo..."
Vile mwendakuzimu amefurahia kutokea huko kuzimu ulipomsifia hapaπππMleta post na wewe ulianza vizuri sema kuhusu jpm umeonesha upimbi wako. Nchi hii ilipo leo kwa mazuri yote ni kazi ya jpm ya miaka 5, regardless madhaifu yake yote atasalia kuwa mwamba na hata babu yako kijijini analijua hilo
Rais mswahili anaongoza nchi kiswahiliswahiliTuna rais wa ajabu Sana katika taifa letu .