#COVID19 Tutegemee nini baada ya Rais Samia kusema 'Gwajiboy oyee Tunachanja, hatuchanji' mbele ya Askofu Gwajima?

#COVID19 Tutegemee nini baada ya Rais Samia kusema 'Gwajiboy oyee Tunachanja, hatuchanji' mbele ya Askofu Gwajima?

Mama alifanya vizuri kwa sababu kusema tunachanja hatuchanji na wananchi kuitikia tunachanjaaaa
Askofu kaishiwa pozi na hakutaka kuweka comment badala yake kabase kwenye matatizo ya wananchi wake wa kawe

Mama kambana askofu angemuhoji pale direct ingekuwa ni udhalilishaji
Lakini ni kama tu kamtaka askofu aseme tunachanja na ajue huo ndiyo msimamo

Mama hayupo upande wa askofu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Wananchi wamesema hatuchanji wewe hao waliosema tunachanja umewatoa wapi?
 
Acha uchonganishi...Walijibu majibu yote mawili...Kwahiyo bafo wapo ambao wanakubali na wapo wanaokataa na Rais ame prove kisiasa yupo sawa kabisa kwakua kawakubali wote...Tuache kumwondoa Rais kwenye reli...Aendelee na kutuletea maendeleo badala ya kubakia tu kwenye chanjo as if ni Mungu

Hawezi kuwakubali wote kwa sababu nia ya Rais ni kuhakikisha kuwa wananchi wote wanachanjwa kama ambavyo alishasema.

Ni vyema uwe unafuatilia masuala ya nchi yako ili unapokuja hapa JF usionekane kuwa ni mjinga.

Source:Rais Samia ahutubia Mkutano wa SADC Malawi
20210902_140731_temp.jpg
 
Leo wakati Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akielekea Bagamoyo kurecord filamu ya kutangaza utalii wa Tanzania alisimama kwenye jimbo la Kawe ili kusalimia wananchi.

Rais alimsimamisha Mbunge wa Kawe ili kutoa neno lakini kabla ya kumsimamisha aliwauliza wananchi wa Kawe kama watachanja au la kama video inavyoonyesha hapa chini.Katika hali ya kustaajabisha na ya kushangaza wananchi walimwambia Rais bila ya kupepesa macho kuwa hawatachanja kama video hii inavyoonyesha hapa chini.

Nimejiuliza maswali mengi sana.Kwa nini Rais aulize swali hilo kwenye jimbo ambalo mbunge wake hakubaliani na mambo ya chanjo?Ina maana Rais hajui kwamba kazi kubwa ambayo walifanya katika awamu ya tano ya kupinga chanjo ilifanikiwa sana hasa ukizingatia kuwa kazi hiyo ilifanyika katika Taifa lenye umasikini mkubwa sana wa akili?

My take:
Kwa sasa hivi serikali ya CCM inapata shida sana kula matapishi yake yenyewe ambayo waliyatapika katika awamu ya tano.Ni vyema serikali ikiri mbele ya wananchi kuwa Rais Magufuli hakuwa sahihi na alipotosha sana uma ili wananchi waanze upya kuelimishwa juu ya gonjwa la Corona na chanjo.

Kwenye video clip hii hapa chini (wakati Magufuli ndiyo rais), Samia anasikika akiwananga na kuwa ridicule "mabeberu" ambao eti sasa anataka kuwauzia ile "royal movie" yake - IRONICAL!

Producer "beberu" itabidi hii clip aiweke kama trailer halafu tuone kama hiyo movie yake itanoga!!

 
masikini wee chanjo ishabuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wananchi wa Tanzania kukataa chanjo haikusababishwa na kumwamini JPM bali kwa kuwa Tanzania ni Taifa lenye umasikini mkubwa wa akili ni rahisi sana wananchi wake kuyaamini na kuyakubali mawazo ya kipumbavu kwa haraka zaidi kuliko kuyakubali na kuyaamini mawazo sahihi.

Kwa kuwa mawazo ya JPM juu ya Corona yalikuwa ni ya kipumbavu basi wananchi waliyashika na kuyaamini haraka sana.
Wewe ndio una akili,watu walikwisha kuchanja ni laki tatu,hivi unajua Watanzania wangapi wanaograduate kwa mwaka kwa kuwa na shaada?acha kutukana Watanzania, sasahivi Watanzania wameelimika,sio wa mwaka wa enzi hizo za mababu,kila kitu walichokuwa wanaretewa wanameza, Sasahivi Watanganyika atudanganyiki kiraisi,chanjo zenu zimewadodea,kadungeni family zenu.
 
Wewe ndio una akili,watu walikwisha kuchanja ni laki tatu,hivi unajua Watanzania wangapi wanaograduate kwa mwaka kwa kuwa na shaada?acha kutukana Watanzania, sasahivi Watanzania wameelimika,sio wa mwaka wa enzi hizo za mababu,kila kitu walichokuwa wanaretewa wanameza, Sasahivi Watanganyika atudanganyiki kiraisi,chanjo zenu zimewadodea,kadungeni family zenu.
Kwani kupata shahada ndiyo kuelimika?
 
Wanapenda kutuvuruga sana! Sasa waliosema achukuliwe hatua na chama chake, sijui chama gani tena maana mwenye chama ndo huyo keshasema Gwajiboy oyeee.

Gwajigirl, ****** wajipange upya

Tanzania is [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Spika hakupaswa na hapaswi kuwa na upande katika bunge, angeacha bunge liwe huru kutoa maamuzi,
But Mama hatabiriki kama alimpa M/kiti salamu za rambi rambi then baadae akamatwa
So hatabiriki
 
Wananchi wa Tanzania kukataa chanjo haikusababishwa na kumwamini JPM bali kwa kuwa Tanzania ni Taifa lenye umasikini mkubwa wa akili ni rahisi sana wananchi wake kuyaamini na kuyakubali mawazo ya kipumbavu kwa haraka zaidi kuliko kuyakubali na kuyaamini mawazo sahihi.

Kwa kuwa mawazo ya JPM juu ya Corona yalikuwa ni ya kipumbavu basi wananchi waliyashika na kuyaamini haraka sana.
Kwahiyo mkuu unataka kusema kama si Magufuli basi Tanzania watu wengi wangekubali kuchanjwa?
 
Leo wakati Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akielekea Bagamoyo kurecord filamu ya kutangaza utalii wa Tanzania alisimama kwenye jimbo la Kawe ili kusalimia wananchi.

Rais alimsimamisha Mbunge wa Kawe ili kutoa neno lakini kabla ya kumsimamisha aliwauliza wananchi wa Kawe kama watachanja au la kama video inavyoonyesha hapa chini.Katika hali ya kustaajabisha na ya kushangaza wananchi walimwambia Rais bila ya kupepesa macho kuwa hawatachanja kama video hii inavyoonyesha hapa chini.

Nimejiuliza maswali mengi sana.Kwa nini Rais aulize swali hilo kwenye jimbo ambalo mbunge wake hakubaliani na mambo ya chanjo?Ina maana Rais hajui kwamba kazi kubwa ambayo walifanya katika awamu ya tano ya kupinga chanjo ilifanikiwa sana hasa ukizingatia kuwa kazi hiyo ilifanyika katika Taifa lenye umasikini mkubwa sana wa akili?

My take:
Kwa sasa hivi serikali ya CCM inapata shida sana kula matapishi yake yenyewe ambayo waliyatapika katika awamu ya tano.Ni vyema serikali ikiri mbele ya wananchi kuwa Rais Magufuli hakuwa sahihi na alipotosha sana uma ili wananchi waanze upya kuelimishwa juu ya gonjwa la Corona na chanjo.

Balance maonin yako. Wapo waliosema tutachanja na waliosema hatuchanji. Hivyo, hakuna cha kuchana wala nini bali unaonyesha upande wako na kupiga chuku bila sababu.
 
Kwahiyo mkuu unataka kusema kama si Magufuli basi Tanzania watu wengi wangekubali kuchanjwa?
Khaaa!!!Wapi nimesema kuwa kama siyo Magufuli?Umesoma nilichoandika kweli?

Mimi kwenye hoja yangu nimejikita zaidi kwenye ishu ya umasikini wa akili.

Rais yeyote hata kama asingekuwa Magufuli akitamka tu kuwa chanjo ni mbaya basi Watanzania wengi watamwamini sana kwa sababu ni ishu ya kipumbavu.Soma nilichoandika sitaki nirudie tena.
 
Wananch sio wajinga wewe

Nenda makanisani mfano ya katoliki yaliyojaa wasomi wakubwa unakuta ni padri tu ndie kavaa barakoa ina maana waumini wote hawajielewi kasoro huyo padri tu? Wote hawajasoma na wana uelewa mdogo kasoro padri tu?

Ina maana wasomi wote wanaojazana makanisani na misikitini bila barakoa uelewa wao hawana?

Wananchi wanajielewa sana kuliko viongozi


Unapoona kiongozi wa dini yeye peke yake ndie kavaa barakoa waumini hawajavaa ujue kuwa waumini wana imani kwa Mungu kuliko kiongozi wao!!!! Kiongozi anaamini kuwa akiwa kanisani kwenye nyumba ya Mungu MUNGU ANAWEZA MTUPIA CORONA WAKATI WAUMINI HAWAAMINI HILO
Na viongozi wote wa makanisa makubwa hasa RC wametoa amri watumishi wao wote wachanje.

Hata hivyo Rais yuko wazi na hafanyi propaganda za kijinga kama za yule mpuuzi,ukitaka chanja hutaki acha ,ukifa ni wewe sasa.

Tutafika mahala kama ukibainika una covid na umepelekwa hospital huenda ukatengwa kivyako kwa sababu umejitakia ilhali chanjo ipo na waliochanja watahudumiwa .
 
Tutafika mahala kama ukibainika una covid na umepelekwa hospital huenda ukatengwa kivyako kwa sababu umejitakia ilhali chanjo ipo na waliochanja watahudumiwa .
Kama kodi yake ya huyo aliyepata Covid iwe ya miamala ,tozo ,majengo nk kama hukuchukua sawa mfanyie hivyo!!!
 
Basi Mbowe nimkaidi (gaidi) alisema chanjo iwe lazima eti
 
Back
Top Bottom