Tuwe makini sana na simu. Sitokuja kusahau siku niliyoposti kwa bahati mbaya status ya pilau 18+ na simu ikazima, kijasho kilinitoka

Tuwe makini sana na simu. Sitokuja kusahau siku niliyoposti kwa bahati mbaya status ya pilau 18+ na simu ikazima, kijasho kilinitoka

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona vichekesho hivi
Zamani wakati natongoza nilikuwa Natabia...kushare nyeti..yaani unachukua video fupifupi unampostia na yeye anajipiga picha na video fupi nakunitumia.

Sasa ninakawaida kuweka kwenye Google drive. Kauri miaka inavyokwenda nikifungua drive na kuona picha na video na wamama ambao zamani tulishare najishangaa nakujilaumu. Maana wengini wanasiasa na watu wenye heshima.

Simu moja nikapakua baadhi ya picha na video nikaweka kwenye simu na nikawa na miada kukutana na kiongozi huyu mdada mtu muhim sana. Baada ya kupata kinywaji tukalewa wote nikaanza kutimiza lengo langu na matakwa.

Nilitaka milio10 ama sivyo napost video zile... nilimwambia hapo nilizipakua zenyewe zipo sehem permanent..yule mama pombe zilimuishia.

Akapiga goti kuomba nisifanye hivyo...ishu bado inaendelea
 
Me nature ya kazi yangu sometimes kama kuna kimeo tunakua job usiku kucha then narud asubuh. Sasa sababu sometimes tunakua job night basi nkawa natumia hiyo km advantage.

Sasa siku moja tuna kimeo fulan, kwa hesabu zangu nkajua nkajua hii kazi kufika saa sita usku itakua imeisha, ila sina uhakika.. ngoja niage kabisa kwa wife. Nkamtumia sms wife kuwa leo sirud. Kuna kimeo. Bdae nkapata wazo,hiki kimeo tukifanikiwa kukisolve, bora niende kwa mchepuko nkalale huko. Nkaandika sms, kumpanga demu kuwa leo nakuja sleep over ajiandae. Na asilale mpaka nifike. Ile sms badala ya kutuma kwa demu nkatuma kwa wife. Halafu sikugundua.

Saa tano hivi kimeo tukawa tumesolve,nakasepa kwenda salasala kwa demu. Nafika kalala fofofo. Nafika ananishangaa. Nauliza mbona umelala akat nmesema naja?? Nmekutumia sms.. anaangalia haoni sms. Kucheki kwangu sms ipo, ila nmeituma kwa wife.

Weeee nilitoka mbiooo nkachukua boda. Home ni mbali, boda akanambia 20k. Nkasema poa.. nafika home nagonga nafunguliwa wife alkua kalala. Nacheki naona simu yake iko chaji. Sms zote mbili hajazisoma.. nilifurahi saana
Nimecheka na kukuhurumia asee.


Hii inanikutaga nimiwa nimelewa. Napost kwa mtu mwingine. Ila nimeamua kudelete namba na whatsapp za watu wote wa heshma. Nina whatsapp zaid ya moja...ninayoitumia nikiwa bwax ni ya wadau. Zaid ya hapo siingii za waheshmiwa
 
Daaah! hii kitu sitakaa niisahau aisee kuna siku nilikuwa na kapisi flan hiv chuoni kipindi hicho sasa kalikuwa kananipenda kweli wazee, kuna siku akaniambia niende geto kwake nikasema fresh kummbe ni trap nawekewa lakini akili ikadetect kitu nikasema ngoja niache smart niende na kinokia torch kangu, mara tumelala me nikapitiwa na usingizi kumbe akaamka akachukua simu akaanza kupekua sms na akakuta kuna demu mwingine ananitongoza asee i think alipanic maana aliandika sms ya matusi moja hiyo halaf akaenda kwenye contacts name akachagua majina yote ya kike halaf akaselect akatuma then akazima simu. Asubuhi nikaamka kucheki simu naona imezimwa nikajua me ndo nilizima jana usiku nikamuaga nikasepa ile nipo road naelekea geto nikasema ngoja niwashe simu itakuwa classmate walinicheki sana yaan ile mlio wa nokia unamalizikia tu naona simu ya mother inaingia napokea tu nakumsalimia tu na yeye ananijibu "MWANANGU NJOO NYUMBANI UNIELEZE HUKO CHUO UMEENDA KUSOMA AU KUVUTA BANGI " Duuuh!!!1! aisee alipanic kinoma sasa hapo ni Mother bado hao wengine wa kike waliopata ile sms like classmate, dada zangu, friends,,ect. halaf tena kiipindi hicho nilikuwa mpole flan hiv wakasema huyu mseminaristi kapigwa na kitu gani duuh!🙌🙌🙌🙌🙌🤦‍♂️🤦‍♂️ ilikuwa kisangaa
 
Ni 2017 nilikuwa nachati na wadau whatsapp mida ya saa tatu usiku, muda huo umeme ulikuwa umekatika, simu ikawa inakaribia kuisha chaji nikaona sio mbaya niweke status kabla simu haijazima.

Nikiwa nimeingia sehemu ya status kwenye gallery ghafla ni kama nilimis touch nikachagua video ya x (nilikuwa nimejoin group la connection) na ikajipost status, ebwana ee ukisikia siku ya nyani kufa miti inateleza basi ndio hiyo, yaani nikawa naona naenda kuua heshima yangu, Nilipaniki, kichwa hakikutulia yaani nikaanza kushikilia power button nizime simu ili niizuie, nikabadili maamuzi niweke airplane mode kuzuia data lakini naingia whatsapp naona ishaenda, nilidata zaidi nikaondoa airplane mode niwashe data niwahi kuifuta video lakini ghafla simu ikazima.

Tumbo lilizunguka kwa spidi ya ajabu akili iliniviriga nikawa nimedata nawaza itakuwaje sasa, bimkubwa anaeniona mimi mtoto pekee nilietulia atanichukuliaje? Wadogo zangu Je ? Majirani vp? Yani kiufupi watu tunaoheshimiana wakiiona nimekwisha... , Na hapo kumbuka umeme umekata mtaa mzima hakuna umeme.

Nilitoka nje kama nilivyovaa kikaptula, kivesti na kandambili, nikawahi sehemu ya boda boda nikaikuta moja tu nae kaniambia kuna mteja anamsubiri, kwakweli sikuweza kusubiri boda mwengine, nikamwambia ntampa elf 5 tena sehemu yenyewe ya karibu ni ofisi ya kamari / kubeti huwa wanawasha jenereta.

Yaani boda nikawa namkaripia aongeze mwendo maana naona kama pikipiki haiendi,

Tukiwa njiani nikakumbuka nilisahau chaja maweee!! nilienda duka la njiani niliambiwa chaja elf 10 wala siku fikiria mara mbili

Nafika ofisi za kubeti hawakunielewa kuchaji simu nikatoa hapo hapo elf 5 ambayo ilibidi iwe ya boda boda nikasema tutajuana mbele kwa mbele.

Yaani nikaingia WhatsApp nakuta kuna views kama 3 tayari ila kwa bahati nzuri zilikuwa za marafiki wa viwanjani, kwenye inbox wanaomba full clip.😂😂

Boda naye akanitwanga zaidi kwa kisingizio alikuwa na mteja mwengine nimevurugia ratiba.
Starehe gharama.
 
'' Aisha Mimi napambana kukutumia hela na bado hunielewi,unataka nikutumie kiasi gani mpaka unielewe Kipenzi?Ona nimepambana mpaka hii laki tatu uliyotaka nimekutumia shida nini,ujue nakupenda sana na nahangaika sana kwa ajili yako?"

Ujumbe huo aliandika Mwamba katika familia yetu..na masaa machache baada ya kutumiwa hela ya matumizi ya chuo na ada kidogo.(900,000)

Sasa familia wamekaa jioni wanaangalia taarifa ya Habari,sms ikaingia toka kwa Mwamba.Ikijieleza hivyo kwa Aisha😀😀

Sebule ilikuwa ndogo ile siku,kuwa nyie Wapuuzi sisi tunahangaika kutafuta hela nyie mnahonga😀😀😀😀😀ona huyu Kaka yenu asivyo na akili.
 
Kipindi kile kabla ya simu za touch. Zilikuwa zile Nokia 3310, nilimuandikia mchepuko msg ndefu kuhusu alivyonipa Jana yake, kuhusu papuchi yake ilivyokuwa ya viwango na maujinga mengine mengi na kitu nitakachomfanyia ikiwa Ni pamoja na kumnunulia kiwanja, kwa bahati mbaya Ile msg niliituma kimakosa kwenda namba ya waif. Sikutilia maanani nikaendelea na shughuli zangu ofisini. Baadaye nikajiuliza mbona huyu mchepuko nimemuahidi kiwanja lakini hajibu msg? Eeh bwana we, kwenda kuangalia vizuri kumbe nimechanganya madesa, msg imeenda home port kwa waif.

Nikaanza kupanik fasta nikatoa udhuru, kipindi kile hakuna bodaboda, Ni daladala, niko Kurasini ofisini naitafuta Kimara home. Nikapanda la Kariakoo kutoka Kurasini, Kariakoo nikapanda la Kimara, Mimi naona gari haitembei. Kufika Kimara nikashuka kwenda home fasta kuliko upesi. Kijasho kimenitoka nakuta waif Yuko tu sitting room anaangalia tamthilia ananiuliza mbona uko hivyo, namuuliza nikovipi, akasema hauko sawa. Nikazama chumbani na kuikuta simu ya waif imetulia kumbe Ile msg hajaisoma, Nikafuta Ile msg huku nacheka kimoyo moyo. Nikivyotoka nikamuambia siku hiyo asipike. Surprise inamsubiri.

Msala Sasa ukabaki kwa mchepuko maana Ile msg niliyokusudia kwa waif ilienda kwa mchepuko. Lkn nikasema hata anijie juu si yeye ni Malaya tu Bora nimeokoa ndoa. Just imagine waif Angeona nimeisifia papuchi ya mchepuko kwamba Ina viwango, ningekua mgeni wa Nani miye?
Hii chai, huwezi kukossea kwa ku swap namna hiyo
 
Yes. Since niwe na family my phone is always clean and holy ,hata michepuko no,Mana simu yangu Sasa Ni ya watu wangu wote ,mtt ataomba kutumia,wife etc so respect yourself first
Mimi hata nikiacha simu zangu nyumbani masaa 25/7 itatumiwa na family member yeyote bila baya lolote kutokea na nina jua hata akitokea mtu mwenye nia ovu nami akajaribu kutuma ujumbe wenye nia ya kuvunja ndoa yangu kupitia mke wangu atamshangaa sana,labda yeye ndio awe mchora ramani.
 
Dada mmoja wa haja alikuwa na PC yake bhana, masela tupo gheto enzi za chuo akawa anakuja nayo tunacheki movie(hapo ma engineer tumesoma miaka 4 bila kumiliki PC hiyo ndio ilikuwa stationary yetu kazi zote tunaazima kwake).
Tukawa tunai connect na Subwoofer bluetooth bhana. Siku moja tumekaa gheto yeye yupo kwake mara tunasikia milio ya pilau tukasema nani kaliamsha mapema, sauti ilikuwa chini sana hatukuizingatia sabufa, jamaa mmoja akasema ngoja nicheki nje ile anatoka ndio anatusanua ni Sabufa, mara bidada kaja kuniita ndio nilikuwa tech man pale gheto anasema PC yake haitoi sauti,
jamaa mmoja akamwambia sie sauti tunaisikia mbona. Kwa aibu yule dada alijikuta jamaa wawili wamemla maana alikuwa anaringa sana ila baada ya pale akawa mpole mno. Mwenyewe alitaka kunipa ila kwa kuwa nilijua masela washakula nikaziua.
 
Mimi simu ilikuwa inazingua touch na nipo mkoa kikazi nasubiri nirudi Dar ndio nibadili, aisee sina hili wala lile simu ipo mfuko wa suruali, kwenye mida ya SAA sita mchana simu yangu Nokia ndogo simu inapigwa kucheki mshkaji wangu wa kitambo na tulikuwa hatujawasiliana almost miezi 6, napokea simu cha kwanza ananiambia wewe ..mse... ingia haraka WhatsApp status kafute kimeo chako akakata simu, naingia status nakuta pilau linapikwa limeivaa hatari nikafuta fasta na ile simu sikuitumia tena.
Unakaaje na pilau kwenye simu ?
 
Dada mmoja wa haja alikuwa na PC yake bhana, masela tupo gheto enzi za chuo akawa anakuja nayo tunacheki movie(hapo ma engineer tumesoma miaka 4 bila kumiliki PC hiyo ndio ilikuwa stationary yetu kazi zote tunaazima kwake).
Tukawa tunai connect na Subwoofer bluetooth bhana. Siku moja tumekaa gheto yeye yupo kwake mara tunasikia milio ya pilau tukasema nani kaliamsha mapema, sauti ilikuwa chini sana hatukuizingatia sabufa, jamaa mmoja akasema ngoja nicheki nje ile anatoka ndio anatusanua ni Sabufa, mara bidada kaja kuniita ndio nilikuwa tech man pale gheto anasema PC yake haitoi sauti,
jamaa mmoja akamwambia sie sauti tunaisikia mbona. Kwa aibu yule dada alijikuta jamaa wawili wamemla maana alikuwa anaringa sana ila baada ya pale akawa mpole mno. Mwenyewe alitaka kunipa ila kwa kuwa nilijua masela washakula nikaziua.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zamani wakati natongoza nilikuwa Natabia...kushare nyeti..yaani unachukua video fupifupi unampostia na yeye anajipiga picha na video fupi nakunitumia.

Sasa ninakawaida kuweka kwenye Google drive. Kauri miaka inavyokwenda nikifungua drive na kuona picha na video na wamama ambao zamani tulishare najishangaa nakujilaumu. Maana wengini wanasiasa na watu wenye heshima.

Simu moja nikapakua baadhi ya picha na video nikaweka kwenye simu na nikawa na miada kukutana na kiongozi huyu mdada mtu muhim sana. Baada ya kupata kinywaji tukalewa wote nikaanza kutimiza lengo langu na matakwa.

Nilitaka milio10 ama sivyo napost video zile... nilimwambia hapo nilizipakua zenyewe zipo sehem permanent..yule mama pombe zilimuishia.

Akapiga goti kuomba nisifanye hivyo...ishu bado inaendelea
Unajitafutia kifo au kifungo mdogo angu. Acha kabisa hiyo blackmailling
 
Baba Edina alikuwa na tabia ambayo ilimkost sana. Ni mtu mlevi sana. Analewa hadi mnaita analewa tena. Akifika ndani anapenda kuweka webcam kwenye laptop. Anawarekodi wanae. Saaa huwa alianza tabia ya kutekodi kunako 6x6....sikujua hadi siku alipotumq kwa bahati mbaya picha za Porto yaani mimi na yeye kwa mama yangu mkwewe.

Cha kwanza nilipigiwa simu mim mama akiliankwa kwikwi. Siku hiyo ilikuwa mbaya kwangu.

Pole sana pombe zinahamasisha ujinga mwingi.
 
Back
Top Bottom