Zimefichwa au ZIMEHIFADHIWA kwenye godown? Wakimpeleka mahakamani atawashinda mapema sana.Katoe sukari ulikoficha kabla hujafikiwa
View: https://www.instagram.com/reel/C2auZRpCagf/?igsh=cHFqNnR3b2IwMXFx
Mama Abdul yuko kwenye Royal Tour!! Huyo mama ni msanii mambo ya kuwa Rais ni zigo kubwa sana kwake!!Huu ni ukweli usiobishaniwa.
Serikali ya Samia ni copy ya ile ya mkwere!! Mkwere ndio mshauri wake mkuu na chawa wote wa Mkwere ndio wako serikalini.Hao wasaidizi wanaomwangusha kwa nini asiwachukulie hatua? Anadhani kuwastupidisha peke yake inatosha? Ajifunze kutoka kwa kikwete alivyokuwa anawachekeachekea matokeo yake serikali yake ikadoda na kugeuka kuwa genge la mafisadi tu.
Mnaficha sukari nyie Ili mpate kumtusi RaisZimefichwa au ZIMEHIFADHIWA kwenye godown? Wakimpeleka mahakamani atawashinda mapema sana.
Hizo RRRR anazoimba mama Abdul ziko ukurasa gani wa ilanı ya uchaguzi ya ccm?Wacha porojo wewe, nani alikudqnganya Rais wa CCM ana Dirac yake?
Rais na serikali ya CCM wanaongozwa kwa sera walizoombea kura wakati wa uchaguzi, cha kutazama wanatimiza hawatimizi?
Msituletee upoyoyo wenu hapa.
Suku tulieni dawa iwaingieHizo RRRR anazoimba mama Abdul ziko ulitaka gani wa ilanı ya ccm?
Acha kujitoa ufahamu. Ule moshi unaotoka kwenye sigara ndio huo huo unaunguza na kuharibu mapafu kwa wavutaji. Sasa huwezi mtenganisha rais/kiongozi mzembe na CCMPoint zote 10 zinaihusu CCM na ilani ya Uchaguzi
Rais ni Taasisi
Tutolee siasa za kijinga, wewe hapo ni kama unajua jins gani unafaidi
Mbona unaumia? Siasa za kijanja ni zipi? 😁😁Tutolee siasa za kijinga, wewe hapo ni kama unajua jins gani unafaidi
Umesahau na kuongeza mishahara.Kashindwaje kazi wakati ameruhusu maandamano?
Kashindwaje kazi wakati hafokei watu?
Kashindwaje kazi wakati hana kauli mbaya?
Kashindwaje kazi wakati hakuna tena watu wasiojulikana?
Kashindwaje kazi wakati alimtoa Mbowe jela?
Kashindwaje kazi wakati alimwalika Mbowe ikulu na kumpa juisi?
Samia ndo Rais mwenye mafanikio sana kuliko Rais yeyote mwingine yule kupata kutokea Tanzania, Afrika, na duniani kwa ujumla.
Hakuna kama Samia.
Mwambie aje kugombea Chauma au chama chengine chochote isipokuwa ccm ili tupime huo ubavu wake.Porojo za kijinga.
Hayo uliyoongea ndio Yana define dira ya Nchi au kuweza au Kushindwa Kwa Rais?
Jitokezeni hadharani mseme mnataka kushindana nae ubavu 2025 sio kujificha makoridoni kama panya 😆😆
Jamani huo ni uongo🤣🤣🤣Ujue sipendi mimi,juzi maua alinipigia bonge la biti aliniambia nijiangalie nitalia muda si mrefu..naona Sasa unanitafutia balaa
Tuthibitishie kwanza, wewe ni mtu au robot?Wasaidizi wake wanamuangusha Kwa lipi hasa? Mbona in most cases wanafanya vizuri.
Yaani unazuzuliwa na hizo porojo hapo Juu za Jumla Jumla bila ushahidi?
Umewahi jiuliza wakati Mwendazake ana set mradi wa bwawa wa miaka 10 aliweka miradi mingine ya kuziba gap la demand ya umeme? Au mahitaji yatakuwa yanasubiria bwawa?
Sgr ni kipaombele Cha Wananchi? Uliwahi ona wapi Sgr inakuza uchumi wa mtu mmja mmja?
NdioTuthibitishie kwanza, wewe ni mtu au robot?