financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Kiukweli hapa nilishangaa majina waloyoyataja yote siyajui na mshindi hata hatumfahamu japo kwa picha tuNaona wanatoa Tuzo ya video vixen lakini kwenye kutaja nominees hakuna hata picha zinazooneshwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan uwiiiih[emoji1787][emoji1787][emoji1787]we Cheka tu,na mie nitakushtukia[emoji3]
Muigizaji bora sasa[emoji16]
Tanzania sometimes tunashindwa kuwa serious hata kwa vitu vidogo kama hivi.😁😁 inategemea na hiyo "kwetu" Ni wapi bro
Woyooooooo nilale haishawishi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan uwiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenzako nacheka kwaa sauti, had najiogopa uwiiiiih[emoji23][emoji23] nimeangalia kidogo vimenishinda nikaona Bora niende kulala.
Watu weuweeeeeeeeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Woyooooooo
Kumepoa mwaya[emoji23]Watu weuweeeeeeeeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu unapajua bakurutu!Nadhani walioandaa walikosa focus maana inaendeshwa kizamani kiasi, labda huko mbeleni patachangamka lakini kwa sasa sioni vijana wamepoa ukumbini kama wameingia bakurutu [emoji1787]
Kumepooza sana eehTwanga pepeta wamenyakua tuzo hapa, hongera zao
Kuingiza sio shida watafanyia kazi malalamiko yake kwanza Cha kwanza diamond alidai kutopewa mrabaha na akaongeza zaidi system nzima ya ukusanyanyi miraba ujakaa vizuri na alitajihidi kuulizia inakuaje hawakumpa majibu yakuridhishaWamemtrick Tu maana kajitoa wameamua kumpa kishika uchumba ili next year aiingize WCB
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]cocastic
Mwenzio nimezima TV, nipo chumban now natazama movie kwa PC.Kumepoa mwaya[emoji23]
Sana hata sielewi kwanini vibe lipo chini hivi au ndiyo mambo ya kistaarabu hamna uswahili wa buza😂😂Kumepooza sana eeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman mie mbavu zangu, khaaah nacheka km chizi hapa lol.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]cocastic
Mbavu zangu[emoji23]